Kwanini wadada huwa mnaamini mwanaume asiye na haraka ya kulala na wewe ndio anakupenda?

Hakuna mjanja ataingia dukani kununua viatu akiwa mpeku, kuna natumia mbinu hii…. tena nimemwambia kabisa nina demu mwingine ila anashangaa kila akinipigia napokea anytime.

Sasa yeye ndo ameanza kukolea anakuja juu na haamini tena kama nina mwingine anadhani nimemtania, bado namvutia pumzi kama simtaki vile.![emoji39][emoji39]
 

Huo muda wa kuvunga anakuwa anayo mbususu nyingine, so ni full hujifanya hana njaa kali.
 
Ukiona mdada anakwambia subiri,Ujue kuna mtu huko anaenda kuachwa(Kupigwa tukio)
 
Utamu tunao wenyewe kule tunafata mtelezo.... Mindfulness tu tabia haijifichi pindi ashakenua ngoko zake atajua hajui.
 
Sasa mtu kabla hujaomba akutembelee ushapigwa vizinga kibao,yann kuchelewa kula mbususu banaaa

mimi hata day one nakula mzigo -mambo ya ustaarabu nafanya kwa wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…