Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!

Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea iv n kweli?
 
Kiukweli ni kama vile wanaume mnapenda mdada ajiachie on bed yaani awe muhuni asiwe na aibu, ndiyo na sisi tunapenda babe asiwe mlokole sana ustaarabu mwingi, hadi tendo la ndoa style zingine kama popo kanyea mbingu aone dhambi aargh tunahitaji rough games, hujakaa sawa jikoni imoo, hujakaa sawa babe kagusa titi kidogo unanuna kidogo ila unaenjoy hujakaa sawa unapita sebuleni mara kakupiga kikofi cha tako😂 yaani muhuni huni hivi hana aibu, yaani Unakua unamfikiria yeye tu na huo ukorofi wake.

Siyo babe kapoaa kama kakimbia upadre bana. Ustaarabu mwingi hata kwenye visivohitaji ustaarabu mbususu na mishedede haihitaji ustaarabu, peleka moto heavy hadi mkitoka hapo mnahisi harufu ya mishikaki kumbe ni viungo vyenu vya siri vilikua kazini🏃‍♀️

Note: uhuni hadi wa mavazi na hereni kwa mkaka hapana, awe bad boy on bed tu.
 
Yeah, I'm a bad boy doin' good things
Got a lemonade with chicken wings
With a bad bitch and she quite thick
So I might just cop myself a chain tonight
Slim shawty with a tank top
I'ma let her munch it on my cake pop, yeah yeah
Yung Bae'll make your hips drop
So I might just take your woman for a night
 
Huhuhu hapo kwenye jikoni hapo! Jiko hilihili chakula kinapo tengenezwa? Au ndio ubad boy wenyewe[emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kama kakimbia upadre
 
Katika ubora wako.babe Karucee na wewe unasimamia hapa pia au nikuache utafakari Kwanza

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna wanawake tuna asili ya kichwa ngumu na kutest kama unaweza kukaliwa na kupelekeshwa.

Ila tukimpata anaesema No, hayumbishwi na kununa kwetu, wala uzuri wetu tunatiaga akili fasta.

Mkishajua mbinu zetu aisee hatutawatesa kabisa. Kwanza we hate being controlled, ila asietu control hatumtaki anaboa.

We hate being ignored, usipotushobokea tunajiskiaga kupasuka etc
 
Huhuhu hapo kwenye jikoni hapo! Jiko hilihili chakula kinapo tengenezwa? Au ndio ubad boy wenyewe[emoji3]
Siyo jiko kabisa linapowaka, i meant kitchen area mkuu, sasa unashangaa kitchen wakati hata kwenye dining tables kitu kinahappen mguu unaegeshwa hapo. Ndiyo huo ulokole wako sasa utaachwa wewe😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] style ya msomali kafia kwenye fiati, weuweeeeeeeh
 
Mbombo ngafu loli
 
Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!

Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
Naunga mkono hoja
 
Hata mimi ni mwanamke lakini huwa nawashangaa sana wanawake wenzangu kwenye hili. Wanawake kwenye mapenzi ni kama hatuna misimamo ama sijui niseme hatujielewi.

Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.

Bora wengine tunajijua kabisa tukisema hatupendi kuwa controlled ni hatupendi kweli. Mimi mwanaume akiwa mpole ndiyo namheshimu ila akileta ubabe wallahi atajua hanijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…