financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Thank you babeKula ka like mbebe [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you babeKula ka like mbebe [emoji23]
Eeh ngafu fijo si kidogo😂Mbombo ngafu loli
Mninga muhimu mkuu, otherwise mtakua mkinunua meza kila siku 😂 mimi ntahakikisha furnitures zangu zote ni mninga maana lolote linaweza kutokea popote😂Aseeh! Hapo meza ya mninga inahusika[emoji3][emoji3]
Kweli mkuu. Sasa hamkawii kuletewa ubandidu halafu mnaenda kupost in public kama Shaa. Ngoja nijifunze kulamba makofi wanawake [emoji2][emoji2][emoji2]
Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!
Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
Hata mimi ni mwanamke lakini huwa nawashangaa sana wanawake wenzangu kwenye hili. Wanawake kwenye mapenzi ni kama hatuna misimamo ama sijui niseme hatujielewi.
Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.
Bora wengine tunajijua kabisa tukisema hatupendi kuwa controlled ni hatupendi kweli. Mimi mwanaume akiwa mpole ndiyo namheshimu ila akileta ubabe wallahi atajua hanijui.
Nakukubali sn babe, akili zikikutulia unatoa ushauri wa kibabe Sana. Wewe ni wife material kbsKuna wanawake tuna asili ya kichwa ngumu na kutest kama unaweza kukaliwa na kupelekeshwa.
Ila tukimpata anaesema No, hayumbishwi na kununa kwetu, wala uzuri wetu tunatiaga akili fasta.
Mkishajua mbinu zetu aisee hatutawatesa kabisa. Kwanza we hate being controlled, ila asietu control hatumtaki anaboa.
We hate being ignored, usipotushobokea tunajiskiaga kupasuka etc
Kubembelezwa tunapenda lakini not to the extent ya kuwa zoba.Daah! Kweli mwalimu wenu kipofu na hamjui mnataka nini?? Kuna uzi hapa juzi tu nimechangia wanawake wanalalamikia ubabe wa wanaume!! Wanataka mahaba na kubembelezwa zaidi!!
Ndiyo maana nimebeba characters zote ikibidi ubabe naupeleka ipasavyo ikibidi kubembeleza nabembeleza!! Yote maisha
Hahahah mnapenda challenging guys kwa kifupi. This is what most of you like kimsingi😅 mwanaume ambaye nae ana opinion zake sio mjumbe ndio!Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!
Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
😂😂😂😂😂😂 mnachanganya raia, sasa care mnataka mkipewa care tunageuka mazoba tena. Ukiwa bandidu mwanamke atalalamika ila its the right way ya kum handle mwanamke 😂Kubembelezwa tunapenda lakini not to the extent ya kuwa zoba.
Yaani wewe kila ninachokuambia unakubali.
Hapo tutakupelekesha hadi akili ikukae sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa msabato gani wewe ni bad boy tu, juu ya mti wewe ndege?[emoji23]
Najiamini sana tu mkuu, it was a humorous reply [emoji2][emoji2]Sijakuambia mwanaume anayepiga, hakuna anaetaka kipigo.
Kwa hiyo wewe kujiamini mpaka umlambe mtu makofi? basi haujiamini mkuu
HaipingwiDaah! Kweli mwalimu wenu kipofu na hamjui mnataka nini?? Kuna uzi hapa juzi tu nimechangia wanawake wanalalamikia ubabe wa wanaume!! Wanataka mahaba na kubembelezwa zaidi!!
Ndiyo maana nimebeba characters zote ikibidi ubabe naupeleka ipasavyo ikibidi kubembeleza nabembeleza!! Yote maisha
Dawa ni kua mshenzi tu, unalamba hadi kichuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachanganya raia, sasa care mnataka mkipewa care tunageuka mazoba tena. Ukiwa bandidu mwanamke atalalamika ila its the right way ya kum handle mwanamke [emoji23]
Sasa nyie kila kitu mseme 'ndiyo'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachanganya raia, sasa care mnataka mkipewa care tunageuka mazoba tena. Ukiwa bandidu mwanamke atalalamika ila its the right way ya kum handle mwanamke [emoji23]
😂😂😂😂😂😂 hahahah zoba utamjuaje sasa au ulishawahi ku date na zoba?Sasa nyie kila kitu mseme 'ndiyo'
Hata ambavyo unaona unapelekeshwa!uzoba huo,,vingine mjiongeze.
Mimi mtu akiwa zoba sana simtaki..nitamuonea[emoji1787]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tatizo nikuleta usabato had kwenye mapenzi. Kuna jamaa nilifumaga sms yake kwa dem amemtumia vifungu vya biblia ana mkumbusha kuzini ni dhambi hiv seriously kwel unamtumia dem unaemtongoza vitu kama hiv unategemea nini? Hapo wenda ata kumkiss uwezi kwa kuofia kutenda dhambi.
Kila kitu linasema 'ndiyo'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahah zoba utamjuaje sasa au ulishawahi ku date na zoba?