Geok
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 164
- 420
Kama wewe ni mtu mwenye akili sawa sawa usingeandika huo upuuzi wako. Ungekuja na hoja yenye mashiko kunikosoa, unaropoka ropoka tu. Na nilichomaanisha ni kwamba rate ya watu wa hali ya chini/wasio na kazi kwa nchi ya kenya ni kubwa kuliko Tz. Na maisha ya kenya sio lele mama. Kuna rate kubwa ya mfumuko wa bei za bidhaa. Acha kuropoka mzee, ongea na hoja sio huo upuuzi wako.Jamaa jinga kweli. Eti kenya kuna middle class wengi halafu hapo hapo maskini ni wengi.
Yaani middle class ni wengi kuliko Tanzania also Maskini ni wengi kuliko Tanzania. 😀 😀 😀 😀
Akili za wenzetu zipo kwenye makalio