chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Wafanyabiashara wengi wanaingiza mizigo kwa njia ya magendo, wanazitunza stoo. Wanaweza kupitishia bandarini, njia zisizo rasmi za mipakani, au kwa majahazi. Hawalipi Kodi.
Sasa serikali imeamua kusajili stoo wanazotunzia ili waweze kujua zilipo, wakague na waonyeshwe risiti za jinsi mzigo ulivyoingia, kama wewe umeingiza mzigo kihalali, kwa nini uone kero Afisa wa serikali kuja kuikagua?
Serikali isirudi nyuma katika hilo. Tunaona wamachinga Wana mzigo wanauza, kumbe wanatoa katika stoo ya tajiri, na tajiri anakuwa kauingiza kimagendo.
Kila mtanzania alipe Kodi, tunataka maendeleo, yatakuja vipi bila Kodi?
Nawashauri TRA hiyo kariakoo waiweke katika maeneo madogo madogo ya kiutawala. Iwe special zone. Wanauza bila risiti, waachwe tu? Hapana.
Huyo kiongozi wao serikali im-pin down kwa uhujumu uchumi, na biashara zake zikione Cha moto
Sasa serikali imeamua kusajili stoo wanazotunzia ili waweze kujua zilipo, wakague na waonyeshwe risiti za jinsi mzigo ulivyoingia, kama wewe umeingiza mzigo kihalali, kwa nini uone kero Afisa wa serikali kuja kuikagua?
Serikali isirudi nyuma katika hilo. Tunaona wamachinga Wana mzigo wanauza, kumbe wanatoa katika stoo ya tajiri, na tajiri anakuwa kauingiza kimagendo.
Kila mtanzania alipe Kodi, tunataka maendeleo, yatakuja vipi bila Kodi?
Nawashauri TRA hiyo kariakoo waiweke katika maeneo madogo madogo ya kiutawala. Iwe special zone. Wanauza bila risiti, waachwe tu? Hapana.
Huyo kiongozi wao serikali im-pin down kwa uhujumu uchumi, na biashara zake zikione Cha moto