Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Upo sawa mkuu mfumo bora unahitajika, mfanyabiashara haiangalii biashara kwa jicho la kiasibu, anaiangalia kwa jicho la kibiashara na hana matumizi na hesabu sababu yeye anatazama faida kwa jicho tofauti na accounting profit ila analazimika kuwa na hesabu sababu ya TRA na Banks.

Wakati mhasibu akiwaza cost of sales, Asset & Liabilities, cashflow and ratios mfanyabiashara yeye anachukua alichoingiza toa alichogharamia kupima iwapo biashara inalipa au la.

Wakati mhasibu akiwaza ROI, SWOT, Projected cashflow and feasibility reports, Mfanyabiashara anafikiria kupeleka pesa bank, kuongeza mzunguko, awe na collateral kisha akopesheke aongeze mzigo maana ameshaona unahitajika na kina nani.

Watu wawili, field moja ila fikra tofauti kabisa. Mara nyingi mfanyabiashara anamuona mhasibu kama mtu anayekula pesa zake bure. Kama sio bank na TRA kuhitaji mahesabu huenda asingemtaka kabisa.

Ukija kwenye Kodi. Kodi ni sheria sio uhasibu mfanyabiashara anahitaji kujua tu sheria inamtaka afanyaje ili aendelee kufanya biashara na hapa ndipo umuhimu wa mfumo bora unapozidi kuonekana. Mfumo ambao utakata kodi halali na TRA na mfanya biashara wasiviziane.
Kwenye tax administration act section 35 and 36 is not out of blue that’s just everyday booking. Bila ya ata uwepo wa hiyo sheria kibiashata tu it’s good practice ili usipigwe na wafanyakazi wako unahitaji kutunza hizo evidence anyway.

In bookkeeping:

Unahitaji ku record sales receipts ku record mauzo. Unahitaji purchase receipt kudai vat.

Hizo evidence zinakusaidia ku trace inventory, kufanya bank reconciliation kuangalia hela iliyopo bank ipo sawa kutokana na manunuzi yako na mauzo yako ya biashara na faida iliyopo au hasara.

Part V ya administration act inaweka tu msisitizo wa kutunza hizo accounting receipts kwa sababu na wao TRA wanatumia vielelezo hivyo hivyo kwenye kukudai kodi au unapowadai wewe kodi (kwa sababu kama unalipa in accrual kwa makadirio yao, mwisho wa mwaka si ajabu wewe ukawa unawadai inabidi wakurudishie and interest juu kadri wanavyochelewa kukupa.

Kama nilivyosema awali hakuna jipya kwenye hiyo sheria because ina elements za booking tu, sema hizo info pia ndio zinazotumika kwenye tax investigation.

Sasa ukiona mfanyabiashara analalamikia process za TRA sio kwamba hajui sheria tu il ni kwamba ata uelewa wake wa maswala ya bookkeeping ni tatizo.

Pili nimemsikiliza waziri mkuu kuhusu hoja za storage, story ni ndefu na malalamiko ya wafanyabiashara yana elements zilezile uelewa mdogo kuhusu storage and how inventory could be traced. Lakini tatizo sio wafanyabiashara wa Kariakoo bali hao watu wanaowaagizia mizigo kuna mashehena inaonekana yanapita bandarini bila ya kulipiwa kodi, ukijumlisha mzigo wenyewe ni bulk ya wafanyabiashara tofauti hiko ni kimeo kwao TRA wakitaka kuona mzigo wao kwa sababu awawezi kuwa na hizo receipts za clearance bandarini.

Ni swala dogo sana kulitatua iwapo hao wafanyabiashara wanapewa receipt za manunuzi kwa huyo shipper wao it can be traced; hawana kwa sababu kuna ukwepaji wa kodi kwenye kuingiza mizigo bandarini. Nyuma ya huo mgomo wa leo kuna mafisadi bandarini na Zungu ni sehemu ya hiyo team ya mafisadi.

TRA are not stupid wakiamua
 
Ni upuuzi kuwalea Hawa watu,eti Task force zisitishwe ,ngoja tuone hizo pesa watakavyozipata naona wanafanya mzaha na Wafanyabiashara wa Tzn..

Kwa maamuzi haya natamani niache kudai risiti lakini naona ntamfaidisha mfanyabishara wakati Mimi naumia..

Uwe tayari kusimama mpaka dakika ya mwisho na huo msimamo wako maana ukishaona watuhumiwa wana nywele za kalikiti unapata wazimu na kugeuka mtetezi wa dhambi zao.

Baada ya kumsikiliza waziri mkuu, nyuma ya huo mgomo kuna wakwepa kodi wakubwa bandarini wanao waagizia mizigo hao wafanyabiashara.

TRA are not stupid wakiamua kufanya matching and tracing wanafika mpaka bandarini na kubaini siku mzigo ulipoingia; kasheshe sasa kama ukulipia kodi na hiyo kazi imeanza kuna watu awataki hilo zoezi liendelee.
 
Ni upuuzi kuwalea Hawa watu,eti Task force zisitishwe ,ngoja tuone hizo pesa watakavyozipata naona wanafanya mzaha na Wafanyabiashara wa Tzn..

Kwa maamuzi haya natamani niache kudai risiti lakini naona ntamfaidisha mfanyabishara wakati Mimi naumia..
Upuuzi ni kuwalea mafisadi wanaogawana Kodi zetu ni Bora kukwepa Kodi kuliko kifaidisha wezi wachache wanaofugwa na serikali
 
Ukitaka kuishindwa nchi kiuchumi basi anzisha mapambano na wafanyabiashara.

Nyerere na bwana yule walishindwa kiuchumi kwa kujimwambafai kwa wafanyabiashara.


Mama usirudie makosa yao. Fata mfano ya wengine.


Muhimu zaidi, rejea kuhusu utawala na kuendesha Biadhara kutoka kwenye mafunzo ya Kiislaam, hautakwenda mrama hata siku moja.
Wafanyabiashara wanataka loophole ya kuingiza mzigo nchini kinyemela. Kiufupi wanataka waendelee kutolipa kodi stahiki kama walivyozowea!
 
btw, izo kodi unazotaka watu walipe zinasaidia nini taifa zaidi ya kunufaisha mafisadi to the extent ambayo nchi inaendeshwa kwa Mikopo na sio kodi?
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Ukitaka kuishindwa nchi kiuchumi basi anzisha mapambano na wafanyabiashara.

Nyerere na bwana yule walishindwa kiuchumi kwa kujimwambafai kwa wafanyabiashara.


Mama usirudie makosa yao. Fata mfano ya wengine.


Muhimu zaidi, rejea kuhusu utawala na kuendesha Biadhara kutoka kwenye mafunzo ya Kiislaam, hautakwenda mrama hata siku moja.

We Mende mchafu toka magomeni umeandika uandishi gani huu. Tatizo lenu na babu zenu hamkuwa na shule kichwani ndio mama hayati Nyerere akawatupa maana hambebeki mlizoea kuletewa tende na patron agakhan. Mzee kilizi side yeye babu yake alikua manamba. Hujui kuandika kobazi wewe
 
bossi ukiambiwa ukatoe ushahidi utaweza?!, we unafanya biashara gani mkuu?!, kama unasubiri notification ya bank mwisho wa wezi huwezi elewa kero na karaha. wanazopitia. itoshe kusema kuwa mazingira ya kodi yanatakiwa kuwa rafiki kwa mlipaji.
Huo ndio ukweli!!juzi wakati mko kwenye semina juu ya kuandikisha hizo stores mbona kila aliyekuwa akiulizwa baada ya kikao aliupenda huo utaratibu?Nijuavyo mimi kitanzi kikubwa cha wafanya biashara wote ni mashine za EFD'S hapo ndipo kisu kwenye mfupa!!!ili kutaka kupata faida kubwa,yaani faida uliyoweka kwenye bidhaa yako haitoshi,utake tena na 18% ya VAT iwe yako?!!hata hao wageni mnaosema wanasumbuliwa na TRA,lazima sasa kama mtu ana mzigo ambao risiti aliyonayo hailingani na thamani ya mzigo aachwe tu!!?kisa ni mgeni?sababu ya kipuuzi hiyo,kifupi biashara nyingi za kariakoo zimejaa ujanja ujanja mwingi sana.
 
We Mende mchafu toka magomeni umeandika uandishi gani huu. Tatizo lenu na babu zenu hamkuwa na shule kichwani ndio mama hayati Nyerere akawatupa maana hambebeki mlizoea kuletewa tende na patron agakhan. Mzee kilizi side yeye babu yake alikua manamba. Hujui kuandika kobazi wewe
Utawala upi ulikuwa na foleni ya unga, kuanzia Tanganyika mpaka Tanzania?
 
Wafanyabiashara wanataka loophole ya kuingiza mzigo nchini kinyemela. Kiufupi wanataka waendelee kutolipa kodi stahiki kama walivyozowea!
Hilo linawezekana kabisa, lakini hizo loopholes ndizo zitazamwe chanzo chake ni nini?

Wafanyabiashara wawekewe mfumo wa kodi ambao umenyooka na ni mwepesi kuufata "flat rate", kuondoa ukiritimba na loopholes.
 
Me naunga mkono kulipa kodi ila wakuu mnafikiri issue ipo wapi, Watu wanalipa hizo kodi zinaenda kufanyia nini hao wafanyabiashara wakubwa wanajuana na hao wakubwa wenzao walio serikalini na wajua wazi kwamba wao ni wapigaji pia, so hatakama ni kweli wanafanya hivyo basi ni kwa kuwa huko ngazi za juu wanafanya hivyo pia, Mnafikiri ingekuwa hao walioshika ngazi za uongozi ni waamifu hayo yote yangejulikana leo? Michongo ya miaka na miaka watu wapo kimya tu
 
Tatizo sio ma stoo tatizo ni maafia wa mipakani wanakuwa wapi mizigo ikiingizwa? Au wanaruhusu alafu waikamate?

Kinachotakiwa ni kuimarisha ulinzi mipakani vinginevyo mizigo ya hatari inaweza kuingizwa
Sasa rafiki yangu Mbona una kichwa kigumu sana? Unaambiwa mizigo inapita njia za magendo! Sasa maafisa wa Serikali ni wengi kiasi Gani wafichame Kila mapori ya mipaka ya nchi hii??
 
Tatizo sio ma stoo tatizo ni maafia wa mipakani wanakuwa wapi mizigo ikiingizwa? Au wanaruhusu alafu waikamate?
Sasa ulitaka Kamishna au Waziri wa Fedha awepo mpakani? Kama usemavyo ndivyo huoni kama mfumo store utamfanya mfanyabiashara aigope kuingiza mzigo kimagumashi kwa kuwa mzigo huo utakuja kujulikana store? Kwanini wakatae, kwa interest ya nani?
 
rc katolewa kwasabab ya uzembe wa kushindwa kuwaminya waasisi wa huo mgomo, watu wanatangaza kwamba siku fulani tutakua na mgomo wewe kama rc hakuna hatua yoyote unachukua kunusuru kero isitokee...
Yes maybe TiAraHei inamapungufu lakin Taskforce ilikua ni sehem ya kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi... Shida wabongo ukiwapa fursa (taskforce) wanaitumia vibaya kwa rushwa na unyanyasaji...
All in all, hao walio initiate huo mgomo watafuteni baada ya miezi 3 waulizeni wana hali gani, ndipo utaelewa duniani kote govt inaweza kujifanya imekubali kushindwa ila nyuma ya pazia ikakukanda kwa kusababisha hasara na usumbufu...
 
rc katolewa kwasabab ya uzembe wa kushindwa kuwaminya waasisi wa huo mgomo, watu wanatangaza kwamba siku fulani tutakua na mgomo wewe kama rc hakuna hatua yoyote unachukua kunusuru kero isitokee...
Yes maybe TiAraHei inamapungufu lakin Taskforce ilikua ni sehem ya kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi... Shida wabongo ukiwapa fursa (taskforce) wanaitumia vibaya kwa rushwa na unyanyasaji...
All in all, hao walio initiate huo mgomo watafuteni baada ya miezi 3 waulizeni wana hali gani, ndipo utaelewa duniani kote govt inaweza kujifanya imekubali kushindwa ila nyuma ya pazia ikakukanda kwa kusababisha hasara na usumbufu...
Haisaidii.

Serikali ina ndege za vita, Vifaru, bunduki. Lakini haina monopoly ya Ukweli.

Tunachotaka ni haki bin haki, serikali iwe fair na wafanyabiashara nao walipe kodi stahiki, wasikwepe kodi!
 
Kwenye haya madai ya leo nilichoweza kuwasapoti wafanyabiashara ni hapo kwenye kamata kamata ya wateja barabarani ila madai yao mengine yanachangiwa na wao wenyewe. Wafanyabiashara wa Kkoo wengi wao wana noti ndefu sana kutokana na ukwepaji kodi na janjajanja za kifala. Angalau kila mfanyabiashara angetoa kazi za mahesabu kwa vijana ingesaidia sana kwenye ajira ila kwa upuuzi wao wanataka kupambana na serikali bila kujua kisheria hawako sawa. Washukuru sana hii serikali ni sikivu na inajali vinginevyo wangebanwa hao wanaojiita viongozi wa wafanyabiashara kisha wafuasi wao kutawanyika bila kujitambua.
 
Back
Top Bottom