View attachment 2622676
Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.
TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.
The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.
Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.
Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.
Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.
Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.
Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.
Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,