Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Huo ndio ukweli!!juzi wakati mko kwenye semina juu ya kuandikisha hizo stores mbona kila aliyekuwa akiulizwa baada ya kikao aliupenda huo utaratibu?Nijuavyo mimi kitanzi kikubwa cha wafanya biashara wote ni mashine za EFD'S hapo ndipo kisu kwenye mfupa!!!ili kutaka kupata faida kubwa,yaani faida uliyoweka kwenye bidhaa yako haitoshi,utake tena na 18% ya VAT iwe yako?!!hata hao wageni mnaosema wanasumbuliwa na TRA,lazima sasa kama mtu ana mzigo ambao risiti aliyonayo hailingani na thamani ya mzigo aachwe tu!!?kisa ni mgeni?sababu ya kipuuzi hiyo,kifupi biashara nyingi za kariakoo zimejaa ujanja ujanja mwingi sana.
Mbona serikali inawaacha mafisadi wanaokwapua mabilioni ya pesa kila mwaka?
 
Jamani mwisho Wa Hawa watunga será na Serikali Yao na Spika wao ni Vema ikawa 2025 .
Hawa watu wameshindwa kusimamia mapato ya nchi. Wanakopa Kila Siku pesa zinaishia mifukoni Mwa Mafisadi
Kuna watu huko bandarini na TRA wanashirikiana na Wahindi kuiibia Serikali Kila sekunde ya pesa zinazoingia kwenye mfuko mkuu. Wanatumia wataalam Wa IT kutoka nje . Nchi ya Tazamia tu maisha Bora inaibiwa sana.
Haiwezekani nchi yenye Wananchi mil. 61 isiweze kujiendesha kupitia Kodi. Hapana ni uwongo Mkubwa unaosimamiwa na Mafisadi kuibia Nchi hili. Nchi hii Ina watumishi Wachache sana ukilinganisha na ukubwa wake na rasilimali zake na wingi Wa watu.
Hii Kila MTU analipa Kodi Kwa Kila bidha anayoinunua iwe ni kumnunulia mtoto wake au vinginevyo. Nchi hii watu wake wengi Wana ajira Binafsi au ya kuajiriwa. Ukienda huko mikoani na vijijini ukaona mageti ya ushuru usiku na mchana kutwa nchi Nzima utashangaa pesa zinakwenda Wapi!
Watu wanaiibia sana Serikali iliyojaa watawala waovu wanaowaogopa Wazungu kuliko MUNGU.
Jiulize Stendi za Mabasi nchi Nzima Kwa Siku wanakusanya Sh. Ngapi . Pesa ya kuokota tu kutoka Kwa wamiliki wa Mabasi Kwa kile kinachoitwa ushuru Wa Halmashauri lakini kiukweli ni pesa za kuwanufaisha walioshika zabuni na pesa kadogo sana Ndio zinaingia Halmashauri.

Watanzania wamelala fofofo hasa vijana wasomi . Halmashauri Badala ya kuajiri Vijana wasomi wakusanye ushuru wao Wanatumia wazabunia ambao ni watu wao wanaoshirikiana kupoteza mapato ya Serikali kupitia ushuru.
Usiku kucha kuna mabilioni ya pesa zinatolewa na wafanyabiashara kupitia mageti ya ushuru lakini zaidi ya asilimia 75 zinaishia mifukoni Mwa watu.

Hiví Kwa Mfano Stendi ya Mabasi kama Chalinze inahitaji Teknolojia Gani kujua KUWA Kwa Siku inaingiza Sh. Ngapi.! Yaani idadi ya magari Kwa Siku inajulikana halafu MTU anaeugusu makusanyo yaingie mifukoni Mwa mzabuni halafu kidogo kiende SERIKALINI. Mzabuni mwenye wafanyakazi wasio na NSSF Wala Bima ya Afya Wala hawalipi Kodi kwenye mishahara . Lakini tuna watu waliotunga SHERIA za ajabu Kwa manufaa Yao ya Kila mbunge kushirikiana na madiwani na Mkurugenzi kuhujumu mapato ya nchi. Wanaoumizwa ni wafanyabiashara Kwa manufaa ya majizi . Mipaka 61 ya uhuru Bado nchi unategemea misaada na kuwaacha watawala kujilimbikizia Mali za Wizi .
Hakuna muujiza zaidi ya kuwatoa wahuni madarakani.

Lakini wakati huo huo Kuna MTU mmoja Ana Miliki Malori mia nane na anabeba madini usiku kucha na Hana ushuru Barabarani Kila wilaya kama MTU aliyebeba mahindi au matikiti ambao linahesabiwa moja moja na Kila moja litolewe pesa .

Kuna MTU anaagiza Malori mia tatu Kwa pamoja lakini anapitisha bandarini kijanja kijanja lakini maskini akiagiza kiaIST analipa makodi na maushuru na matozo zaidi ya 70 % ya Bei aliyonunulia.
Kwa haraka haraka Lori mia tatu kuingizwa bandarini Kama zinalipiwa Kodi kama wanavyolipa wananchi wanyonge wanaoagiza Bajaji basi Hapo pangekua kuna mabilion ya pesa zinaishia SERIKALINI? Lakini Hapo ni rushwa na pesa zinatoroshwa na kuhamishwa huku nchi ikiwa inabaki kuendeshwa Kwa Mikopo.

Kuna MAHALI fedha za umma zinavuja sana.

Bahati Mbaya sana viongozi Wa upinzani nao wameshajionyesha mapema KUWA kumbe wanajali maslahi Yao na Sio umma Ndio Maana walipopewa stahiki zao za kisheria kabisa wamekaa kimya kama vile wamepewa hisani.
CCM irudi kwenye misingi yake ya kupambana na rushwa na ubadhirifu Wa Mali za wanyonge.
 
Kwenye tax administration act section 35 and 36 is not out of blue that’s just everyday booking. Bila ya ata uwepo wa hiyo sheria kibiashata tu it’s good practice ili usipigwe na wafanyakazi wako unahitaji kutunza hizo evidence anyway.

In bookkeeping:

Unahitaji ku record sales receipts ku record mauzo. Unahitaji purchase receipt kudai vat.

Hizo evidence zinakusaidia ku trace inventory, kufanya bank reconciliation kuangalia hela iliyopo bank ipo sawa kutokana na manunuzi yako na mauzo yako ya biashara na faida iliyopo au hasara.

Part V ya administration act inaweka tu msisitizo wa kutunza hizo accounting receipts kwa sababu na wao TRA wanatumia vielelezo hivyo hivyo kwenye kukudai kodi au unapowadai wewe kodi (kwa sababu kama unalipa in accrual kwa makadirio yao, mwisho wa mwaka si ajabu wewe ukawa unawadai inabidi wakurudishie and interest juu kadri wanavyochelewa kukupa.

Kama nilivyosema awali hakuna jipya kwenye hiyo sheria because ina elements za booking tu, sema hizo info pia ndio zinazotumika kwenye tax investigation.

Sasa ukiona mfanyabiashara analalamikia process za TRA sio kwamba hajui sheria tu il ni kwamba ata uelewa wake wa maswala ya bookkeeping ni tatizo.

Pili nimemsikiliza waziri mkuu kuhusu hoja za storage, story ni ndefu na malalamiko ya wafanyabiashara yana elements zilezile uelewa mdogo kuhusu storage and how inventory could be traced. Lakini tatizo sio wafanyabiashara wa Kariakoo bali hao watu wanaowaagizia mizigo kuna mashehena inaonekana yanapita bandarini bila ya kulipiwa kodi, ukijumlisha mzigo wenyewe ni bulk ya wafanyabiashara tofauti hiko ni kimeo kwao TRA wakitaka kuona mzigo wao kwa sababu awawezi kuwa na hizo receipts za clearance bandarini.

Ni swala dogo sana kulitatua iwapo hao wafanyabiashara wanapewa receipt za manunuzi kwa huyo shipper wao it can be traced; hawana kwa sababu kuna ukwepaji wa kodi kwenye kuingiza mizigo bandarini. Nyuma ya huo mgomo wa leo kuna mafisadi bandarini na Zungu ni sehemu ya hiyo team ya mafisadi.

TRA are not stupid wakiamua
Kwa maelezo yako mazuri, neno
GSM halikupaswa kukosekana.
Lakin pia serkali na Tra wafungue mfumo wa uwepo wahasibu na tax consultants kwa wafanyabiashara wa ngaz zote kwa premium rafiki. Inapanua ajira pia.
Ni kama tunavyopigania utambuz wa paralegals kusaidia raia ngaz za chini.
Mf Uganda katika biashara ya magari walishinikiza uwepo wa dalali na commission yake kimfumo na kisheria.
Hapa kuna tatizo na changamoto.
Tatizo: sheria za kodi hasa asilimia au double taxation.
Changamoto: watendaji kama maafisa na task force kutumia mbinu za kibabe au nginjanginja na kwa nia ovu ya rushwa.
Bottomline: sheria zetu ni za kufirisiana si rafiki.
 
Daaaa!!wafrika tuna shida sanaa!!yaani umeona hilo la ukwepaji kodi halikuhusu?!!kama mwananchi wa kawaida
Nadhani malalamiko yao umeyasikiliza vizuri..
Issue siyo kulipa Kodi ni taratibu wanazotimia kukusanya/kupata hizo kodi...

Kulipa si wanalipa miaka yote...Tena kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo siyo Issue..
 
Kodi za tz ukitekeleza kwa asilimia Mia moja unafunga duka
 
Nawewe kama ni afsa wa serikali kwa maana ya TRA unajua kuwa bandarini umescan contenna, umejua mali ilyomo ndani ukachaji ushuru hata kama wa kunyonga mfanyabiashara AKAKULIPA unakujaje dukani kufuatilia mambo yake?

Hii policy yenu inaharalisha rushwa na Unyanyasaji kwa wafanya biashara. Hii nchi watunga sera wako biased, wakikuona unafanya biashara wanakua mtimanyongo udondoke chini. HIVI NINY MNATAKA WOTE TUAJILIWE SIRIKALINI, SASA SI MTOE AJIRA? KUNA WAKATI PAKA HUGEUKA SIMBA..Nchi si ya mtu mmoja!! Au kikundi cha watu la hasha...
Umeongea ukweli mtupu. Na hatufungui maduka sasa , potelea mbali, paka kama huyo mtoa mada aje yeye afungue biashara yake halafu tuone
 
View attachment 2622676



Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.

TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.

The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.

Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.

Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.

Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.

Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.

Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.

Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,
Umenena yote kitu kimoja tu kama ulivyosema wateja kukamatwa waache mara moja ila hili la store nadhani lina mantiki kubwa labda ni njia ya kufuatilia hili kwa maana kwa ushirikiano ili isiwe linaleta kukimbizana. Nimewahi kwenda kununua bidhaa sehemu la alifungua simu tu nakuangalia kama iko kwenye stock yao mbona hakuna shida na mambo ya kodi ni rahisi kuwasilisha report stock ni hii ni tupate utaratibu lakini lazima tukubali kuna ujanja mwingi kwenye hizi store sana tu.
 
View attachment 2622676



Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.

TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.

The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.

Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.

Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.

Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.

Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.

Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.

Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,
Sasa kwani nani kasema kinachofanyika ni kinyume cha sheria? Tunachosema ni kwamba hizo sheria kandamizi zibadilishwe
 
Sasa kwani nani kasema kinachofanyika ni kinyume cha sheria? Tunachosema ni kwamba hizo sheria kandamizi zibadilishwe
Sheria kama hiyo yetu ya tax administration; Kenya yao wanaita ‘tax procedure act’


Mambo hayo hayo yaliyopo kwetu na kwao yapo.

A111D0B7-6138-4F33-8298-CFC41DFE9FFD.jpeg


Na kwenyewe unatakiwa utunze record kwa miaka 5 kama Tanzania (huo ndio muda ambao nchi nyingi tax authorities hurudi nyuma kwenye uchunguzi).

It must be said hadi wafanye uchunguzi wakurudi nyuma kwa miaka 5 ni kwa sababu wamebaini ubadhirifu mkubwa ambao unawapa mashaka ata miaka ya nyuma ulikuwa ulipi sahihi.

Sasa wao TRA wana abuse aspect ya hiyo dhana kwa kuwasumbua watu unnecessary, kutaka kuona record za nyuma wakijisikia tu; huo ni unyanyasaji na sio dhumuni lake.

28EB0689-F05D-438E-AAE3-BCCB5CE14D24.jpeg


Ndio hayo tunayozungumza mambo ya kutaka kufika mpaka store ata Kenya yapo.


F516C8B6-78FB-465D-B210-1B2CD92EE795.jpeg


Power to search and seize; mambo tunayo lalamikia TRA kuingilia bank na kutaka kupewa bank statement na Kenya yapo.

Hizo sheria zetu hazina shida kabisa zinafanana duniani, issue ni uelewa walipa kodi. Otherwise ukitimiza wajibu wako afisa wa TRA ni fala tu ambae awezi kukuzingua kabisa, mipaka yake ipo kisheria awezi toka nje ya hapo.
 
Sheria kama hiyo yetu ya tax administration; Kenya yao wanaita ‘tax procedure act’


Mambo hayo hayo yaliyopo kwetu na kwao yapo.

View attachment 2623641

Na kwenyewe unatakiwa utunze record kwa miaka 5 kama Tanzania (huo ndio muda ambao nchi nyingi tax authorities hurudi nyuma kwenye uchunguzi).

It must be said hadi wafanye uchunguzi wakurudi nyuma kwa miaka 5 ni kwa sababu wamebaini ubadhirifu mkubwa ambao unawapa mashaka ata miaka ya nyuma ulikuwa ulipi sahihi.

Sasa wao TRA wana abuse aspect ya hiyo dhana kwa kuwasumbua watu unnecessary, kutaka kuona record za nyuma wakijisikia tu; huo ni unyanyasaji na sio dhumuni lake.

View attachment 2623655

Ndio hayo tunayozungumza mambo ya kutaka kufika mpaka store ata Kenya yapo.


View attachment 2623657

Power to search and seize; mambo tunayo lalamikia TRA kuingilia bank na kutaka kupewa bank statement na Kenya yapo.

Hizo sheria zetu hazina shida kabisa zinafanana duniani, issue ni uelewa walipa kodi. Otherwise ukitimiza wajibu wako afisa wa TRA ni fala tu ambae awezi kukuzingua kabisa, mipaka yake ipo kisheria awezi toka nje ya hapo.

Hatuwezi kuishi kwa mazoea, Kenya walipofunga Lockdown Corona ulitaka na sisi tuwaige?
 

Hatuwezi kuishi kwa mazoea, Kenya walipofunga Lockdown Corona ulitaka na sisi tuwaige?
Utaratibu wa Uganda na sheria yao 👇


C2E0DDCE-7B6E-46D1-AA7E-67CA505A58BA.jpeg


Na kwenyewe hayo hayo weka record kwa miaka 5

A0EF593B-1948-4598-B4BD-7BBCE6F30CDD.jpeg


Mamlaka ya mapato inataka access ya information including physical assets (maana yake storage).

F45A3B77-B4A6-475D-BA6B-84CD1248512D.jpeg


Uwezo wa kuomba details zako za bank.

Nikienda nchi za ulaya sheria zao zitakuwa na mambo hayo hayo; this is why you learn those principle in taxation modules and financial accounting; uwezi kwanza ata kuandaa financial statement yako bila ya hizo info.

Mfanyabiashara anaeshangaa ni clueless kabisa kwenye maswala ya uhasibu.
 
Utaratibu wa Uganda na sheria yao 👇


View attachment 2623694

Na kwenyewe hayo hayo weka record kwa miaka 5

View attachment 2623697

Mamlaka ya mapato inataka access ya information including physical assets (maana yake storage).

View attachment 2623702

Uwezo wa kuomba details zako za bank.

Nikienda nchi za ulaya sheria zao zitakuwa na mambo hayo hayo; this is why you learn those principle in taxation modules and financial accounting; uwezi kwanza ata kuandaa financial statement yako bila ya hizo info.

Mfanyabiashara anaeshangaa ni clueless kabisa kwenye maswala ya uhasibu.
Hatuwezi kuishi kwa mazoea, kisa Uganda wameamua kuwa masikini na sisi tukubali kuemdelea na umasikini? Dawa hii hapo chini. Jibu hiyo hapo chini kama una hata akili mbili kichwani, maana umekuwa kama kasuku tu.

 
Mfanyabiashara anayo haki ya kuclaim Input tax aliyolipia wakati akifanya importation kama amefanya taxable supplies na amesajiliwa VAT. Sheria inatoa haki kwa pande zote mbili.. ila Wafanyabiashara wengi ni wabinafsi wanataka mapato yote yabaki kwao.. Sheria haimkandamizi mfanyabiashara.. inampa uhuru wa kuandaa vitabu vyake mwenyewe na kujikadiria kodi mwenyewe... kufile for VAT mwenyewe ila They are not faithfully.
Mkuu vitabu tumecopy na kupaste kwenye advanced country kwa mazingira yetu Bado serikali na vyombo vyake inahotaji kuilea sekta binafsi.Mtu kauza shamba lake la miti hapo Njombe anaamua kufungua biashara hajui chochote juu ya hizo stori za vitabu.Ni jukumu la TRA kuwalea kidogo kidogo.Lakini kwa kuwa tunao vijana wanapenda maisha maxuri fasta.Akifika pale ni kuchapa offence na kumwita huyu mgeni wa biashara mezani.Anapewa option ya kutoa mlungura wa 1M au kulipa 4M serikalini.Unadhani Kuna mjinga ataopt 4M?
 
Kwenye hili serikali msikubali. Asiyetaka afunge duka lake. Wafanyabiashara wengi Ni majizi yanakwepa Kodi.
Huo ni mtazamo wako na ni mtazamo hatari.Wangekua wezi bidhaa ungepataje?
 
Mayor Quimby Mkuu wewe ni corporate attorney?
Wala just basic accountancy knowledge in taxation (ata watu wa finance baadhi ya vyuo wanafundishwa tax) lazima ujue madhara ya kukwepa kodi, what evidence you need to keep, nini kitafanyika jamaa wakiweka kambi na kuchunguza kwa mujibu wa sheria.

Kwa upande wa mfanyabiashara pia ata ukijifanyia auditing wewe mwenyewe kuona kama mali zako aziibiwi kishamba utapita njia hiyo hiyo ya TRA. Ata kutengeneza trial balance na financial statement utatumia info hizo hizo.

Ni basic accountancy knowledge. Ndio maana ata kwenye hili sakata baada ya kumsikiliza waziri ni kuona kuna mchezo wa kukwepa kodi particularly kwa watu wanaoleta na kuhifadhi hiyo mizigo in bulk kwa wafanyabiashara wa kariakoo na ndio walio nyuma ya huo mgomo.
 
Back
Top Bottom