Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Jiulize kwanza ni kwanini wanarisk kuingiza mizigo yao kwa njia za magendo?
Pili jiulize kwanini mizigo haikamatwi kabla ya kufika kwenye hizo store?
 
Nendeni mkafanyie kazi masuala yahusuyo Kariakoo... Lile eneo lingekuwa kwa wenzetu wanaotumia vizuri akili zao lingefanywa kuwa duty_free ili liwe maarufu nje na ndani ya nchi kwa utalii wa shopping!
Then baada ya pale Kodi zingekusanywa nyingi tu kwa namna ambayo haiathiri maendeleo endelevu ya eneo husika!
Kwani tatizo ni nini?
Kariakoo inapotential kubwa sana ya kuwa hub ya shopping tourism kubwa tu!
Au mnasubiri DRC au Kenya waje na models zao ndo mkaige??
#Kariakoo #Duty_free #Shopping_Tourism_Hub
 
Jiulize kwanza ni kwanini wanarisk kuingiza mizigo yao kwa njia za magendo?
Pili jiulize kwanini mizigo haikamatwi kabla ya kufika kwenye hizo store?
Kwamba mizigo inaingia kwa magendo hizo ni finger pointing na blame culture! Mpaka mizigo hiyo inaingia mamlaka nyingine ziko wapi? Zinafanya nini? Mbona TRA wanataka kuonesha wao ndo wako so perfect??
Ujinga tu!!
 
View attachment 2622676



Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.

TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.

The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.

Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.

Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.

Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.

Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.

Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.

Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,
Umeliweka vizuri sana
 
Na tatizo ulielewa au unaongea bila kuwa makini na malalamiko? Watu wakitoa changamoto jaribu kufikiria hadi mtu anagoma kakutana na changamoto ngapi tatizo ni sheria za kusajili store hawajakataa kusajili.
 
Nataman nikutukane pumbavu zako. Wew unadhan watu hawapendi kulipa kodi?

Unadhan watu wanapenda kuingiza mizigo kimagendo?
Mfanyabiashara anayo haki ya kuclaim Input tax aliyolipia wakati akifanya importation kama amefanya taxable supplies na amesajiliwa VAT. Sheria inatoa haki kwa pande zote mbili.. ila Wafanyabiashara wengi ni wabinafsi wanataka mapato yote yabaki kwao.. Sheria haimkandamizi mfanyabiashara.. inampa uhuru wa kuandaa vitabu vyake mwenyewe na kujikadiria kodi mwenyewe... kufile for VAT mwenyewe ila They are not faithfully.
 
Wafanyabiashara wengi wanaunga unga mitaji hawawezi kuleta kontena zima.

Wanajiunga kikundi wanamtuma mmoja mzigo unaingia kwa jina moja.

Wakishapeana kila mtu wa kwake wanajikuta hawana risiti mzigo unageuka wa magendo wazalendo uchwara wanawaita wakwepa kodi.
 
View attachment 2622676



Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.

TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.

The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.

Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.

Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.

Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.

Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.

Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.

Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,
Ni sawa ila mfanyabiashara hana muda na uhasibu ana muda na hesabu za kawaida. Nimenunua m10, nimesafirisha m5 Jumla m15, nimelipa kodi m3 Jumla 18 huu mzigo ili unipe faida unatakiwa usitoke chini ya M20. Hawezi kuona umuhimu wa kwenda shule wakati ni hesabu nyepesi tu.

TRA wanapaswa kuwafahamu wafanya biashara wao kisha waje na mfumo ambao wataongea lugha moja nyepesi.
 
View attachment 2622676



Ukisikiliza malalamiko mengine ya wafanyabiashara utadhani wanaonewa kweli, wakati utaratibu upo kwenye sheria.

TRA awana mamlaka yeyote nje ya hiyo sheria na mipaka yao ya kazi inaishia hapo; utegemei mfanyabiashara ajue hayo mambo (but it’s good idea to understand) ila kwa ushauri tu wa muhasibu aliesomea kodi ni rahisi kumuelezea jinsi ya kujilinda.

The only logical explanation ya mfanyabiashara kulalamika TRA kutaka access ya storage kuangalia inventory; ni kwamba yeye mwenyewe ajifanyii ata internal audit.

Mamlaka ya kodi ikitaka kuona uwadhulumu kodi yao watataka hiyo access ndio maana kwenye sheria hiyo hiyo kuna section inataka utunze sales receipts and purchases invoices.

Shida kubwa ni uelewa wa maswala ya uhasibu, na haya ni mambo basic tu ya bookkeeping unaweza jifunza ata kwa miezi sita tu.

Yaani huu upuuzi kabisa wa kusimamisha shughuli za bunge kwa uzembe wa wafanyabiashara kutoelewa sheria ya majukumu na kazi za TRA.

Ila hilo la kukamata wateja kwakweli ni ushamba.

Banana republic na wafanyabiashara wenye uelewa mdogo.

Hiyo sheria ya tax administration act; nadhani karibu nchi zote duniani utakuta zina elements hizo hizo. Ni muhimu kwenye sio kwenye kukagua kodi tu ata kwenye materiality in auditing,
Kinachothibitisha wafanyabiashara hawajui mbaya wao ni pale wanapomlalamikia mtekelezaji wa sheria wakamuacha mtunzi wa sheria.
Kibaya zaid hakuna sheria mbaya mpaka itamkwe na mamlaka husika kuwa ni sheria mbaya. (There is no badlaw because it is no law)
Na tukubaliane tu kwa sheria tulizonazo za kodi(kama zilivyotungwa na bunge yan wananchi wenyewe) afisa wa TRA wakizisimamia hakuna mfanyabiashara atatoboa.
Ndo kusema afsa wa TRA wana uchungu wa mama hadi wanakuwa laissez-faire ili kumnufaisha mfanyabiashara!
 
Ni sawa ila mfanyabiashara hana muda na uhasibu ana muda na hesabu za kawaida. Nimenunua m10, nimesafirisha m5 Jumla m15, nimelipa kodi m3 Jumla 18 huu mzigo ili unipe faida unatakiwa usitoke chini ya M20. Hawezi kuona umuhimu wa kwenda shule wakati ni hesabu nyepesi tu.

TRA wanapaswa kuwafahamu wafanya biashara wao kisha waje na mfumo ambao wataongea lugha moja nyepesi.
Point muhimu hapo ni hiyo ya TRA kuwafahamu wafanyabiashara wao na kutoa elimu zaidi.

Another alternative inayoleta shida ni kukosekana kwa accounting services Tanzania. Nchi nyingi duniani biashara ambazo hazina uwezo wa kuajili accountant full time. Unaweza pata huduma za kihasibu periodically kwa sababu ya hesabu kodi na ushauri wa maswala ya kodi.

Vinginevyo umenunua mzigo 10 elewa kodi ya kwanza hapo ni VAT hiyo ipo unapouza tu, pili kuna kodi ya faida (income tax) hiyo sasa kabla ujalipa ndio unatoa gharama za kusafirisha migo unaweza kuwa ata umetengeneza hasara usidaiwe. Kwenye hasara unaruhusiwa kupata tax rebate (kurudishiwa baadhi ya hela ulizolipia income tax miaka ya nyuma na TRA).

Ni hivi swala la kodi ni uelewa wa taratibu za kiuhasibu na upo kundi gani; vinginevyo viwango vya kodi ni sheria ambayo baadhi vinaweza badilika kila mwaka kutokana na budget.

Na administration ya kodi (jinsi hiyo kodi) itakavyodaiwa TRA pia wanasheria yao ya mwongozo; awawezi fanya kinyume na hapo.

Wajibu wa mlipa kodi kwenye sheria ni kuelewa hasa

6A6A1D49-3189-44E2-AFAE-8BEED3E868E2.jpeg


03099354-8956-45BC-83FB-B902E5B0782D.jpeg


Muhimu kwa mfanyabiashara ni kuelewa ‘section V’ yote ya tax administration nimeweka baadhi ya mambo humo yanayoelezea nini cha kutunza kwenye vitabu na power of access waliyo nayo TRA.

Shida zaidi ni maafisa hao maafisa wa TRA na wengine ni vigogo ata wao hiyo sheria sijui awajailewa. Kuna wasaa unawasikia wanawaambia watu sio lazima kutunza vitabu kwa sababu mauzo yao ayajafika 100 million. Hakuna sehemu sheria inasema hivyo. Ata kama viwango vya kodi ni tofauti na malipo yako ni tofauti, swala la kutunza hesabu sahihi ni la kisheria na kwa usalama wako.
 
Kinachothibitisha wafanyabiashara hawajui mbaya wao ni pale wanapomlalamikia mtekelezaji wa sheria wakamuacha mtunzi wa sheria.
Kibaya zaid hakuna sheria mbaya mpaka itamkwe na mamlaka husika kuwa ni sheria mbaya. (There is no badlaw because it is no law)
Na tukubaliane tu kwa sheria tulizonazo za kodi(kama zilivyotungwa na bunge yan wananchi wenyewe) afisa wa TRA wakizisimamia hakuna mfanyabiashara atatoboa.
Ndo kusema afsa wa TRA wana uchungu wa mama hadi wanakuwa laissez-faire ili kumnufaisha mfanyabiashara!
Hiyo sheria ya tax administration aina shida vile. Wewe taja nchi moja duniani of your choice ambayo sheria zao zipo kwa lugha ya kizungu nitakuletea inasema vivo ivyo na hiyo ya Tanzania.

Hayo mambo yaliyopo kwenye sheria yana cover vitu ambavyo utafundishwa kwenye kuanzia kwenye booking, mpaka kwenye masomo ya tax. It’s how things are done ulimwenguni mimi sio muhasibu Tanzania ila kwa uelewa tu utaratibu wa bookkeeping , auditing, maswala ya kodi na tax administration; logical conclusion ikanijia lazima kutakuwa na sheria inayoelezea hayo mambo. Hiyo section five ni process za bookkeeping pia kwenye biashara.

Shida ya hao watu ni uelewa wao tu wa maswala ya kodi, ni hivi system za kodi ni ngumu kukwepa na hayo mambo yapo kwenye sheria sema ayasisitizwi sana; ndio maana TRA ikiyaamsha wafanyabiashara wanastuka utadhani mapya. Heck ata huyo Mwigulu mpaka anakuwa waziri wa fedha alikuwa hajui kama sheria inataka utunze vitabu na evidence za kodi kwa miaka 5 hawa ndio sampuli ya viongozi wetu na hizo sheria wanapitisha wenyewe.
 
Point muhimu hapo ni hiyo ya TRA kuwafahamu wafanyabiashara wao na kutoa elimu zaidi.

Another alternative inayoleta shida ni kukosekana kwa accounting services Tanzania. Nchi nyingi duniani biashara ambazo hazina uwezo wa kuajili accountant full time. Unaweza pata huduma za kihasibu periodically kwa sababu ya hesabu kodi na ushauri wa maswala ya kodi.

Vinginevyo umenunua mzigo 10 elewa kodi ya kwanza hapo ni VAT hiyo ipo unapouza tu, pili kuna kodi ya faida (income tax) hiyo sasa kabla ujalipa ndio unatoa gharama za kusafirisha migo unaweza kuwa ata umetengeneza hasara usidaiwe. Kwenye hasara unaruhusiwa kupata tax rebate (kurudishiwa baadhi ya hela ulizolipia income tax miaka ya nyuma na TRA).

Ni hivi swala la kodi ni uelewa wa taratibu za kiuhasibu na upo kundi gani; vinginevyo viwango vya kodi ni sheria ambayo baadhi vinaweza badilika kila mwaka kutokana na budget.

Na administration ya kodi (jinsi hiyo kodi) itakavyodaiwa TRA pia wanasheria yao ya mwongozo; awawezi fanya kinyume na hapo.

Wajibu wa mlipa kodi kwenye sheria ni kuelewa hasa

View attachment 2623103

View attachment 2623105

Muhimu kwa mfanyabiashara ni kuelewa ‘section V’ yote ya tax administration nimeweka baadhi ya mambo humo yanayoelezea nini cha kutunza kwenye vitabu na power of access waliyo nayo TRA.

Shida zaidi ni maafisa hao maafisa wa TRA na wengine ni vigogo ata wao hiyo sheria sijui awajailewa. Kuna wasaa unawasikia wanawaambia watu sio lazima kutunza vitabu kwa sababu mauzo yao ayajafika 100 million. Hakuna sehemu sheria inasema hivyo. Ata kama viwango vya kodi ni tofauti na malipo yako ni tofauti, swala la kutunza hesabu sahihi ni la kisheria na kwa usalama wako.
Upo sawa mkuu mfumo bora unahitajika, mfanyabiashara haiangalii biashara kwa jicho la kiasibu, anaiangalia kwa jicho la kibiashara na hana matumizi na hesabu sababu yeye anatazama faida kwa jicho tofauti na accounting profit ila analazimika kuwa na hesabu sababu ya TRA na Banks.

Wakati mhasibu akiwaza cost of sales, Asset & Liabilities, cashflow and ratios mfanyabiashara yeye anachukua alichoingiza toa alichogharamia kupima iwapo biashara inalipa au la.

Wakati mhasibu akiwaza ROI, SWOT, Projected cashflow and feasibility reports, Mfanyabiashara anafikiria kupeleka pesa bank, kuongeza mzunguko, awe na collateral kisha akopesheke aongeze mzigo maana ameshaona unahitajika na kina nani.

Watu wawili, field moja ila fikra tofauti kabisa. Mara nyingi mfanyabiashara anamuona mhasibu kama mtu anayekula pesa zake bure. Kama sio bank na TRA kuhitaji mahesabu huenda asingemtaka kabisa.

Ukija kwenye Kodi. Kodi ni sheria sio uhasibu mfanyabiashara anahitaji kujua tu sheria inamtaka afanyaje ili aendelee kufanya biashara na hapa ndipo umuhimu wa mfumo bora unapozidi kuonekana. Mfumo ambao utakata kodi halali na TRA na mfanya biashara wasiviziane.
 
Mwaka Jana nilifungua biashara nikaenda manispaa wakaniambia huwezi pata leseni bila tax clearance nikarudi tra wakaniambia huwezi kupata tax clearance bila kuwa na mashine biashara ni mpya Sasa napata wapi Tena ela ya mashine laki Tano na tisini? Nikaenda kukopa ili ninunue mashine kama tra watakavyo niweze kupata leseni baada ya kununua mashine nikawapelekea risiti za mashine na mashine yenyewe wakaingiza kwenye mifumo yao baada ya hapo wakanipa tax clearance na waliniambia ela ya kununua mashine itakatwa kwenye makadirio ya Kodi Kwa mwaka huo nikaona hakuna shida nikaenda manispaa nikachukua leseni nikaendelea kufanya biashara bila tatizo nikijua sidaiwi Kodi mwaka huu nikaenda tra kuchukua tax clearance ili nipate leseni ajabu nikaambiwa nadaiwa mwaka Jana sijalipa chochote nikabaki nashangaa nikawaambia simliniambia nikinunua mashine ela yangu itakatwa kwenye Kodi? Wakasema kosa langu hukuandika barua kuomba Kodi ikatwe kwenye mashine nikawauliza wakati mnanipa tax clearance mbona hamkuniambia nilete barua? Wakasema ni Sheria kama hukuandika barua ni lazma ulipe deni ndio upate tax clearance Kwa kweli nilihuzunika Sana na hili tatizo walijitokeza wengi wenye tatizo kama langu hatimae nikaibiwa na serikali yangu kupitia tra mpaka Leo naiona tra ni kama wezi Fulani hivi
 
Ukitaka kuishindwa nchi kiuchumi basi anzisha mapambano na wafanyabiashara.

Nyerere na bwana yule walishindwa kiuchumi kwa kujimwambafai kwa wafanyabiashara.


Mama usirudie makosa yao, fata mifano ya wengine.


Muhimu zaidi, rejea kuhusu utawala na kuendesha Biashara kutoka kwenye mafunzo ya Kiislaam, hautakwenda mrama hata siku moja.
 
Back
Top Bottom