Kwanini wafanyakazi wa Zanzibar wawekewe nauli za usafiri kwenda kazini na kurudi wa Tanzania bara wasipewe?

Watanzania mjue jambo moja tu.

Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.

Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.

Raisi Samia angalia hili
Tena Zanzibar ni padogo sn mtu anaweza kutembea kwa miguu, bara mtu anatoka Mailmoja mpk Posta anatumia zaidi ya elf 5 kwenda na kurudi kila siku
 
Marais wote tulionao kwasasa ni wazenji na kumbuka "mtuuu kwao".
Kunavinchi kwa baiskeli unakamaliza alafu wanapewa nauli mradi isisomeke kaongeza mishahara wabarabara watashtuka!!!
 
Marais wote tulionao kwasasa ni wazenji na kumbuka "mtuuu kwao".
Kunavinchi kwa baiskeli unakamaliza alafu wanapewa nauli mradi isisomeke kaongeza mishahara wabarabara watashtuka!!!
Mwinyi ni mtu Kisarawe. Au ndio kusema wapwani wote ndugu? Inafikirisha!
 
Kwamba zimetoka wapi? Nchi haina mapato?
Hela si hizi za mikopo tunagawana?
Ukisema watalii waitaliano na hotel zao hamna chochote labda 10%.
Kingine samaki forodhani si km ferry tu.
Zaidi ya hapo kuna nini?
Nimeskia watachimba mafuta sijui lini
 
Hawa viongozi wanachochea moto... hivi walidhani kwa hizi statement layman au hata mkulima kijijini ambae sio mfanyakazi na anajua kodi zake zinatumika pia serikalini kuwahudumia wafanyakazi akisikia haya kwamba wale wanapewa hawa hawapewi anajenga nini rohoni kama sio chuki....

Narudia tena kama tuachane tuachane kama marafiki ili hata tutembeleane kuliko kama maadui tutafukuzana....
 
Watanzania mjue jambo moja tu.

Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.

Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.

Raisi Samia angalia hili

Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 imewaliza Machozi Watanzania​

 
Watanzania mjue jambo moja tu.

Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.

Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.

Raisi Samia angalia hili

Sasa wale wapo wachache Sana

Huku kwetu ukitoa 50 Kwa wafanyakazi wote tunafirisika
 
Mapato wanayoshindwa kulipia umeme wanaoutumia?
Sio

Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 imewaliza Machozi Watanzania​

Ukubwa pua sio wingi wa Kamasi unaifananisha Zanzibar na temeke ? Mwambieni basi huyo Raisi wa temeke awape na nyinyi posho ya nauli pole sana
 
Mipango ya serikali.....Zbar...huku tuna yetu pia !!
 
Watanzania mjue jambo moja tu.

Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.

Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.

Raisi Samia angalia hili
swali ni je nauli ni suala la muungano
 
Ni ajabu watanganyika wakichagua rais wa nchi ya jirani,hii itakuwa kali ya mwaka
 
Zanzibar ni nchi yenye mambo yake ni upumbavu kutamani yanayo fanywa na wenye akili kufanywa kwa wapumbavu {Watanganyika}.
Ndugu yangu sisi watanganyika tupo wengi tu wenye akili tatizo ni viongoz wa ccm wenye mamlaka,tunafanyaje?hadi tutakapowaondoa madarakani
 
Watanzania mjue jambo moja tu.

Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo.

Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo.

Raisi Samia angalia hili

Zanzibar ni nchi. Wana katiba yao. Wana Rais wao, wana Bunge lao .... hivi nini kigumu kuelewa hapa.... Kweli Lissu atapata shida sana kuwaelimisha Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…