Kwanini wafanyakazi wengi wa Serikali wanapenda kutengeneza mazingira ya kupewa hela katika huduma wanazotoa?

Kwanini wafanyakazi wengi wa Serikali wanapenda kutengeneza mazingira ya kupewa hela katika huduma wanazotoa?

Mzuka,

Hivi ni serikali haiwalipi watumishi wake au shida ni nini?

Yani unaenda kufata huduma ofisi za serikali lakini mtoa huduma muda wote anatengeneza mazingira ya kupewa hela (rushwa).

Ofisi imeandikwa kabisa huduma hiyo ni bure lakini yeye anataka umpe hela akusaidie wakati hilo ndo jukumu lililomuweka pale, mfano nilifata TIN number ya kampuni ukiingia tuu kwenye ofisi zao unaona kabisa kumeandikwa TIN number ni bure lakini lenyewe lilivyo-lijinga linataka kitu kidogo RUBBISH.

Halmashauri na TRA zimejaa rushwa.

Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.

Hili jambo limenikasirisha sana itabidi nipambane familia yangu isihangaike na ajira ambazo ni kama wizi.

Swali
Serikali hamuwathamini wafanyakazi wenu hadi wamekuwa wanatamani fedha za wananchi kiasi hichi?
Tamaa na kujidanganya wanataka kuishi maisha makubwa wakati ni watumishi wa umma sad enough wanatumia ujinga wa wananchi lay man kuwatepeli tapeli..
 
Mzuka,

Hivi ni serikali haiwalipi watumishi wake au shida ni nini?

Yani unaenda kufata huduma ofisi za serikali lakini mtoa huduma muda wote anatengeneza mazingira ya kupewa hela (rushwa).

Ofisi imeandikwa kabisa huduma hiyo ni bure lakini yeye anataka umpe hela akusaidie wakati hilo ndo jukumu lililomuweka pale, mfano nilifata TIN number ya kampuni ukiingia tuu kwenye ofisi zao unaona kabisa kumeandikwa TIN number ni bure lakini lenyewe lilivyo-lijinga linataka kitu kidogo RUBBISH.

Halmashauri na TRA zimejaa rushwa.

Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.

Hili jambo limenikasirisha sana itabidi nipambane familia yangu isihangaike na ajira ambazo ni kama wizi.

Swali
Serikali hamuwathamini wafanyakazi wenu hadi wamekuwa wanatamani fedha za wananchi kiasi hichi?
Yupo pale kutafuta mahela. Sasa ulitaka aombe urafiki wa kalamu? Kama vipi ukishapewa huduma unambariki kwa kumuambia "Mungu akubariki sana"! Kana kwamba baraka hutolewa kirahisi hivyo!
 
Mzuka,

Hivi ni serikali haiwalipi watumishi wake au shida ni nini?

Yani unaenda kufata huduma ofisi za serikali lakini mtoa huduma muda wote anatengeneza mazingira ya kupewa hela (rushwa).

Ofisi imeandikwa kabisa huduma hiyo ni bure lakini yeye anataka umpe hela akusaidie wakati hilo ndo jukumu lililomuweka pale, mfano nilifata TIN number ya kampuni ukiingia tuu kwenye ofisi zao unaona kabisa kumeandikwa TIN number ni bure lakini lenyewe lilivyo-lijinga linataka kitu kidogo RUBBISH.

Halmashauri na TRA zimejaa rushwa.

Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.

Hili jambo limenikasirisha sana itabidi nipambane familia yangu isihangaike na ajira ambazo ni kama wizi.

Swali
Serikali hamuwathamini wafanyakazi wenu hadi wamekuwa wanatamani fedha za wananchi kiasi hichi?
Serikali huduma zake nyingi haigharamii, kwahiyo wahusika wanatumika pesa zao kuendesha hizo huduma. Na Mbadala wake ndio wananiongeza hivyo.

Mfano:

- Mtendaji wa kijiji, hapewi stationery, usafiri au Mafuta na hapo unategemea huduma za mihuri na barua ziwe bure


- Vituo vya polisi wanatakiwa kulisha mahabusu, kuwasafirisha kwenda Mahakamani na Kama Askari hawatoshi ukodi mgambo, na budget hawana.


- Ofisi nyingi za serikali hazina Bando, na Sasa hivi kila siku shughuli za serikali zinataka mtandao. Utajikuta unatumia pesa zako kuweka bando ili utoe huduma za serikali za bure.

Huko Hospitali, utaambiwa kujifungua ni bire lakini waulize serikali vifaa vya kunifungukia (delivery kits) huwa wanapeleka.

Mwisho serikali haijawahi kuwa na huruma na mtu, utatumika ukifika miaka 60 umeisha, unatelekezwa hapo na Kikokotoo Cha 33% ukafie mbele.

Nchi hii matatizo utosini mpaka kwenye nywewe lakini Wanasiasa wao wana maisha ya mfumo na Daraja tofauti.
 
Hiyo unayoiita serikali kwa maana ya viongozi ndiko sisi watumishi wa chini tunaiga kula rushwa.
Biblia inasema kama alivyo baba ndivyo alivyo mtoto.

Taasisi ya kwanza kupambana na rushwa ilipaswa iwe polisi lakini polisi wameruhusiwa kula rushwa bila wasiwasi. Traffic polisi wanachukua rushwa hadharani - wameruhusiwa

Polisi wa patrol na operation wanachukua rushwa hadharani, wanazunguka kutafuta pesa na si kuhakikisha usalama wa watu na mali zao.

Wale walioko kwenye vituo kazi yao ni kusubiri pesa ya dhamana huku kiuhalisia hakuna kitu kinaitwa pesa ya dhamana.

Serikali ilipaswa iwakemee polisi sasa haina ubavu kwakuwa hiyo serikali (viongozi) ni wezi kwahiyo lazima waikumbatie polisi Ili walindane.

Magufuli enzi zake aliwaruhusu polisi kula rushwa kadri watakavyo kwa mgongo wa kuwabebesha watu uhujumu uchumi na trafiki ndipo walipewa Tano rasmi ya kula rushwa.

Sasa kila tukiwaza kutenda mema tunakumbuka kuwa serikali imeturuhusu kula rushwa.
Kwa ufupi Afrika kama hufanyi kazi serikali kazi unayo . Hata ukiwa tajiri huo utajiri wako lazima utumike kuneemesha watu wa serikalini
 
Achana na huduma za serikali...

Mtoa Huduma pekee ambae hahitaji mambo mengi... Ni Mwanamke ama dada poa..

Unamnunua kwa masaa kadhaa .. anakupa Huduma ya kuutumia mwili wake kwa muda mliokubaliana... Ukitaka kukiuka makubaliano... Unaongeza tu dau

Ama mke.. unamnunua kwa ng'ombe kadhaa/pesa.. unakuwa na uhalali wa kutumia mwili wake mpaka kifo...

Pia anatumika katika kukuhudumia mengineyo.. kukupikia, kukufulia, kukulelea watoto, kukuogesha(pale Unapohisi inafaa yeye kufanya hivyo),kukuhudumia ukiugua...

Kazi yako wewe ni kusaka ngawira tu... Tafuteni pesa vijana... Achaneni na Huduma za Bure!
 
Wanakaa kwenye maofisi siku nzima, mshahara ni mdogo, gharama za maisha zipo juu sana wanajaribu kujitafutia namna ya kujazia kipato chao.
 
Mzuka,

Hivi ni serikali haiwalipi watumishi wake au shida ni nini?

Yani unaenda kufata huduma ofisi za serikali lakini mtoa huduma muda wote anatengeneza mazingira ya kupewa hela (rushwa).

Ofisi imeandikwa kabisa huduma hiyo ni bure lakini yeye anataka umpe hela akusaidie wakati hilo ndo jukumu lililomuweka pale, mfano nilifata TIN number ya kampuni ukiingia tuu kwenye ofisi zao unaona kabisa kumeandikwa TIN number ni bure lakini lenyewe lilivyo-lijinga linataka kitu kidogo RUBBISH.

Halmashauri na TRA zimejaa rushwa.

Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.

Hili jambo limenikasirisha sana itabidi nipambane familia yangu isihangaike na ajira ambazo ni kama wizi.

Swali
Serikali hamuwathamini wafanyakazi wenu hadi wamekuwa wanatamani fedha za wananchi kiasi hichi?
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Mzuka,

Hivi ni serikali haiwalipi watumishi wake au shida ni nini?

Yani unaenda kufata huduma ofisi za serikali lakini mtoa huduma muda wote anatengeneza mazingira ya kupewa hela (rushwa).

Ofisi imeandikwa kabisa huduma hiyo ni bure lakini yeye anataka umpe hela akusaidie wakati hilo ndo jukumu lililomuweka pale, mfano nilifata TIN number ya kampuni ukiingia tuu kwenye ofisi zao unaona kabisa kumeandikwa TIN number ni bure lakini lenyewe lilivyo-lijinga linataka kitu kidogo RUBBISH.

Halmashauri na TRA zimejaa rushwa.

Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.

Hili jambo limenikasirisha sana itabidi nipambane familia yangu isihangaike na ajira ambazo ni kama wizi.

Swali
Serikali hamuwathamini wafanyakazi wenu hadi wamekuwa wanatamani fedha za wananchi kiasi hichi?
Tamaa ya maendeleo tena kwa haraka ndiyo chimbuko
 
October nilifika ofisi ya TRA kwaajili ya kufanya makadirio ya kodi. Tumefanya nikaomba kupunguziwa yule afisa akapunguza, wakati naondoka akaniambia unajua nimepunguza lakini nimejiweka kwenye risk boss wangu akisikia ataniletea shida sana, kwahiyo angalia namna yoyote na mimi niishi. Niliondoka nikalipa kodi yeye sijampa chochote. Alinipigia akaniambia nitambue tu mwezi wa kwanza na wa pili Kuna makadirio tena, nikamwambia sawa. Nahisi nikimkuta yeye atataka nilipe Kodi ya kufilisi biashara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wote wameacha ofisi zao Dodoma na kusafiri kuja kusindikiza ...
Hiyo ndege inabeba abiria 170 na zaidi. Inawezekana wasanii na wafanyabiashara wamo kwenye msafara.
Kama huko juu ni hivi, basi watumishi inawabidi wajenge mazingira ofisini kwa gharama ya mwananchi. 😢
 

Attachments

  • e50ec1099eb4db247828c388f3b77663.png
    e50ec1099eb4db247828c388f3b77663.png
    136.2 KB · Views: 2
  • 8ea9b344a3ce69eb08b6d0793c79beb5.png
    8ea9b344a3ce69eb08b6d0793c79beb5.png
    156.1 KB · Views: 2
l


Kuna ofisi nyingine tena huko kanda ya ziwa ya TRA nilienda kufanyiwa makadirio ya kampuni mpya badala ya kunieleza jinsi ya kufanya linataka nilipe laki tano linifanyie makadirio ambayo ni kitu cha bure, yaani wakiona mtu mzee mzee umekaa ki-mbugila mbugila wanaamini huelewi kitu wanataka uwape hela wakupe huduma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Serikali huduma zake nyingi haigharamii, kwahiyo wahusika wanatumika pesa zao kuendesha hizo huduma. Na Mbadala wake ndio wananiongeza hivyo.

Mfano:

- Mtendaji wa kijiji, hapewi stationery, usafiri au Mafuta na hapo unategemea huduma za mihuri na barua ziwe bure


- Vituo vya polisi wanatakiwa kulisha mahabusu, kuwasafirisha kwenda Mahakamani na Kama Askari hawatoshi ukodi mgambo, na budget hawana.


- Ofisi nyingi za serikali hazina Bando, na Sasa hivi kila siku shughuli za serikali zinataka mtandao. Utajikuta unatumia pesa zako kuweka bando ili utoe huduma za serikali za bure.

Huko Hospitali, utaambiwa kujifungua ni bire lakini waulize serikali vifaa vya kunifungukia (delivery kits) huwa wanapeleka.

Mwisho serikali haijawahi kuwa na huruma na mtu, utatumika ukifika miaka 60 umeisha, unatelekezwa hapo na Kikokotoo Cha 33% ukafie mbele.

Nchi hii matatizo utosini mpaka kwenye nywewe lakini Wanasiasa wao wana maisha ya mfumo na Daraja tofauti.
Yatosha Kaka
 
Hiyo unayoiita serikali kwa maana ya viongozi ndiko sisi watumishi wa chini tunaiga kula rushwa.
Biblia inasema kama alivyo baba ndivyo alivyo mtoto.

Taasisi ya kwanza kupambana na rushwa ilipaswa iwe polisi lakini polisi wameruhusiwa kula rushwa bila wasiwasi. Traffic polisi wanachukua rushwa hadharani - wameruhusiwa

Polisi wa patrol na operation wanachukua rushwa hadharani, wanazunguka kutafuta pesa na si kuhakikisha usalama wa watu na mali zao.

Wale walioko kwenye vituo kazi yao ni kusubiri pesa ya dhamana huku kiuhalisia hakuna kitu kinaitwa pesa ya dhamana.

Serikali ilipaswa iwakemee polisi sasa haina ubavu kwakuwa hiyo serikali (viongozi) ni wezi kwahiyo lazima waikumbatie polisi Ili walindane.

Magufuli enzi zake aliwaruhusu polisi kula rushwa kadri watakavyo kwa mgongo wa kuwabebesha watu uhujumu uchumi na trafiki ndipo walipewa Tano rasmi ya kula rushwa.

Sasa kila tukiwaza kutenda mema tunakumbuka kuwa serikali imeturuhusu kula rushwa.
Kwa ufupi Afrika kama hufanyi kazi serikali kazi unayo . Hata ukiwa tajiri huo utajiri wako lazima utumike kuneemesha watu wa serikalini
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom