Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
 
Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una peressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
duh huu ugonjwa hatar sana kumbe
 
Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
Mkuu hii ya maambukizi ya vidonda na mambo ya PAD, ni kwa stage zote za ugonjwa?
 
Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
Na kutokea kwa vidonda ghalfa husababishwa na nini?
Bibi yangu alilala asubuhi akajikuta ana donda kubwa mguuni
Alikuwa na sukari
 
Na kutokea kwa vidonda ghalfa husababishwa na nini?
Bibi yangu alilala asubuhi akajikuta ana donda kubwa mguuni
Alikuwa na sukari
Kama umesoma vizuri nimekuambia PAD husababisha "nerve damage" ambayo humsababisha mtu asipate maumivu hata anapokua na kidonda. Mfano kama jipu huwa linaanzia ndani tu na kama uko normal utasikia maumivu fulani, lakini kwa mtu ambae tayari ameshapata hii PAD inakua anajiona yupo sawa tu mpaka pale jipu limeiva linatokeza ndio anashtuka.

I hope utakuwa umenielewa
 
Kama umesoma vizuri nimekuambia PAD husababisha "nerve damage" ambayo humsababisha mtu asipate maumivu hata anapokua na kidonda. Mfano kama jipu huwa linaanzia ndani tu na kama uko normal utasikia maumivu fulani, lakini kwa mtu ambae tayari ameshapata hii PAD inakua anajiona yupo sawa tu mpaka pale jipu limeiva linatokeza ndio anashtuka.

I hope utakuwa umenielewa
Mmmh asante
 
Wakuu sukari ni ugonjwa hatari sana,life style yetu vijana pombe kwa wingi na lishe mbaya zinazotufanya tuvimbe matumbo na kujiona tuko safi ndo hupelekea ugonjwa wa Sukari. Kama hujawi kumuona mgonjwa wa sukari anavyoishi unaweza usielewe.
Ni vyema uzingatie lishe bora epuka overweight,punguza pombe na mazoezi kwa wingi itakuweka katika nafasi nzuri ya kuepuka sukari.
 
Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
Sasa kwa nn ushindwe kukagua miguu yako ka ina kidonda ili kuwai Hosp kwajil y matibabu ya arak pasipo kungoja mpk maumivu if unajijua una uo ugonjwa eti.
 
Back
Top Bottom