Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
Kama wataalam wameweza kuzijua hizi tabia zote kwanini wasitafute namna ya kuzitatua
 
Kama wataalam wameweza kuzijua hizi tabia zote kwanini wasitafute namna ya kuzitatua
Mkuu nadhani wenzetu huwa hawalali asee wanafanya research sana kuhusu haya magonjwa sugu (chronic diseases) kama diabetes, cancer, cardiovascular diseases n.k.

Lakini kwakuwa ni magonjwa ambayo hayatokani na virus, parasites, bacteria n.k (ni magonjwa yanayosababishwa zaidi na genetics, lifestyle, age, environmental/occupational factors) imekua ni challenge ya muda mrefu kupata suluhisho la moja kwa moja (tiba).

Tiba zilizopo nyingi ni za kureverse tu madhara ambayo yalishajiyokeza ambayo kwa wengi wanaowahi kugundua tatizo wanaweza kurudi kuwa normal kabisa lakini kama stages za magonjwa haya zimeshakuwa terminal (madhara yameshakuwa makubwa) huwa ni kupunguza makali tu maana kuna stages za haya magonjwa ni irreversible.

Ila believe me kuna watu wanaumiza vichwa usiku na mchana wakifanya researches kwaajili ya kupata suluhu za kudumu za magonjwa haya.

Moja wapo ya researches zinazoweza kuleta tumaini katika ku deal na haya magonjwa ni Genetic Engineering.

ephen_
 
Mkuu nadhani wenzetu huwa hawalali asee wanafanya research sana kuhusu haya magonjwa sugu (chronic diseases) kama diabetes, cancer, cardiovascular diseases n.k.

Lakini kwakuwa ni magonjwa ambayo hayatokani na virus, parasites, bacteria n.k (ni magonjwa yanayosababishwa zaidi na genetics, lifestyle, age, environmental/occupational factors) imekua ni challenge ya muda mrefu kupata suluhisho la moja kwa moja (tiba).

Tiba zilizopo nyingi ni za kureverse tu madhara ambayo yalishajiyokeza ambayo kwa wengi wanaowahi kugundua tatizo wanaweza kurudi kuwa normal kabisa lakini kama stages za magonjwa haya zimeshakuwa terminal (madhara yameshakuwa makubwa) huwa ni kupunguza makali tu maana kuna stages za haya magonjwa ni irreversible.

Ila believe me kuna watu wanaumiza vichwa usiku na mchana wakifanya researches kwaajili ya kupata suluhu za kudumu za magonjwa haya.

Moja wapo ya researches zinazoweza kuleta tumaini katika ku deal na haya magonjwa ni Genetic Engineering.

ephen_
Naam
 
Mkuu nadhani wenzetu huwa hawalali asee wanafanya research sana kuhusu haya magonjwa sugu (chronic diseases) kama diabetes, cancer, cardiovascular diseases n.k.

Lakini kwakuwa ni magonjwa ambayo hayatokani na virus, parasites, bacteria n.k (ni magonjwa yanayosababishwa zaidi na genetics, lifestyle, age, environmental/occupational factors) imekua ni challenge ya muda mrefu kupata suluhisho la moja kwa moja (tiba).

Tiba zilizopo nyingi ni za kureverse tu madhara ambayo yalishajiyokeza ambayo kwa wengi wanaowahi kugundua tatizo wanaweza kurudi kuwa normal kabisa lakini kama stages za magonjwa haya zimeshakuwa terminal (madhara yameshakuwa makubwa) huwa ni kupunguza makali tu maana kuna stages za haya magonjwa ni irreversible.

Ila believe me kuna watu wanaumiza vichwa usiku na mchana wakifanya researches kwaajili ya kupata suluhu za kudumu za magonjwa haya.

Moja wapo ya researches zinazoweza kuleta tumaini katika ku deal na haya magonjwa ni Genetic Engineering.

ephen_
Una akili nyingi ila mchoyo.
 
Kisukari husababisha kitu kinaitwa Peripheral Artery Disease (PAD). Hii PAD inasababisha mishipa ya damu kupungua size na kuwa membamba na kusababisha kupungua kwa damu inayoenda miguuni, pia inaweza kusababisha nerve damage hivyo kukufanya usisikie maumivu kirahisi.

Kutokana na kutosikia maumivu kirahisi unaweza ukapata kidonda/jeraha dogo tu mguuni na usijue kwakuwa maumivu husikii. Hii itasababisha unavyotembea una pressurize kile kidonda kwakuwa hujui na kidonda kinaendelea kukua.

Ule upungufu wa damu miguuni husababisha kidonda kisipone kwa urahisi na pia husababisha mwili usiwe na uwezo wa kupambana na infections zinazotokea maeneo ya miguuni.

Baada ya hapo tissue damage/death - kitaalamu inaitwa "gangrene" inaweza kutokea na hivyo infection inasambaa mpaka kwenye mfupa.

Ikifikia hatua hiyo kwamba infection imeshindwa kuthibitiwa basi amputation(kukatwa) mguu au vidole au sehemu ya unyayo ndio suluhisho la haraka kuzuia maambukizi yasisambae kwenda sehemu nyingine ya mguu au hata mwili mzima.

Natumaini utapata mwanga kidogo.
Huu ugonjwa una mateso shindilii
 
Kwamba ukipata kidonda hakiponi ila ukikatwa mguu hospital hilo jeraha linapona! How?
 
Back
Top Bottom