Mhumapatali
Member
- Jul 23, 2017
- 29
- 37
Shida ya huu ugonjwa unajijenga taratibu kwa miaka mingi. Ukiona dalili ujue magnitude ya tatizo ni kubwa. Watu wengi wanaviashiria vya kisukari lakini hawajui. Jambo la msingi ni kuepuka maisha ya kivivu (Sedentary life style) na ulaji wahovyo.Bora nipate nhoma kuliko kisukari