Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Simply
Angalia mfumo wao wa elimu. Kwa wanaofeli masomo wanaingizwa ktk mfumo wa Grundess Diploma..... huko ndo wanapikwa vizuri mno
 
Hata diesel electric locomotives zinazotoka kwao ni Complex mno tofauti na za wamarekani. Miaka ya Nyuma ziliwahi nunuliwa locomotives hapa kwetu toka kwao hao jamaa Kufanya fuel pump timing tu ni balaa ukikurupuka injini huwashi.
 
Wakuu zaidi ya magari yao Mercedes Benz,BMW Audi VW ni products zipi za Kijerumani zinatamba duniani? Wengine dunia imetuacha nyuma
Wana vichwa vya treni (Diesel electric locomotives) bora sanaa kuliko zinazotoka kwa GE au EMD huko USA pia wana engine za Motoren Und Turbanien (MTU) zinafika mno utendaji wa kazi katika Boat kubwa na Mashine za Migodini pia mashine za kuchongea vipuri (Lathe machine) zinazotoka kwao ni nzuri mno.
 
Mkuu, hakika jamaa wapo vizuri sana na hii yote inatokana na misingi ya elimu bora waliyoijenga kwa miaka mingi sana.
 
Vifaa vya ndege ni noma, hasa jet engine hao ni nyoko! Mchina ameshibdwa kukopi, wataalamu wanasema haikopiki,lazima akuvujishie au uschratch
Ni kweli kabisa sikupingi hapa kwetu vilikuja vichwa vya treni toka kwake kwa reli ya kati lakini vilikuwa vina nguvu mno kuliko vilivyokuwepo kutokana na kuwa vilikuwa na high technology kwa wakati huo leo hii hatuna hata kimoja na vilikuja miaka ya 90. Kwahiyo kuiba technology ya hawa jamaa ngumu mno.
 
Hii system safi sana. Si ndio kama VETA huku kwetu?
Ni kama veta pasee lakini wapo deep. Na hao wakitoka hapo ni wabunifu, mafundi na mainjinia.... wakimaliza hiyo diploma wanaweza kuendelea na mfumo wa universities.


VETA ikiboreshwa inaweza kuwa gateway ya kuelekea kwenye maendeleo makubwa ya kiteknolojia...
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]dah we jamaa Mungu anakuona kwamba wanafuatilizia mulemule walipopita wananchi.
 
Na hapa ndipo Siri ya wenzetu kufanikiwa malengo yao ilipo

Sheria kali kwa watakaokiuka ujuz uliofuata mtiririko sahihi siyo kupata ujuzi kupitia fundi maiko au maiko college

Tuige hapa tutatoboa hatujachelewa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…