Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Waliokuwa WAARABU wanaotangatanga jangwani kukamua maziwa ya ngamia na kupopoa TENDE wameamua kuikumbatia ELIMU....

UAE kwa MSAADA wa wataalamu toka Korea Kusini Wanajenga NUCLEAR REACTORS kwa AJILI ya kufua umeme kwa MATUMIZI ya amani.

Ni hatua kubwa wamepiga baada ya majuzi kurusha ndege yao kwenda anga za mbali.

Hii inatufundisha kuwa MAJIRANI ZETU wataendelea kuionea wivu Tanzania ya Magufuli kwa sababu ya Jemedari JPM amenuia kivitendo kutubadilisha iliyokuwa MITIZAMO MFU kwa kutuletea fikra chanya ya VIWANDA...

La muhimu,wizara Yetu ya Elimu,pamoja na COSTECH kujipanga haswa kwa kunoa BONGO zao kibunifu ili tutoke hapa tuliko na KUPAA tutakako.

Mungu Mbariki RAIS JPM na watendaji wake Aaaamin aaaaamin.


Kijana muuza Al Kasus
Tandale Kwa Mtogole
Viwanda havitoki mdomoni bali ubongoni.Hakuna nchi ya Afrika ina dalili ya kuwa nchi ya kiviwanda.Hata Misri SA Hamna kitu.
Ukitaka kujua kama nchi inaenda kuwa ya kiviwnda angalia kama mabeberu wanatishika nanyi.China walipo weka mpango wa made in China 2025 Wazungu wameweweseka wanajua wachina huwa hawaongei maneno bali vitendo.Magufuli atamaliza 2025 na TZ haitakuwa ya viwanda.Nchi kuwa ya kiviwanda inataka mkskati mzito sana unaoshirikisha kila nyanja ya kiuchumi.
 
Ukiacha UKOLONI.....

Vita viliwasaidia.....

Baada ya Vita ya Kwanza ya MABEBERU(Mimi siiti kuwa ya DUNIA)....
Wajerumani waliikuza HOFU DHIDI YAO.....WAKAIOGOPA HATARI KIVITENDO...WAKATAKA HAMU YA KUWA WAMOJA(SI HAWA CHADEMA wanaotaka machafuko na mifarakano mitandaoni)

Waliiogopa hatari ya kuwa DHAIFU KITEKNOLOJIA km vile aogopavyo JIRANI yetu PK...

Hofu iliwafanya WAAMUE kuwekeza kwenye ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU

ELIMU BORA....

Bahati Yao walikuwa na walimu wengi wa sayansi...

CHEMISTRY NA PHYSICS si siasa.........
Sasa wewe mbona huyo Kilaza wenu anawekeza kwenye matofali badala ya elimu?
 
Ujeruamani imewekeza miaka si chini ya 100 usidhani ni kitu cha miaka 5,
Kukuza techn ktk karne hii hakuhitaji miaka 100 kwa mujibu wa UDSM DS lecture notes.Hio lecture imekusnya tafiti nynyingi zilizofanywa na UN.Hivyo basis dunia ya sasa haitaji miaka mingi kukuza teknolojia.China wamejipanga 2015-3025 kuwa made in China industry 0.4.Ktk kipindi hicho wnaiwinda teknolojia ya juu kabisa( industrial complex) hii ikuhusisha AI ,State of the Art( chip making-SMCD),Engines na mitambo ya hali ya juu.Kila daliki zinaonesha watafanikiwa.Sasa miaka100 sio ishu.
 
Tanzania tulishindwa kufanya mageuzi ya elimu baada ya vita na kabla ya kuanzisha shule za kata ni kosa ambalo litatugharimu Kwa muda mrefu sana na sioni watawala kama wana maono ya kulitatua naweza kusema elimu ya miaka ya nyuma ilikuwa na ubora sana kuliko elimu ya sasa maana Kwa miaka ile ya nyuma elimu ya kipindi kile ilikuwa inaakisi maisha halisi ya miaka ile hasa kwenye elimu ya siyansi Ila Kwa sasa elimu haiakisi kabisa maisha ya sasa dunia inakwenda kasi sana kama tumeweza kutoa pesa nyingi kwenye miradi ya sasa naamini tunaweza kutoa pesa nyingi kuifumua muundo wetu wa elimu na ukaleta matunda Bora Kwa vizazi vijavyo
 
Tanzania tulishindwa kufanya mageuzi ya elimu baada ya vita na kabla ya kuanzisha shule za kata ni kosa ambalo litatugharimu Kwa muda mrefu sana na sioni watawala kama wana maono ya kulitatua naweza kusema elimu ya miaka ya nyuma ilikuwa na ubora sana kuliko elimu ya sasa maana Kwa miaka ile ya nyuma elimu ya kipindi kile ilikuwa inaakisi maisha halisi ya miaka ile hasa kwenye elimu ya siyansi Ila Kwa sasa elimu haiakisi kabisa maisha ya sasa dunia inakwenda kasi sana kama tumeweza kutoa pesa nyingi kwenye miradi ya sasa naamini tunaweza kutoa pesa nyingi kuifumua muundo wetu wa elimu na ukaleta matunda Bora Kwa vizazi vijavyo
Mkuu, nikukosoe kudogo.Tanzania haijawahi kuwa na elimu bora wakati wowote.Kama Tanzania ingekuwa ma elimu bora basi kiuchumi tungekuwa mbali.Nini ushahidi wa elimu bora ndugu?
 
I am also wondering why Tanzania engineers are of the poorest quality. Look at tanesco engineers. Look at Tanroad engineers. Kukiwa na barabara ya kutengenezwa maengineer wa Tanroad watafuatilizia mule mule ilipo barabara iliyobuniwa na wananchi. Mfano. Mbezi Goba Mbezi beach. Mbezi Maramba majumba sita. Buza kwa Mpalange to Buza kwa lugola.
Hizo barabara ya Goba na Malamba mawili ina shida gani?
 
Back
Top Bottom