Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #221
Hakika...Umaskini wa waafrika ndio unaleta umalaya wakisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika...Umaskini wa waafrika ndio unaleta umalaya wakisiasa
Long live JPM Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.Hakika...
I can see bro.Long live JPM Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.
Ndio mkuu. Unavitaka?Kumbe Mkuu unauza vitabu Vya mjerumani?
Ndio sioni, elezea mapungufu yake tuyajadiri hapa, maana mkandarasi aliyejenga Goba to Malamba ndio huyu huyu anajenga kimara to kibaha njia 8Wewe huoni? Au ndio wale wale?
Nikisema wanajipenda utasema mbona Wacongo wanajipenda lakini masikini.WHY ARE GERMANS SO GOOD AT ENGINEERING?
Kumbe unaandikia kutokea 'home'! Salute Le Mutuz ambaye hadi leo anaishi 'home'Kuna baadhi ya watu wanadai ya kwamba labda ni kutokana na ukali wa Adolf Hitler ndio umewajengea umakini pamoja na nidhamu katika kazi zao. Sasa sijui ni kweli ama ni uongo?
Ninaandikia kutoka kwa shemeji yangu. Ninakaa kwake mwaka wa 4 sasa...Kumbe unaandikia kutokea 'home'!
Huyo Le Mutuz ndio nani? Alafu nimekwambia sikai home bali ninakaa kwa shemeji yangu Pugu mwaka wa 4 sasa.Salute Le Mutuz ambaye hadi leo anaishi 'home'
Unavishwa khanga na shanga?Huyo Le Mutuz ndio nani? Alafu nimekwambia sikai home bali ninakaa kwa shemeji yangu Pugu mwaka wa 4 sasa.
Una maanisha nini boss?Unavishwa khanga na shanga?
Chama chini ya Rais Magufuli kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.Uko kikosi gani skuizi
haya bhana...Chama chini ya Rais Magufuli kipo busy kujenga Nchi
2020-2025 Tutaenda mwezini tupo uchumi wakati.Sasa hivi tunaunda magari ndege,katapila,roketi usihofu mkuu utaenda mars.Cccm wanasemaje ndio wetufikisha hapa
CCM oooyeeeeee mwambie huyo baba2020-2025 Tutaenda mwezini tupo uchumi wakati.Sasa hivi tunaunda magari ndege,katapila,roketi usihofu mkuu utaenda mars.
Watu wa hivi wapo wengi sana.mtu yupo CDM lakin roho iko CCM
Binafsi naona Rais Magufuli anapambana na UZEMBE NA RUSHWA kuliko marais wote waliopata kuiongoza Tanzania.Hakika...
Utafiti umefanyika Magufuli anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Magufuli kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.Hakika...
Unawachukia sana CCM?Cccm wanasemaje ndio wetufikisha hapa
98% ya Watanzania wanamkubali sana Rais Magufuli.Unawachukia sana CCM?