Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Jina la Mayalla ni kweli ni njaa, ila sio njaa ya tumbo kukosa mlo bali ni baa la njaa
, famine lilisababishwa na ukame, drought na sio hunger, yenye kuhitaji mlo!.
P
Ni njaa na unaaa uliopitiliza na hasa kwakuangalia asili ya kazi za wazazi wako. Una njaa tena si tu ya gumbo Bali hata njaa ya madaraka unayo
 
Una njaa tena si tu ya gumbo Bali hata njaa ya madaraka unayo
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa anybody!.
pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawazimikii kabisa uteuzi wowote wa ubwete!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, it's a waste!. Just imagine unamchukua mtu kama Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.
Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona ma DC kama ma fa.. tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Itakuwa amechelewa kufika mjini huyo namuombea Radhi kaka Mkubwa...
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Kutoa tamko la kulaani ni kufunga dirisha la uteuzi.
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Haya ni matumizi mabaya ya neno KUSHAMBULIWA, hakuna sehemu yeyote mzee Makamba kamshambulia mwandishi, acha urongo ndugu kuwa mkweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mzee kampeti tu kishikaji
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona ma DC kama ma fa.. tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Umeongea vizuri ila ungeondoa neno ma Fala ingenoga zaidi
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Bahasha imetuna balaa
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Umetumia nguvu kubwa sana kujenga hoja ya utetezi wa jina lako mkuu,umetujibu wengi hapo, msj seen.

Naweza kuamini kwamba anko kweli alikuwa home boy wako, otherwise where did you get the highest confidence to ask Such a question.

Na alivyokuwa anajibu huku anacheka maana yake mlikuwa mnajuana.
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Fanya utafiti kidogo kujua waandishi wangapi wamelamba teuzi.

Unataka watoe tamko ili tonge lisiwafikie?

Waandishi wengi bongo wana pricetag migongoni mwao. Wanasemwa, wanasutwa mpaka na Nape wakati anajua kabisaa cencorship wanayoifanya before and after news.

Usipowasifia wakubwa, wewe siyo mwanahabari mahiri. Hii ndio Tanzania
 
Njaa inaletwa na matendo yako mkuu
Njaa ni hali ya uhitaji inayitakiwa kuifanyia kitu kukabiliana nayo. Mfano ili mtu uishi, unahitaji hewa, chakula na maji, ukikosa chochote kati ya hivi, unapoteza maisha!. Mtu ukikosa hewa unakukuruka kutafuta hewa hivyo kule kukuruka ndio matendo, hivyo kinacholeta matendo ni solutions.

Vivyo hivyo kwa njaa ya tumbo, mwili unahitaji shibe, ukikosa chakula unakufa njaa!. Hivyo njaa hailetwi na matendo bali unapokabwa na njaa, ili kujizuia usife njaa ndipo sasa unafaya matendo kutafuta chakula kukabiliana na hiyo njaa. Njaa hailetwi na matendo bali ni hitaji na matendo ndio hufanyika kukabiliana na njaa.

Sasa turejee kwangu, jee nimefanya matendo yangu gani kuleta njaa?.
P
 
Njaa ni hali ya uhitaji inayitakiwa kuifanyia kitu kukabiliana nayo. Mfano ili mtu uishi, unahitaji hewa, chakula na maji, ukikosa chochote kati ya hivi, unapoteza maisha!. Mtu ukikosa hewa unakukuruka kutafuta hewa hivyo kule kukuruka ndio matendo, hivyo kinacholeta matendo ni solutions.

Vivyo hivyo kwa njaa ya tumbo, mwili unahitaji shibe, ukikosa chakula unakufa njaa!. Hivyo njaa hailetwi na matendo bali unapokabwa na njaa, ili kujizuia usife njaa ndipo sasa unafaya matendo kutafuta chakula kukabiliana na hiyo njaa. Njaa hailetwi na matendo bali ni hitaji na matendo ndio hufanyika kukabiliana na njaa.

Sasa turejee kwangu, jee nimefanya matendo yangu gani kuleta njaa?.
P
Hivi Pascal wa 2016(mtetezi wa wanyonge) na Pascal wa 2022(njaa kali na mtu wa bahasha) wakikutana si watapigana mpaka wauane?
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
WAANDISHI HAWA HAWA WANAOTAKA TEUZI NA KUGOMBEA UONGOZI NA UJUMBE NDANI YA CCM?
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Kwani kusoma nao ndio nini mbona unahangaika kama wengine?
 
Hivi Pascal wa 2016(mtetezi wa wanyonge) na Pascal wa 2022(njaa kali na mtu wa bahasha) wakikutana si watapigana mpaka wauane?
There is the only one and the one and only P, ni yule yule juzi, jana na leo, habadiliki na hata badilika, kinachobadilika ni kitu kinachoitwa adaptations, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time, place and environments, they are in constant struggle for existence and survival is only for the fittest. Ili uweze kuwa fit na survive, ni lazima uwe very adaptive na any environmental changes, hivyo Pasco ni yule yule ila very adaptive.
P
 
Mkuu saidoo25 , kwanza asante kwa kunifungua macho kuhusu hili, kuna kitu nikikisema humu unaweza usiamini!. Japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, amini usiamini sikubahatika kupata muda kuangalia mikutano Mkuu wa CCM, nimefanya kusikikia tuu Mzee Makamba alizungumza', sikuwahi kusikiliza alichozungumza!, lakini leo baada ya bandiko hili, ndio kwa mara ya kwanza nitamsikiliza Mzee Makamba na kama ni kweli kuna udhalilishaji wa mwandishi husika', nitatia Neno!.
Asante kwa angalizo
P
Update
Clip ni hii ngoja niiangalie

P
Ila siasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom