Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Nyie n wale wale bhana,mambo mengi mnayaona na mnao uwezo wa kusema japo neno lkn mnakaa kimya.
 
Mi nahisi ma-rope ndio kazalilishwa kwa kuulizwa maswali ya maana na yeye kujibu kama mtu alibanwa na uharo anahitaji kwenda kuushusha haraka iwezekanavyo
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Nimecheka bila viwango [emoji1787][emoji1787] kwa hiyo unataka kutuambia Albert Msando, wakili aliyeacha ofisi yake ya uwakili na kupewa uDC kule Morogoro ni walewale mnaowaona kama mafa..?
Anyway turudi kwenye mada, unazungumziaje tukio la Mtukanaji mkuu mwandamizi wa CCM bw. Yusuf Makamba la kumdhalilisha na kumghasi mwandishi akiwa kazini?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Mayalla Pascal siku hizi ni MJUMBE
 
Wengi tuliona video clip ikimuonyesha Mzee Makamba akimpiga vibao begani na kumfokea na kumkashifu Mwandishi wa Habari kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Shambulio hilo baya na la aibu amefanyiwa mwandishi wa habari mchana kweupe na kila mtanzania ameliona lakini jambo la kusikitika jukwaa la wahariri chini ya Ndugu Balile halijatoa tamko lolote hadi sasa.

Au Balile anataka kutwambia kwa kuwa anaitwa itwa na Januari Makamba kwenda kusifia mradi wa JNHPP na kushindwa kuuliza maswali muhimu yahusuyo mkataba au kwa sababu analipwa mamilioni ya shilioni ya Makamba tukio la mwandishi kudhalilishwa sio Big Deal kwao.

Hata Senior Journalist @ Pascal Mayala hajazungumzia sakata hili. KUlikoni?
Nchi hii imejaa uoga, walikumbushia kuzimwa kwa internet 2020, ya Makamba senior wakayapotezea, unafiki sana mkubwa
 
Mkuu saidoo25 , kwanza asante kwa kunifungua macho kuhusu hili, kuna kitu nikikisema humu unaweza usiamini!. Japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, amini usiamini sikubahatika kupata muda kuangalia mikutano Mkuu wa CCM, nimefanya kusikikia tuu Mzee Makamba alizungumza', sikuwahi kusikiliza alichozungumza!, lakini leo baada ya bandiko hili, ndio kwa mara ya kwanza nitamsikiliza Mzee Makamba na kama ni kweli kuna udhalilishaji wa mwandishi husika', nitatia Neno!.
Asante kwa angalizo
P
Update
Clip ni hii ngoja niiangalie

P

Toa maoni yako mkuu P
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
Ndio maana naipenda JF😂😂😂👍
 
Nimecheka bila viwango [emoji1787][emoji1787] kwa hiyo unataka kutuambia Albert Msando, wakili aliyeacha ofisi yake ya uwakili na kupewa uDC kule Morogoro ni walewale mnaowaona kama mafa..?
Anyway turudi kwenye mada, unazungumziaje tukio la Mtukanaji mkuu mwandamizi wa CCM bw. Yusuf Makamba la kumdhalilisha na kumghasi mwandishi akiwa kazini?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂
 
There is the only one and the one and only P, ni yule yule juzi, jana na leo, habadiliki na hata badilika, kinachobadilika ni kitu kinachoitwa adaptations, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time, place and environments, they are in constant struggle for existence and survival is only for the fittest. Ili uweze kuwa fit na survive, ni lazima uwe very adaptive na any environmental changes, hivyo Pasco ni yule yule ila very adaptive.
P
Hatari sn mkuu
 
So yule kubwa la maadui alimaanisha nn???
Japo jina la Mayalla, kweli ni njaa, ila sio njaa ya tumbo kukosa mlo ambayo sawa yake ni shibe, hii ni njaa ya baa la njaa, famine lililosababishwa na ukame, drought na sio hunger, yenye kuhitaji mlo!.
P
 
Mkuu saidoo25 , kwanza asante kwa kunifungua macho kuhusu hili, kuna kitu nikikisema humu unaweza usiamini!. Japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, amini usiamini sikubahatika kupata muda kuangalia mikutano Mkuu wa CCM, nimefanya kusikikia tuu Mzee Makamba alizungumza', sikuwahi kusikiliza alichozungumza!, lakini leo baada ya bandiko hili, ndio kwa mara ya kwanza nitamsikiliza Mzee Makamba na kama ni kweli kuna udhalilishaji wa mwandishi husika', nitatia Neno!.
Asante kwa angalizo
P
Update
Clip ni hii ngoja niiangalie

P

Tunasubiri poti.
 
Haya ni matumizi mabaya ya neno KUSHAMBULIWA, hakuna sehemu yeyote mzee Makamba kamshambulia mwandishi, acha urongo ndugu kuwa mkweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mzee kampeti tu kishikaji
Mzee alikuwa akipiga zile kofi kifuani kwa yule mwandishi mpaka zinatoa sauti kubwa paa paa paa !! Alikuwa amekasirika !
 
Back
Top Bottom