Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Kwanini Wahariri hamkutoa tamko la shambulio alilofanya Mzee Makamba kwa Mwandishi?

Pamoja na kujulikana na watu wote hao uliowataja, bado wanashindwa kukubeba kwa sababu inawezekana wanakujua vizuri tabia zako kwamba hubebeki.
Kuna watu wa type 3, wanaobebeka, wasio bebeka na wanaojibeba.

Siku moja nikiwa US, nikapanda lift na an old lady mwenye a wheelchair, tulipofika juu nika mnote ile wheel chair inamsumbua kugeuka atoke, nikajitolea kumsaidia na kumtoa nje ya lift, mama alikasirika mpaka!.

Mimi nilijiona nasaidia kumbe mhusika hataki kusaidiwa!. Vivyo hivyo kuna watu wa kubebwa wanapenda kubebwa, kati ya wanaopendwa kubebwa kuna wanaobebwa na kubebeka na kuna wanao bebwa lakini hawabebeki, wanaishia kubwagwa. Liko kundi la tatu hili ndimo mimi nilimo, hili ni kundi la ma independent, hatupendwi kubebwa bali tunajibeba ili ku maintains our independence. Hatuhitaji fadhila wala hisani ya yeyote na hatuhitaji uteuzi wowote.

Hivyo nawajua hao wote, they are very reachable, naonana nao, nazungumza nao, sijawahi kulobby kubebwa and never will!.
P
 
Una uwezo wa kumfunga paka kengele? Mabaya yote nchi hizi yana ongozwa na CCM, na haigusiki. Mathalani CCM ndio taasisi inayo miliki viwanja vingi humu nchini, na hakuna kinacho lipiwa kodi ya ardhi!
 
Famine ndio hupelekea njaa ya tumbo.
Japo jina la Mayalla, kweli ni njaa, ila sio njaa ya tumbo kukosa mlo ambayo sawa yake ni shibe, hii ni njaa ya baa la njaa, famine lililosababishwa na ukame, drought na sio hunger, yenye kuhitaji mlo!.
P
 
Famine ndio hupelekea njaa ya tumbo.
Kiswahili kina upungufu wa misamiati ya maneno
Drought ni njaa
Famine ni njaa
Hunger ni njaa
Empty stomach ni njaa!.

Mayalla ni famine due to drought, watu wametafsiri ni empty stomach inayohitaji shibe ya kujaza tumbo!.

P
 
Japo jina la Mayalla, kweli ni njaa, ila sio njaa ya tumbo kukosa mlo ambayo sawa yake ni shibe, hii ni njaa ya baa la njaa, famine lililosababishwa na ukame, drought na sio hunger, yenye kuhitaji mlo!.
P
Ndiyo,ungelikata siku ile

Ova
 
Kati ya freedom zote duniani, freedom zote zina mipaka isipokuwa freedom to think, haina mipaka!, you can think about anything, no one can do anything about it, ni haki yako naiheshimu.

Ila pia mimi ni muwazi sana, niko very open, sijawahi hata kuwa monitor darasani sasa hii njaa ya madaraka ni njaa gani?!.

Hivi unajua tangu enzi za Mwalimu Nyerere, pale Msasani sisi tunacheza mule!. Huyu Dr.Mwinyi tumesoma nae primary na sekondari pale Tambaza!, mtoto wa Ben tumesoma nae darasa moja, Riz mimesoma nae UDSM, JPM ni home boy wangu hivyo nikiwa pande zile nafikia kwake kula kulala!. Kama ni kweli nina njaa ya hivyo ya madaraka, ningeshindwa kweli ku lobby kupata hata u DC?.

Kuna wengi humu wanaona mtu kuteuliwa kuwa DC ni bonge la deal!, lakini amini nakuambia tunawaona baadhi ya ma DC kama ni ma fa.. fulani tuu!, mtu una ofisi yako kodi tuu ya mwezi ni zaidi ya mshahara wa DC!, uutake u DC ili ukaufanyie nini?!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Humo nimesema

Naamini utakuwa umeelimika kuhusu mimi, haukatazwi kuendelea kufikiri navizia uteuzi!.
P
We mzee yna mikwala sana

Bado hujaacha mambo yenu ya maghorofani drive in

Ova
 
Kiswahili kina upungufu wa misamiati ya maneno
Drought ni njaa
Famine ni njaa
Hunger ni njaa
Empty stomach ni njaa!.

Mayalla ni famine due to drought, watu wametafsiri ni empty stomach inayohitaji shibe ya kujaza tumbo!.

P
hapana drought sio njaa ni ukame bwana njaa
 
Mkuu saidoo25 , kwanza asante kwa kunifungua macho kuhusu hili, kuna kitu nikikisema humu unaweza usiamini!. Japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, amini usiamini sikubahatika kupata muda kuangalia mikutano Mkuu wa CCM, nimefanya kusikikia tuu Mzee Makamba alizungumza', sikuwahi kusikiliza alichozungumza!, lakini leo baada ya bandiko hili, ndio kwa mara ya kwanza nitamsikiliza Mzee Makamba na kama ni kweli kuna udhalilishaji wa mwandishi husika', nitatia Neno!.
Asante kwa angalizo
P
Update
Clip ni hii ngoja niiangalie

P

Cde. Pascal Mayalla bado hujamsikiliza Mzee Makamba kuhusu shambulio kwa mwandishi? ili kama Senior Journalist mwenye uzoefu wa zaidi ya 30 kwenye fani uweze kutoa kauli yako ya kuunga mkono kilichotokea au kupinga.
 
Back
Top Bottom