Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Historia ni mwenendo wa kale na maisha kuhusu watu vitu Mali, uwezo, Milki, Ardhi nk, Kweli hii tabia ya kutopenda, watu wenu, vyenu, imeanzia vizazi vya mbali ndo maana wazee wenu walipoteza utajiri kirahisi,

ndiyo imefanya mfanyiwe kila kitu leo, ukipinga hx ni umewakana nduguzo babu wa babu, chuki tayari, ndiyo maana waafrica hampendani mnachomana kirahisi km Boko haramu. Waarabu walimtunza Osama dhidi ya adui mpaka raha! yote sababu ya upendo ili kutunza hx yao.

Waaarabu, wahindi na wazungu wenzenu wana enzi mpaka na mifupa ya wahenga wa miaka karne, mfano ya Alexander the great, Makaburi swaaafiii, yana bustani zimepangiliwa na zinalindwa na angalia walivo na umoja!

Hata Lugha yenu mmeandikiwa, kula yenu , soma yenu, kunya yenu ina fanyiwa utafiti na watu wengine, waliojua thamani ya kile mricho nacho! kifupi hamjui mliko toka mlipo, kwa nini na mnaenda wapi! hujui King mansa Musa alifanyia nini dhahabu! ili na wewe leo basi ufanye ili uishi!

Mpaka leo wakubwa na watoto wa kiswahili hawapendi Historia, wanapenda Sayansi km pambo tu, ambayo hawaifanyii lolote wala hata kuijua zaidi ya kuwa madalali wa wazungu mfano Drs', hata muafrica ukijifariji siyo dhambi! kuna mtu hataki faraja? yaani hata faraja unaichukia?

Unapoikandya Historia yenu, unaona ni sawa wazungu hawataki muijue Historia yenu, wameimiliki sehemu zote maarufu na kuwa yao, hata ukiikataa Tanzania yako leo, ambayo ni historia ya kesho wao wanaitaka. kesho watasema tony stark wa JF alikuwa Mzungu.
Mkuu umeongea mengi Ila napigia mstari"Wazungu hawataki muijue historian yenu" Haswaa!!.Wazungu vitu maarufu vya Afrika wamevipa majina yaa, mf Bahari ya Hindi,lake victoria nk.Wazungu hawataki na huwatenga waafrika na ancient egypt wakati masanamu yote yanapua za kibantu, nywele za kirastakisomali na rangi nyeusi na brown.Bado kuna waafrika wenzetu wanakwambia wale ni waislaeli.mkuu inasikitisha sana.
Maktaba kubwa ya kale ipo Mali nyingine ilikuwepo misri bwana Alexandra aliitia kiberiti lakini vitabu vyetu havina hizo taarifa na maproffesa wanaona sawa tu wanaendelea kutulisha matango pori pale kitivo.
 
Acha kuangalia kagera ya sasa hiv iliyoporomoka kiuchumi Kwa majanga na CCM hii.

Angalia kagera kama mkoa wa west lake region kama ulivyoitwa hapo mwanzo.

Mkoa huu ulikuwa na uchumi imara Sana ukiwa wa pili tz hapo kabla ya vita ya kagera.na majanga mengine kama ukimwi,MV bukoba,kuanguka Kwa bei ya kahawa, vanilla,magonjwa ya ndizi , tetemeko nk lakin pia CCM kupigilia kwenye kuudidimiza mkoa huu.


Angalia maendeleo ya watu wa kagera kama watu sio mkoa kiujumula maana inawezekana GDP ya mkoa ni ndogo kulinganisha na watu maana kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini kama hujui Hilo labda Kwa sababu ya uhamiaji na uwepo wa chakula.

Kama umefika kagera utakuwa shahidi hasa uhayani (bukoba, misenyi,karagwe na muleba) nyumba mbovu zinaishilia kabisa na pengine ujenzi wa majumba ya kisasa ninmkubwa mno hasa vijijin.kuna chakula cha kutosha,shule kibao muleba ikiwa wilaya ya pili Kwa shule nyingi nchini.mkoa Una hospital 19 kubwa huku wilaya kama muleba kuna hospital kubwa NNE. Nk



Mwisho kagera sio wahaya na wala wahaya sio kagera. Kuna wilaya mbili maskini Sana kubwa Biharamulo na Ngara zipo ndani ya mkoa wa kagera na hazikaliwi na wahaya mpaka chato ilimegwa Biharamulo kukimbia umaskini huu.
Kagera nimefika na ni shemeji zangu kakaangu kaoa huko, nafahamu pia kagera kuna makabila mengi mfano wahaya na wanyambo, wapo wengine pia,

Na nikweli yapo majanga yaliyoididimiza kagera kama mkoa, nafahamu, lakini ukiacha historia ya west region na majanga, bado kimkoa Maendeleo huezi linganisha na mikoa kama Arusha , Moshi, mwanza, mbeya, hata iringa, japo naweza naweza kukubaliana na wewe kuhusu kuchangia kwa factors kadhaa kwenye kudidimiza mkoa huo, kama siasa ya chama kupuuza Maendeleo ya baadhi ya mikoa ya pembezoni kama kagera, kigoma, Rukwa (ukiwemo Katavi) Ruvuma, Mtwara hata Mara! Na factors nyingine kama magonjwa, vita , ajali ya MV Bukoka nk

Pia nikubaliane nawe kuhusu uchumi wa mtu mmoja uko stable kwakiasi, na kwasasa nikweli Maendeleo yanakuja kiasi,
 
Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.

Tuanzie hapa..

KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.

Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.

Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.

Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.

Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.

Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.

Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.

Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.

Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).

Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.

BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Nikupe Tafiti ya kijiweni kwangu sio ya muzungu!
Angalia wachagga, wahaya, wanyakyusa! Hawa hata darasani huwawezi! Chakula chao kikuu ni Ndizi!
Wala nyama sana ni watu wa Hasira!
Ref; wanyambwa, wakurya, wagogo, wamasai...nyama inaning'inia kwenye ndoana buchani inatikisika 😁😁
Wala samaki wote wambeya na majungu kimtokacho mdomoni sicho kilicho rohoni!
Rejea; wap watu wa pwani!
Samaki hafumbi macho 😀😀
 
Mkuu umeongea mengi Ila napigia mstari"Wazungu hawataki muijue historian yenu" Haswaa!!.Wazungu vitu maarufu vya Afrika wamevipa majina yaa, mf Bahari ya Hindi,lake victoria nk.Wazungu hawataki na huwatenga waafrika na ancient egypt wakati masanamu yote yanapua za kibantu, nywele za kirastakisomali na rangi nyeusi na brown.Bado kuna waafrika wenzetu wanakwambia wale ni waislaeli.mkuu inasikitisha sana.
Maktaba kubwa ya kale ipo Mali nyingine ilikuwepo misri bwana Alexandra aliitia kiberiti lakini vitabu vyetu havina hizo taarifa na maproffesa wanaona sawa tu wanaendelea kutulisha matango pori pale kitivo.
Big up sana Mkuu! uko vizuri, hao wanaopinga usiwalaumu sababu hawajui, na walitengenezwa kuwa hivyo na Elimu za kibongo! hata mimi nilikuwaga ivo ivo, ilikuwa kazi kunielewesha ukweli, sometimes nakaribia kurusha ngumi. lkn polepole nilielewa zaidi kuliko walonielimisha awali.

Egyptologists wote Duniani hakuna mwafrica, ni wazungu tupu mpaka leo, na wanazuia ki aina, wasisome wala kufanya uchunguzi kifupi Hx ya Africa imechezewa sana.
 
Samaki na ndizi uzalisha akili nyingi
Unaweza kuniambia ndizi na samaki wanazalisha vipi akili?

Pia akili ni nini?

Na kwanini akili zizalishwe na samaki na ndizi?

Na pia samaki na ndizi vina uhusiano gani na akili na uniambie kwanini?

Pia samaki wa aina gani wanazalisha akili na kwanini samaki hao tu na sio wengine?


Jibu hayo maswali au hoja yako ni fallacy.
 
Unaweza kuniambia ndizi na samaki wanazalisha vipi akili?

Pia akili ni nini?

Na kwanini akili zizalishwe na samaki na ndizi?

Na pia samaki na ndizi vina uhusiano gani na akili na uniambie kwanini?

Pia samaki wa aina gani wanazalisha akili na kwanini samaki hao tu na sio wengine?


Jibu hayo maswali au hoja yako ni fallacy.
Samaki na ndizi-plantain yaani hayo matoki ndizi uganda etc, zina omega3 ambayo ni muhimu sana kwenye development ya ubongo wakati wa kukua. hiyo ndiyo hudetermine IQ ya mtu.

pamoja na kwamba hiyo ni general view, kama samaki wangekuwa wanasababisha mtu awe na akili hivyo, basi wazaramo wote wangekuwa vyuo vikuu, kwasababu wanakula samaki na dagaa kuliko wengine. watu wa Tanga, Mtwara, Zanzibar etc wangekuwa na akili sana. lakini cha kushangaza wazenji, tanga, mtwara, lindi ndio hushika mikia.
 
Kweli aise maana wamevumbua mambo mengi
Wameunda magari,wameunda mandege,wanatengeneza mitambo mbali mbali
Bado tu kwenda mwezini
Kweli watu wa huko vichwa sana

Ova
 
Wahaya wangekua na akili Bukoba isingekua ilivyo leo. Ingekua angalau hata robo ya Moshi. Na msipoangalia Chato itaipiku Bukoba kwa kila kitu kuanzia usafi, mzunguko wa pesa, maajeengo, mashule, siptali na kadhalikaa
 
Wahaya wangekua na akili Bukoba isingekua ilivyo leo. Ingekua angalau hata robo ya Moshi. Na msipoangalia Chato itaipiku Bukoba kwa kila kitu kuanzia usafi, mzunguko wa pesa, maajeengo, mashule, siptali na kadhalikaa
[emoji1][emoji1]
 
Acha kuangalia kagera ya sasa hiv iliyoporomoka kiuchumi Kwa majanga na CCM hii.

Angalia kagera kama mkoa wa west lake region kama ulivyoitwa hapo mwanzo.

Mkoa huu ulikuwa na uchumi imara Sana ukiwa wa pili tz hapo kabla ya vita ya kagera.na majanga mengine kama ukimwi,MV bukoba,kuanguka Kwa bei ya kahawa, vanilla,magonjwa ya ndizi , tetemeko nk lakin pia CCM kupigilia kwenye kuudidimiza mkoa huu.


Angalia maendeleo ya watu wa kagera kama watu sio mkoa kiujumula maana inawezekana GDP ya mkoa ni ndogo kulinganisha na watu maana kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini kama hujui Hilo labda Kwa sababu ya uhamiaji na uwepo wa chakula.

Kama umefika kagera utakuwa shahidi hasa uhayani (bukoba, misenyi,karagwe na muleba) nyumba mbovu zinaishilia kabisa na pengine ujenzi wa majumba ya kisasa ninmkubwa mno hasa vijijin.kuna chakula cha kutosha,shule kibao muleba ikiwa wilaya ya pili Kwa shule nyingi nchini.mkoa Una hospital 19 kubwa huku wilaya kama muleba kuna hospital kubwa NNE. Nk



Mwisho kagera sio wahaya na wala wahaya sio kagera. Kuna wilaya mbili maskini Sana kubwa Biharamulo na Ngara zipo ndani ya mkoa wa kagera na hazikaliwi na wahaya mpaka chato ilimegwa Biharamulo kukimbia umaskini huu.
Kwann unabagua wilaya za mkoa wako? Sisi Kilimanjaro tunajivunia maendeleo mkoa mzima,hata wilaya zisizokaliwa na wachaga elimu , maendeleo yapo
Usizitenge wilaya za mkoa wako
 
Watu wa wa uwanda wa lake Victoria wengi ni masikini wakutupwa.
Hivi ni nani asiyejua tabia za wahaya hapa Dar,au akili zao zimeelekea chini?
Mkoloni alipiga mtumwa kichwani!! ni wazi hujawahi fika huko! wewe Kanda ya ziwa utalinganisha na Mkoa gani hapa Tanzania kwa Ubora wake, mie nadhani hujasoma au shule yako ndogo sana hivi

jiji la pili kwa ukubwa TZ linalo taka kuipiku jiji la sasa unalijua? au unalipuka tu kwa chuki?

Chini hupataki? si mnalilia chini nyie! km wewe hupendi wenzako wanaomba na waipigia goti ile lkn akiwa barabarani utamuona wa kawaida sana!! na wala hutajua!! lkn kunako zivu la ke weee! au bado mtoto! hujakutana na maku inayoita!! hebu fikiria wanawake wote wa aina yenye bahati wakigoma hkn kutoa nyapu zao itakuwaje?

nani mwanamke mtamu hapo Bongo kuliko Muhaya! wale nyapu zao zinaongea sasa nambie mdenge gani mwenye nyapu inaongea!! wanyakyusa walijaribu kidogo!! jaribu huduma pale siyo unalialia tu hapa na mambo yako yatakunyoookea daima! km unataka kazi ya kuajiliwa mpaka wanakulilia, hela ya utajiri au km ulirogwa mshedede u mrenda tiba ni pare kwa wahaya !

hatutakuona humu unaganga njaa! utafanya siri!! ukiwa na roho mbaya, lkn roho kwatu utasaidia wengine, kwanza pale unapata huduma hkn kupigwa limbwata! ukimaliza unasepa zako na baraka tele!! ukihitaji any time utapata tena hata yuleyule!! na asikudanganye mtu hkn mikosi mibaya km limbwata la wanawake wa kilugulu!!

huwezi kufikiria Wabunge, Wafanya biashara wakubwa na Mawaziri viongozi wenu wote hata jiwe wanalilia ile Huduma pare? na kweli wanashinda kwenye chaguzi zao na teuzi mbali mbali kwanza wewe ukienda hapo utajiona ni kiraka tu hautashindana na waziri kupata nyapu zile!!
eti sijui ule boda kwa mguu, kwenda kwa wahaya na tulaki twako tuwili? mawee! watakwambia
''subiri hapo kwansa bhabha!!, au hifi huyu mutu anatokea wepiii? au amkuja kuiba hapa?

tahadhali umpate muhaya original,
unashindwa kujiuliza swali rahisi kwa nini waende Dar wapate soko kubwa kuliko wenyeji wa huko?? Wadengereko, waha, wamatumbi, wahehe walijaribu walibakia kuajiliwa km house girl tu na kupiga miayo na hao hao wahaya!!

ile mashine za makabila mengine hazina mafanikioa km hizi!! ukibisha jaribu Tmk Sudan pale na ka million kako hako km utakubarika!!! halafu wananusa na kuangalia kwa makini wanaume wenye mikosi!! nyota zao zilisha jambiwa kitambo km wewe una bahati njema ya kuzaliwa wanaweza kukupunguzia au kukukopesha!! lkn ulipe!

Nenda kajipime bahati njema au mbaya kwa wahaya!!! ukiona analalamika ''huyu papa fipiiii wajameni wuko hivi?? '' jua tayari nyota yako shangazi yako alisha ijambia kitambo!!

lkn ukiona kimya unaambiwa ''vipi swafiii?? karipu tena bhabha waitu'' au ngoja nikuongese kinogesho!! hii sihesabii turia tu!! yaani utapewa mpaka ki bafu maalumu cha kuogea!! nambiesasa ukitoka kazini hujapitia hapo?
 
Mkoloni alipiga mtumwa kichwani!! ni wazi hujawahi fika huko! wewe Kanda ya ziwa utalinganisha na Mkoa gani hapa Tanzania kwa Ubora wake, mie nadhani hujasoma au shule yako ndogo sana hivi

jiji la pili kwa ukubwa TZ linalo taka kuipiku jiji la sasa unalijua? au unalipuka tu kwa chuki?

Chini hupataki? si mnalilia chini nyie! km wewe hupendi wenzako wanaomba na waipigia goti ile lkn akiwa barabarani utamuona wa kawaida sana!! na wala hutajua!! lkn kunako zivu la ke weee! au bado mtoto! hujakutana na maku inayoita!! hebu fikiria wanawake wote wa aina yenye bahati wakigoma hkn kutoa nyapu zao itakuwaje?

nani mwanamke mtamu hapo Bongo kuliko Muhaya! wale nyapu zao zinaongea sasa nambie mdenge gani mwenye nyapu inaongea!! wanyakyusa walijaribu kidogo!! jaribu huduma pale siyo unalialia tu hapa na mambo yako yatakunyoookea daima! km unataka kazi ya kuajiliwa mpaka wanakulilia, hela ya utajiri au km ulirogwa mshedede u mrenda tiba ni pare kwa wahaya !

hatutakuona humu unaganga njaa! utafanya siri!! ukiwa na roho mbaya, lkn roho kwatu utasaidia wengine, kwanza pale unapata huduma hkn kupigwa limbwata! ukimaliza unasepa zako na baraka tele!! ukihitaji any time utapata tena hata yuleyule!! na asikudanganye mtu hkn mikosi mibaya km limbwata la wanawake wa kilugulu!!

huwezi kufikiria Wabunge, Wafanya biashara wakubwa na Mawaziri viongozi wenu wote hata jiwe wanalilia ile Huduma pare? na kweli wanashinda kwenye chaguzi zao na teuzi mbali mbali kwanza wewe ukienda hapo utajiona ni kiraka tu hautashindana na waziri kupata nyapu zile!!
eti sijui ule boda kwa mguu, kwenda kwa wahaya na tulaki twako tuwili? mawee! watakwambia
''subiri hapo kwansa bhabha!!, au hifi huyu mutu anatokea wepiii? au amkuja kuiba hapa?

tahadhali umpate muhaya original,
unashindwa kujiuliza swali rahisi kwa nini waende Dar wapate soko kubwa kuliko wenyeji wa huko?? Wadengereko, waha, wamatumbi, wahehe walijaribu walibakia kuajiliwa km house girl tu na kupiga miayo na hao hao wahaya!!

ile mashine za makabila mengine hazina mafanikioa km hizi!! ukibisha jaribu Tmk Sudan pale na ka million kako hako km utakubarika!!! halafu wananusa na kuangalia kwa makini wanaume wenye mikosi!! nyota zao zilisha jambiwa kitambo km wewe una bahati njema ya kuzaliwa wanaweza kukupunguzia au kukukopesha!! lkn ulipe!

Nenda kajipime bahati njema au mbaya kwa wahaya!!! ukiona analalamika ''huyu papa fipiiii wajameni wuko hivi?? '' jua tayari nyota yako shangazi yako alisha ijambia kitambo!!

lkn ukiona kimya unaambiwa ''vipi swafiii?? karipu tena bhabha waitu'' au ngoja nikuongese kinogesho!! hii sihesabii turia tu!! yaani utapewa mpaka ki bafu maalumu cha kuogea!! nambiesasa ukitoka kazini hujapitia hapo?
Hii makala yote umeandika kwakujibu maelezo yangu ya mistali miwili tu?Pole rafiki yangu muhaya naona nimekukwaza ila mi nimeongea ukweli ninaoujua, kimsingi mwenye maendeleo hawezi uza mwili wake ili apate pesa.
 
Back
Top Bottom