Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Duh hii ni aibu kwahyo wana akili hao! cheo sio kwamba una akili kuliko wengine kwahyo familia ya BUSH au MAGU ana akili kuliko wote.Tofautisha mtu kupwa madaraka na akili.IDD AMIN. HITTLER nao utasemaje na hasa IDD AMIN kwani ni muhaya mwenzenu msimkatae
USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.MIMI NILIENDAJE HUKO NA WADOGO ZANGU WOTE!! SIKIA STORI TU KUHUSU MCHUJO ! POINTI SABA LAINI NA INGEKUWA KATA NI FOUR KAMA YENU HE HE
Sidhan kama unaelewa ulichoandika[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.

Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Elimu elimu elimu.

Mkuu Nyaru-sare rudi darasani, kasome historia ya wa-Bantu na historia ya wanilotics. Ndio uje uandike tena
 
Watanzania wote sisi ni vilazaaaaa

Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda ya nyonyo
Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.

Tuanzie hapa..

KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.

Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.

Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.

Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.

Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.

Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.

Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.

Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.

Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).

Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.

BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesema mikoa ya watu wanaokula ndizi kwa wingi ingekuwa sahihi siyo samaki,rejea mikoa ya pwani na visiwani linganisha na Kilimanjaro,Arusha,Kagera,Mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
si kweli kuwa watu wa pwani hawana akili bali kilichotokea hawakutilia mkazo elimu hiyo haifanyi kutokuwa na akili sisi wa kuja tulipokelewa na watu wenye akili na utu na ustaraabu na tunaishi kwa amani hiyo nayo ni akili tusiwabeze miaka
 
ukisema kanda ya ziwa, unamaanisha wasukuma pia? na wakurya/wajaluo? mbona vilaza wengi tu? kuna maeneo hayo kuna watu they cannot even afford kununua samaki mmoja, na baba akiwa mvuvi anaona bora auze. wasukuma wengi hawali ndizi, utasemaje hapo? wanakula ugali ambao hauna chochote.

nijuavyo, wakati ya development ya ubongo viini muhimu vinavyohitajika huwa ni Omega3, ambayo ipo kwa sana kwenye mafuta ya samaki na kwenye ndizi. mtoto akiwa anakula (0 age to 23) development ya ubongo wake inakua vizuri hivyo atakuwa na IQ kubwa. huo ndio ukweli. hata hivyo, omega3 haipatikani kwenye vyakula hivyo tu, jaribu kusearch aina za vyakula vyeney omega3 utapata jibu. lishe bora na pesa za kusomeshea watoto ndio hufanya mtu awe na akili...

hata hivyo wakati mwingine hii dhana huwa inajipinga yenyewe......angalia people around lake Nyasa, lake Tanganyika, and all those Zaramos along the coast hadi watu wa Tanga, Lindi Mtwara na Zanzibar, ambao hushika mkia. linganisha na watu wa kilimanjaro, iringa, na mbeya (mbeya ondoa wanyakyusa wa tukuyu kwenye ndizi), ambako ndio wameongoza shule, utasema hawana akili?

wahaya na wasukuma si tumesoma nao? mbona tulikuwa tunaona wagumu sana kuelewa wanavuta mkia?

wazungu wote wanatoka along costs kweney samaki? maswali ni mengi.
 
Sio uhaya tafiti kwann panapolimwa ndizi au jirani na ziwa vichwa huwa vingi
uhayani ni kwasababu ya ukristo, shule zilianza mapema kuliko kwingine ndo maana muamko wa elimu upo juu na kuna vichwa vingi. the same applies to Tukuyu Mbeya and kilimanjaro
 
si kweli kuwa watu wa pwani hawana akili bali kilichotokea hawakutilia mkazo elimu hiyo haifanyi kutokuwa na akili sisi wa kuja tulipokelewa na watu wenye akili na utu na ustaraabu na tunaishi kwa amani hiyo nayo ni akili tusiwabeze miaka
Hakuna aliyesema hawana akili,tunaongelea uhusiano wa kula samaki na wingi wa akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wote sisi ni vilazaaaaa

Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda ya nyonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kampuni ya Tata mnayoiona alishiriki muhaya mmoja kuunda hiyo kampuni.


Bukoba kuna barabara Kwa ukumbusho wake
FB_IMG_15808789394908038.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyakyusa mamba anatamka ngwina ambapo mzizi wa neno ng haujabadirika hata ktk kabila ulizotaja. Neno "huko" ktk kishona latamkwa sawa sawa na letu sie waswahili "huko" likirejelea uelekeo wa sehemu. Sasa unaweza toa ushahidi kuwa waarabu waliishi shona land kama ilivokua ktk upwa wa A.Mashariki?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndiyo tulitoka huko waliko .
 
Nadhani kwa sisi waafrika kuanza kusema tunazidiana akili ni ujinga, hata whites wenye elimu yao wanatucheka kwa huu ujinga.

Kama afrika kungekuwa na jamii yenye akili basi tungekuwa tunashindana na marekani kwa tech na uchumi, lakini Africa ndio bara lenye umasikini wa kutisha na kushangaza.

Yaani bara ni tajiri lakini
hapohapo ni masikini hii haingii akilini na bado Kuna watu wanasema wao wana akili kuliko wengine, kwa vigezo vipi?

Umeajiuliza kwanini gunduzi zote zinafanywa na whites?
Hakuna muafrika hata mmoja?
Genius wote ni Whites hakuna mweusi hata mmoja?

Elon musk amezaliwa afrika na anafanya makubwa, lakini bado ni mweupe at least angekuwa mweusi ningejaribu kuamini kwamba weusi tuna akili.

Naomba tupunguze ujinga waafrika wenzangu.
 
Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.

Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
wamisri wa kale
 
Nadhani kwa sisi waafrika kuanza kusema tunazidiana akili ni ujinga, hata whites wenye elimu yao wanatucheka kwa huu ujinga.

Kama afrika kungekuwa na jamii yenye akili basi tungekuwa tunashindana na marekani kwa tech na uchumi, lakini Africa ndio bara lenye umasikini wa kutisha na kushangaza.

Yaani bara ni tajiri lakini
hapohapo ni masikini hii haingii akilini na bado Kuna watu wanasema wao wana akili kuliko wengine, kwa vigezo vipi?

Umeajiuliza kwanini gunduzi zote zinafanywa na whites?
Hakuna muafrika hata mmoja?
Genius wote ni Whites hakuna mweusi hata mmoja?

Elon musk amezaliwa afrika na anafanya makubwa, lakini bado ni mweupe at least angekuwa mweusi ningejaribu kuamini kwamba weusi tuna akili.

Naomba tupunguze ujinga waafrika wenzangu.
Kasome historia vzr,
Unaujua mji wa timbuktu?!watu walitoka bara ulaya wakaenda kujifunza Afrika,karne nyingi sana kabla ya mkutano wa berlin ulioigawa Afrika.
 
Back
Top Bottom