Atakuwa hajui historiaHuyu jamaa ni muongo mno. Ati wasukuma na wahaya asili yao ethiopia n misri. Arudi tena shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa hajui historiaHuyu jamaa ni muongo mno. Ati wasukuma na wahaya asili yao ethiopia n misri. Arudi tena shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Niruhusu nilete vijiji vya uhayani.Wahaya wana akili mbovu na ovyo kujisifu tu ndo kumewajaa ukifika kwao utachoka
Naomba nilete picha za vijijin huko uhayani.Hizi Mara nyingine za hovyohovyo sana,
Kama issue ni samaki kwanini pia isiwe watu wa ukanda wa pawani kama Tanga,Pwani na Mtwara.
Kwanini isiwe watu wa lake Tanganyika na lake Nyasa?
Hivi ninyi wahaya mpoje mbona mnapenda sana misifa?
Hivi mnaposema watu wanaoishi uwanda wa ziwa Victoria wana akili mnatumia tafiti zipi au ndio hizi mada za kina inshomire?
Watu wa wa uwanda wa lake Victoria wengi ni masikini wakutupwa.
Hivi ni nani asiyejua tabia za wahaya hapa Dar,au akili zao zimeelekea chini?
Tizama watu la lake Tanganyika wengi wao hali zao,kigoma ndio mkoa duni kabisa licha ya kula mgebuka na dagaa.
Hivi hizi akili kubwa zinashindwaje Kutumika kusaka pesa?
😂😂😂Tanzania, isingehaika kuagiza pamba za kuchonolea masikioni China, kama watu wa huko wana akili nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mila gan za tofauti? Labda Mila ya kurithi wajane maana wahaya hii Mila ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa na akili mkoa wao isingekuwa kwenye orodha ya mikoa maskini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imenibidi nikucheke Tu.Kumbe hata hufaham maendeleo? Basi Kuna kazi kubwa Sana kukuelimisha hii Ni kutokana na nyie kutopenda shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie tukileta vijiji vyetu mnakimbia wenyewe mnapost nyumba moja Tu ya mengi?
Tujifunze nini?Pamoja na hayo yote mhaya Ni mwanafunz wa mchaga ktk nyanja zote sio elimu,sio uchumi,sio maendeleo,sio ujanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa umekanyaga mafuta ya upako sio bure[emoji23][emoji23][emoji23]Nami nauliza.
1. Kwanini wahaya walio wengi wananuka midomo?
2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
Sikuwepo, wala siyo ujuaji hapa tuna Elimishana, yale tuyajuayo tunayatoa ili na sisi tupate kupingwa mawazo yetu, na wenye kujua zaidi yetu, ndiyo maana ya mjadala, JF ni zaidi ya darsa;Si ndio hapo sasa. Afu anajidai za kuambiwa nichanganye na zangu utafikiri yeye aliwashuhudia watokapo ethiopia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete mada za kueleweka sio kutaja makabila flani .ila ni uelewa wako nachojua usipopiga mswaki mdomo utanuka hivyo fikiria kabla ya kuleta mada.karibu TangaMkuu ulikua unaheshimika sana mitaa ya kiheshima lkn naona tangu uhamie kwenye mabanda ya mbuzi akili yako nayo iko kama ya mbuzi
Wayahudi from etheopia,au we hujui kuwa etheopia napo kuna wayahudi af wamechoka tu.Mna akili za kushikiwa.Myahudi yupi huyo alizamia south
Wayahudi wa aina gani haoWayahudi from etheopia,au we hujui kuwa etheopia napo kuna wayahudi af wamechoka tu.Mna akili za kushikiwa.
Huna akili nenda ka google.Mnadanganywa wayahudi ni wenye akili kuliko nyie wajinga wajinga.Afrika wayahudi ni wengi tu lakini hakuna wanachofanya hukondeana na njaa huko kwao etheopia.Tatizo mmelishwa sumu na watu wa dini zenu mmekuwa ma bogus.Jiongeze kielimu uondoe hizo sumu.Wayahudi wa aina gani hao
Wahaya ni Nubian.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waliosoma history (peopling of Tz) sidhani yupo hata mmoja anaekubaliana na wewe. Haya, Sukuma na makabila mengi yapatikanayo interlacustrine region ni Bantu speaking. Ethiopia n Egypt hakuna ushahidi wa uwepo wa Bantu people. AKSANTE KWA CHAI CHIEF
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwepo, wala siyo ujuaji hapa tuna Elimishana, yale tuyajuayo tunayatoa ili na sisi tupate kupingwa mawazo yetu, na wenye kujua zaidi yetu, ndiyo maana ya mjadala, JF ni zaidi ya darsa;
Nina maana kwamba! katika mitaala yeyote Duniani, kuna vitabu vya kiada na ziada! so' utasoma unayoambiwa, then utachanganya na zako kwa kufanya frame of references source za aina mbalimbali, km, majarida, vitabu, Radio, Tv nk,
Nyingine unaweza kufanya hata Utalii binafsi wa sehemu husika usiokuwa wa gharama kuubwa, mfano tu nakupa km Uki-Gradute, unaweza fanyia internship yako ktk nchi mojawapo za Ki-Africa ambazo ume-target kwa kichwa yako.
Kujichanganya na watu wageni wa aina mbalimbali, wanaofika Bongo, kupitia Seminar, Shule, Mafunzo kazini, Utalii,nk unaweza shangaa baadhi yao! mnatamka maneno kwa lafudhi moja, au lafudhi tofauti lkn maana moja, mfano, Basotho wanatamka ''Ikweena- Mamba'' Wajita ''Ing'wena''- Mamba huyohuyo!
Basotho Mng'aka wee!, kikuyu- ''Mghaka wee!''- wewe mzee!
Wachaga wa Mwaposo hamna kitu.
USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.MIMI NILIENDAJE HUKO NA WADOGO ZANGU WOTE!! SIKIA STORI TU KUHUSU MCHUJO ! POINTI SABA LAINI NA INGEKUWA KATA NI FOUR KAMA YENU HE HEHiv unajua vigezo vya mtu kwenda seminary? Kumbuka kuna mchujo mkubwa kabla ya kwenda seminary.
Ukubali Tu asilimia kubwa ya wahaya Wana akili.
Tazama maTO kila mwaka,mabest students hasa UDSM nk na idadi ya wahaya vyuoni ndo uje uongee hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii ni aibu kwahyo wana akili hao! cheo sio kwamba una akili kuliko wengine kwahyo familia ya BUSH au MAGU ana akili kuliko wote.Tofautisha mtu kupwa madaraka na akili.IDD AMIN. HITTLER nao utasemaje na hasa IDD AMIN kwani ni muhaya mwenzenu msimkataeKardinali Rugambwa
Sir George kahama
Askofu novatus Rugambwa balozi wa pope.
Wapo kibao useme Tu watz hawataki kukubali ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app