Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Hizi Mara nyingine za hovyohovyo sana,
Kama issue ni samaki kwanini pia isiwe watu wa ukanda wa pawani kama Tanga,Pwani na Mtwara.
Kwanini isiwe watu wa lake Tanganyika na lake Nyasa?

Hivi ninyi wahaya mpoje mbona mnapenda sana misifa?

Hivi mnaposema watu wanaoishi uwanda wa ziwa Victoria wana akili mnatumia tafiti zipi au ndio hizi mada za kina inshomire?

Watu wa wa uwanda wa lake Victoria wengi ni masikini wakutupwa.
Hivi ni nani asiyejua tabia za wahaya hapa Dar,au akili zao zimeelekea chini?

Tizama watu la lake Tanganyika wengi wao hali zao,kigoma ndio mkoa duni kabisa licha ya kula mgebuka na dagaa.

Hivi hizi akili kubwa zinashindwaje Kutumika kusaka pesa?
Naomba nilete picha za vijijin huko uhayani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mila gan za tofauti? Labda Mila ya kurithi wajane maana wahaya hii Mila ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa na akili mkoa wao isingekuwa kwenye orodha ya mikoa maskini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mandhari za vijin kilimanjaro hatuna mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ma T.O WA mwaka huu wa kwanza na wa PILI wote ni wachaga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hata hufaham maendeleo? Basi Kuna kazi kubwa Sana kukuelimisha hii Ni kutokana na nyie kutopenda shule

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imenibidi nikucheke Tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nauliza.
1. Kwanini wahaya walio wengi wananuka midomo?
2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
Utakuwa umekanyaga mafuta ya upako sio bure[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ndio hapo sasa. Afu anajidai za kuambiwa nichanganye na zangu utafikiri yeye aliwashuhudia watokapo ethiopia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwepo, wala siyo ujuaji hapa tuna Elimishana, yale tuyajuayo tunayatoa ili na sisi tupate kupingwa mawazo yetu, na wenye kujua zaidi yetu, ndiyo maana ya mjadala, JF ni zaidi ya darsa;

Nina maana kwamba! katika mitaala yeyote Duniani, kuna vitabu vya kiada na ziada! so' utasoma unayoambiwa, then utachanganya na zako kwa kufanya frame of references source za aina mbalimbali, km, majarida, vitabu, Radio, Tv nk,

Nyingine unaweza kufanya hata Utalii binafsi wa sehemu husika usiokuwa wa gharama kuubwa, mfano tu nakupa km Uki-Gradute, unaweza fanyia internship yako ktk nchi mojawapo za Ki-Africa ambazo ume-target kwa kichwa yako.

Kujichanganya na watu wageni wa aina mbalimbali, wanaofika Bongo, kupitia Seminar, Shule, Mafunzo kazini, Utalii,nk unaweza shangaa baadhi yao! mnatamka maneno kwa lafudhi moja, au lafudhi tofauti lkn maana moja, mfano, Basotho wanatamka ''Ikweena- Mamba'' Wajita ''Ing'wena''- Mamba huyohuyo!
Basotho Mng'aka wee!, kikuyu- ''Mghaka wee!''- wewe mzee!
 
Hun
Wayahudi wa aina gani hao
Huna akili nenda ka google.Mnadanganywa wayahudi ni wenye akili kuliko nyie wajinga wajinga.Afrika wayahudi ni wengi tu lakini hakuna wanachofanya hukondeana na njaa huko kwao etheopia.Tatizo mmelishwa sumu na watu wa dini zenu mmekuwa ma bogus.Jiongeze kielimu uondoe hizo sumu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waliosoma history (peopling of Tz) sidhani yupo hata mmoja anaekubaliana na wewe. Haya, Sukuma na makabila mengi yapatikanayo interlacustrine region ni Bantu speaking. Ethiopia n Egypt hakuna ushahidi wa uwepo wa Bantu people. AKSANTE KWA CHAI CHIEF

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya ni Nubian.
 
Mnavyojadili utasema kuna kabila limefikia walau uchumi wa kati!! Afrika ni masikini,Tanzania ni masikini,Kilimanjaro ni masikini,Kagera ni masikini,Dar ni masikini.Yaani umasikini tu.Pambaneni kuundoa umasikini Afrika na Tanzania. Mnatia huruma sana.Sie tuliesoma physics hakuna cha muhaya, mchaga wala muha kwenye vile vitabu kuanzia secondary mpaka university.Wamejaa wazungu tu.Wajinga sana nyinyi akili gani hizo zisizovitabuni.
 
Mnyakyusa mamba anatamka ngwina ambapo mzizi wa neno ng haujabadirika hata ktk kabila ulizotaja. Neno "huko" ktk kishona latamkwa sawa sawa na letu sie waswahili "huko" likirejelea uelekeo wa sehemu. Sasa unaweza toa ushahidi kuwa waarabu waliishi shona land kama ilivokua ktk upwa wa A.Mashariki?
Sikuwepo, wala siyo ujuaji hapa tuna Elimishana, yale tuyajuayo tunayatoa ili na sisi tupate kupingwa mawazo yetu, na wenye kujua zaidi yetu, ndiyo maana ya mjadala, JF ni zaidi ya darsa;

Nina maana kwamba! katika mitaala yeyote Duniani, kuna vitabu vya kiada na ziada! so' utasoma unayoambiwa, then utachanganya na zako kwa kufanya frame of references source za aina mbalimbali, km, majarida, vitabu, Radio, Tv nk,

Nyingine unaweza kufanya hata Utalii binafsi wa sehemu husika usiokuwa wa gharama kuubwa, mfano tu nakupa km Uki-Gradute, unaweza fanyia internship yako ktk nchi mojawapo za Ki-Africa ambazo ume-target kwa kichwa yako.

Kujichanganya na watu wageni wa aina mbalimbali, wanaofika Bongo, kupitia Seminar, Shule, Mafunzo kazini, Utalii,nk unaweza shangaa baadhi yao! mnatamka maneno kwa lafudhi moja, au lafudhi tofauti lkn maana moja, mfano, Basotho wanatamka ''Ikweena- Mamba'' Wajita ''Ing'wena''- Mamba huyohuyo!
Basotho Mng'aka wee!, kikuyu- ''Mghaka wee!''- wewe mzee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv unajua vigezo vya mtu kwenda seminary? Kumbuka kuna mchujo mkubwa kabla ya kwenda seminary.


Ukubali Tu asilimia kubwa ya wahaya Wana akili.

Tazama maTO kila mwaka,mabest students hasa UDSM nk na idadi ya wahaya vyuoni ndo uje uongee hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.MIMI NILIENDAJE HUKO NA WADOGO ZANGU WOTE!! SIKIA STORI TU KUHUSU MCHUJO ! POINTI SABA LAINI NA INGEKUWA KATA NI FOUR KAMA YENU HE HE
 
Kardinali Rugambwa
Sir George kahama
Askofu novatus Rugambwa balozi wa pope.


Wapo kibao useme Tu watz hawataki kukubali ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii ni aibu kwahyo wana akili hao! cheo sio kwamba una akili kuliko wengine kwahyo familia ya BUSH au MAGU ana akili kuliko wote.Tofautisha mtu kupwa madaraka na akili.IDD AMIN. HITTLER nao utasemaje na hasa IDD AMIN kwani ni muhaya mwenzenu msimkatae
 
Back
Top Bottom