Ethiopia n Egypt hakuna ushahidi wa uwepo wa Bantu people. AKSANTE KWA CHAI CHIEF
Oromo walitokea Ethiopia!, kiswahili ni Afro-Asiatic language, kwa nini? Naomba jibu....
Haiwezekani kutaja Afro-asiatic entities, ukaziweka kando Ethiopia Egypt na Somalia, Eritrea, Djbout nk.
Hakika zaidi ya nusu ya Ethiopians they are originated from sub- Sahara African, Haprogroup E1b1(E1b1a) ziko kanda ya ziwa nyingi, usibishe bila uthibitisho, Simply do your Homework! kijana!
Hata ukiangalia ushahidi wa mazingira na jeografia rahisi sana ya eneo hili . maingiliano ya mito ya bue Nile na white Nile na Ziwa Victoria. ilikuwa ni rahisi kufuata maji kwa ajili ya shughuli za uvuvi, hata kusaidia wakimbizi wa vita!
Kwa mitindo hii ya wavuvi ilisaidia wao kugundua nchi mpya kirahisi sana! ambazo zilikuwa na watu wachache au hakuna kabisa! hivo walijichanganya na wenyeji!
Wazzigua wa hapo Mbwewe, ukivuka mto Wame tu lugha yao vinarandana na kisomali, na wanaelewana, ...kabila la Wa-ruri kanda ya ziwa kinaendana na Amharas, Tigrinya ya Ethiopia, na kihadjuin cha Sudan Mashariki!
Mila na Desturi zao ni sawa, ufugaji wa mifugo na masharti ya Ukamuaji wa ngo'mbe ni vilevile km mtoto wa baba mmoja...
kuna wilaya ya Bururi nchini Rwanda , accent ni moja na Waruri.walijimega hawa. kunawengine walimezwa na wengi wa huko! chromosomal DNA za Wajita, Achori, nyankole, kipsigis nk zinarandana na wa-cush!
Majina mengi ya kiruri kama maregesi, Nyanjiga,Nyanjara,(kama unakijua ile chakula maarufu cha wa ethiopia Injala vinaendana), Nyamuriro,Wanyonyi,nk yako Kenya kaskazini mpaka central Ethiopia.