Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?
Hawa watu wa kanda ya nyonyo huwa wanachekesha mno hapa wametokwa mate na jinsi kaskazini hasa kilimanjaro walivyo na akili kubwa hasa kivitendo
Kwahyo wanatafuta ahueni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi 100% nakupa zote kwasababu nimesoma kanda ya ziwa

nimeona matokeo ya wanafunzi wa kanda zile,ki ukweli they are Genious

si kwamba wajinga hawapo La hasha! ila ile mijitu ya kule sio poa asee
 
Akili zao ni za Darasani tu ila sio kwenye mambo mengine

na hii nadhani ni sababu bongo zao zinahifadhi sana kuliko sisi

inapokuja swala la mtihani ni wana copy n paste toka kichwani to pepa

Samaki ndio msingi wa mafanikio yao hamna njia nyingine ya uchawi.
 
Inferiority complex ndio inakusumbua hapa, watu wanazungumza nini, wewe umekazania ku-derail mada just to get even, kwani hatuwajui hulka zenu za kukwamisha maendeleo ya Mikoa ambayo ilikuwa mbali kielimu, kimaendeleo kabla na baada ya uhuru mpaka mid 1970s - badala ya mikoa iliyokuwa nyuma kimaendeleo na elimu kwenda kujifunza mbinu zinazo tumiwa na Mikoa iliyo fanikiwa nyinyi mkabuni mbinu za kukwamisha Mikoa endelevu mnapo pewa madaraka Serikalini.

Nani ambae hajui kwamba mikakati hii ya siri ya kudidimiza kimakusudi baadhi ya Mikoa hapa Tanzania inatekelezwa mpaka leo, mkavunja vyama vyetu vya Ushirika bila sababu yoyote ya maana, bila aibu wanavunja vyama vya ushirika vilivyo anzishwa kwenye miaka ya 1930s, mkataifisha mali zake pamoja na fedha zilizokuwa benki, fedha hizo hazijarudishwa mpaka leo, fedha hizo ndizo zilikuwa zinatumika kujenga shule, kulipa ada za watoto wa wakulima nchini mpaka Ulaya, kujenga viwanda, Mahoteli, Mashamba ya kisasa nk.

Mnajifanya kusahau ukatiri huo wa kushangaza, badala yake mnaleta ngojera zenu eti "Mikoa ya kanda ya ziwa ndio hiko nyuma sana kimaendeleo,elimu na umaskini!"
Wewe umelewa rubisi,tuliwadidimiza kivipi? Kwan Kuna rais aliyewah toka mkoa wa kilimanjaro ? Pambanen na umaskini wenu huko katerero msitafute mchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.

Tuanzie hapa..

KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.

Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.

Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.

Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.

Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.

Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.

Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.

Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.

Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).

Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.

BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Samaki kunaOmega3-6
 
Hiv unajua vigezo vya mtu kwenda seminary? Kumbuka kuna mchujo mkubwa kabla ya kwenda seminary.


Ukubali Tu asilimia kubwa ya wahaya Wana akili.

Tazama maTO kila mwaka,mabest students hasa UDSM nk na idadi ya wahaya vyuoni ndo uje uongee hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na hayo yote mhaya Ni mwanafunz wa mchaga ktk nyanja zote sio elimu,sio uchumi,sio maendeleo,sio ujanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.

Tuanzie hapa..

KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.

Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.

Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.

Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.

Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.

Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.

Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.

Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.

Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).

Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.

BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
mbona mabumbumbu wengi tu na wanashinda na samaki kanda ya ziwa
 
Lakin ukifuatulia historia ya wahaya na hata ukiwauliza mabibi inasemekana walitoka misri .

Na walifika kagera Kwa kufuata mto Nile kupitia bunyoro

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliotoka misri/Israel Ni wachaga
Sii wahaya hii haihitaji hata PhD
Huoni jinsi wachaga ni weupe kama wazungu? Ukiona mhaya mweupe ujue huyo ni chotara wahaya Ni weusi kama kiwi,sasa misri kuna watu weusi?[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom