GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Hizo "akili nyingi" zinapimwa kwenye kapu au laboratory cylinder?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema mikoa ya watu wanaokula ndizi kwa wingi ingekuwa sahihi siyo samaki,rejea mikoa ya pwani na visiwani linganisha na Kilimanjaro,Arusha,Kagera,MbeyaWote, ila hasa wa maji baridi
Labda kama unazungumzia Nilotes ambao kwa kanda ya ziwa nadhani hawafiki hata 5% the rest waliobaki ni wabantu ambao lugha zao haziifanani na huko Ethiopia wala egyptWatu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.
Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.
Tuanzie hapa..
KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.
Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.
Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.
Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.
Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.
Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.
Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.
Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.
Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).
Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.
BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Rais John Pombe Magufuli!
Wewe ndio akili kabisa hakuna, hivi unawajua waliojenga pyramids za Egypt?Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.
Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Kwanza kabisa, akili ni nini?Sababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.
Tuanzie hapa..
KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.
Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.
Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.
Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.
Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.
Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.
Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.
Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.
Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).
Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.
BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Hao wahaya wenye akili wapo wapi? au kina KATUNZI MUZAMR.Wewe sema wengi walisoma shule za mission wakati huo zilikuwa nyingi upande huo na wakatoa tu matongo tongo .AKILI WOTE WANAZO NI MAZINGIRA TU.KWAHIYO UTASEMA WOTE WANAOSOMA SEMINARI WANA AKILI KWANI WANAFAULU SANA AU WAKRISTO WANA AKILI KULIKO WAISLAMU NDIO MAANA SHULE ZAO ZINAFAULISHA SANA NA WAISLAMU HAWANA AKILI NA HASA WA ZANZIBAR KWANI WANAFUNZI WAO WANAFELI SANA ?? Hiyo inaitwa FALLACY OF GENERALIZATION! Kuna wahaya vilaza nimekutana nao duh duhSababu kubwa inayopelekea ungezeko la akili kwa watu wa kanda ya ziwa ni kutokana na ulaji mwingi wa SAMAKI.
Tuanzie hapa..
KWANINI SAMAKI?
Uchunguzi wa kisayansi uliofanyika unatujuza kuwa, Samaki wana asili ya mafuta (unsaturated fats) kwenye miili yao inayoundwa na kemikali ziitwazo Omega-3.
Kwa kawaida,mwili wa binadamu hauna uwezo wa kutungeneza hizi lakini ni muhimu. Kwahiyo tunahitaji kuzipata kutokea kwenye ulaji wa Samaki.
Sasa unapokula samaki kwa wingi, ni dhahiri kwamba unaongeza kiasi kikubwa cha Omega-3 kwenye mwili.
Tuje sasa kwenye Ubongo wa binadamu.
Ubongo wa binadamu umeundwa na nyaya/mishipa ya fahamu mingi iitawayo Neurone/ Nerve cell. Hizi ndio hutumika katika kusafirisha taarifa zote ndani ya mwili wa binadamu zilizoamuliwa na ubongo.
Katika muundo wa Neurone, kuna mafuta yanayoizunguka na kuilinda hizo mishipa ya fahamu (Myelin Sheeth) lengo ni kusaidia kulinda zisiharibiwe, kuepusha taarifa zisivuje kutoka nje (kupotea kwa taarifa zilizotafsiriwa na ubongo) na hivyo kuongeza speed ya taarifa zilizobebwa na ubongo kwenda sehemu husika.
Kwahiyo tunapoongeza Omega-3 kwenye mwili, inaenda kusaidia kuimarisha ukuaji wa kuta za Myelin Sheeth na hivyo kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zao.
Pia, Omega-3 inachochea ongezeko la mtiririko wa damu kwenda kwenye ubongo jambo linalosaidia ubongo kupata Glucose (sukari) ambayo ni muhimu kama chakula chake na hivyo ubongo huweza kupata afya zaidi.
Kwa hali ya kawaida mtu anapokula vizuri akashiba na akaridhika, tunategemea mtu anawiri, Right?
Sasa ni hivyo hivyo kwa ubongo, inapelekea kuongezeka kwa mwingiliano mzuri wa mishipa ya fahamu (Nerve Cell Networking) ambapo huongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kufikiri na kuvuta picha (Imagination).
Kwa takwimu zilizofanywa na wazungu nchini Tanzania katika miaka 10 iliyopita zinaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wamama wajawazito wanaoishi kwenye ukanda wa Ziwa Victoria ndio wanaongoza kwa ulaji mwingi wa Samaki wa maji baridi hivyo kupelekea watoto wao kufaidika zaidi na virutubisho hivyo na ndio hupelekea kuzaliwa wa watoto wenye upeo mkubwa wa akili.
BADO HUJACHELEWA, ANZA KULA SAMAKI LEO!
Mikoa ya kanda ya ziwa ingekuwa na watu wenye akili isingekuwa inashika mkia kwenye nyanja zaaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema mikoa ya watu wanaokula ndizi kwa wingi ingekuwa sahihi siyo samaki,rejea mikoa ya pwani na visiwani linganisha na Kilimanjaro,Arusha,Kagera,Mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi kuna maendeleo kuzidi hiyo mikoa ?Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?