Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wayahudi waliokuwa uhamishoni nchini Misri ndio waliojenga mapiramidiWewe ndio akili kabisa hakuna, hivi unawajua waliojenga pyramids za Egypt?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wachaga tena....?Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.
Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Usiseme kanda ya ziwa yote,ungesema watu wa Bukoba,maana wengine wa kanda hiyo wemezidi unyumbu,nduhu tabuUmetumia kipimo gani kulinganisha na kuona watu wa kanda ya ziwa ndio wenye akili zaidi
Tupe data
Kwa nini hawakujenga waliporudi kwao au walisahau formula.Wewe ni mjinga na hujafanya utafiti kuwa wayahudi ni kina nani? Wayahudi wapo mpaka Leo Afrika na wataendelea kuwepo na ni masikini wa kutupa na wengine hushikwa hapa wakizamia south.Huwa mnaa abudu wayahudi utadhani ni malaika, acheni upumbavu na ujinga.Kila kabila lina watu wenye akili na wasio na akili nyingiWayahudi waliokuwa uhamishoni nchini Misri ndio waliojenga mapiramidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hili swala la ugali inabidi liangaliwe upya!Plus ngano jiulize kwanin weupe awali ugali
ga
Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?
Wanawake wote wana maji ila wanaume wa Kagera ndo wana teknolojia ya kuyachimba yakafumuka.Nami nauliza.
2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
Permanides,Wewe ndio akili kabisa hakuna, hivi unawajua waliojenga pyramids za Egypt?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa- Nilotics ni wa Misri ya kale, waliokuwa watawala, tena waliotumikisha Wayahudi, Ambao kizazi chao ni kwa kiwango kidogo sana kimesalia,Labda kama unazungumzia Nilotes ambao kwa kanda ya ziwa nadhani hawafiki hata 5% the rest waliobaki ni wabantu ambao lugha zao haziifanani na huko Ethiopia wala egypt