Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Watu wa kanda ya ziwa ni Masalia ya Wayahudi wa kale waliojenga Ma-pyramids, hivo walitoroka mateso ya Ma-pharaoh! wa Misri, wakakimbia kufuatilizia chanzo cha mto Nile.

Kati hapo wengine wakachepuka kuelekea Ethiopia!, Lugha za kanda ya ziwa nyingi zina endana na Lugha ya Ahmaric za Ethiopia!
Siyo wachaga tena....?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa na akili nyingi inategemeana na umbile la kichwa chako mkuu! ... Sasa unakuta mtu anakichwa Kama ulezi , [emoji2]! ... Inatakiwa unakuwa na "ndonga" Kama ya Jpm dadekii ndio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wayahudi waliokuwa uhamishoni nchini Misri ndio waliojenga mapiramidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini hawakujenga waliporudi kwao au walisahau formula.Wewe ni mjinga na hujafanya utafiti kuwa wayahudi ni kina nani? Wayahudi wapo mpaka Leo Afrika na wataendelea kuwepo na ni masikini wa kutupa na wengine hushikwa hapa wakizamia south.Huwa mnaa abudu wayahudi utadhani ni malaika, acheni upumbavu na ujinga.Kila kabila lina watu wenye akili na wasio na akili nyingi
 
Kila jamii ina watu wenye akili hivyo usitudanganye mkuu, kuwa watu wa jamii flani wana akili kuliko wengine.

Kama ni kweli wana akili sana kusingekuwa na umaskini wa kutupa huko.
 
Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?

Inferiority complex ndio inakusumbua hapa, watu wanazungumza nini, wewe umekazania ku-derail mada just to get even, kwani hatuwajui hulka zenu za kukwamisha maendeleo ya Mikoa ambayo ilikuwa mbali kielimu, kimaendeleo kabla na baada ya uhuru mpaka mid 1970s - badala ya mikoa iliyokuwa nyuma kimaendeleo na elimu kwenda kujifunza mbinu zinazo tumiwa na Mikoa iliyo fanikiwa nyinyi mkabuni mbinu za kukwamisha Mikoa endelevu mnapo pewa madaraka Serikalini.

Nani ambae hajui kwamba mikakati hii ya siri ya kudidimiza kimakusudi baadhi ya Mikoa hapa Tanzania inatekelezwa mpaka leo, mkavunja vyama vyetu vya Ushirika bila sababu yoyote ya maana, bila aibu wanavunja vyama vya ushirika vilivyo anzishwa kwenye miaka ya 1930s, mkataifisha mali zake pamoja na fedha zilizokuwa benki, fedha hizo hazijarudishwa mpaka leo, fedha hizo ndizo zilikuwa zinatumika kujenga shule, kulipa ada za watoto wa wakulima nchini mpaka Ulaya, kujenga viwanda, Mahoteli, Mashamba ya kisasa nk.

Mnajifanya kusahau ukatiri huo wa kushangaza, badala yake mnaleta ngojera zenu eti "Mikoa ya kanda ya ziwa ndio hiko nyuma sana kimaendeleo,elimu na umaskini!"
 
Nami nauliza.

2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
Wanawake wote wana maji ila wanaume wa Kagera ndo wana teknolojia ya kuyachimba yakafumuka.
 
Wewe ndio akili kabisa hakuna, hivi unawajua waliojenga pyramids za Egypt?

Sent using Jamii Forums mobile app
Permanides,
Yaani bila kumungunya Maneno, ni watu wa kanda ya ziwa wakisaidiana na Annunaki na hii ni kwa sababu yako katikati ya Dunia, hivo Anunnunaki walitumia km leading Di scent point yao kutoka anga za juu,

Nyenzo kubwa mojawapo zilizotumika kujenga Pyramids ni pamoja na anti- gravitational- force power! ni hawa hawa walijua kuwasiliana na Annunaki, Israel ya leo wanatembelea kanda ya ziwa kila uchao! jana alikuwa Uganda!

Na mountain Moriah! yaani sacred point ndiyo lilikuwa lengo lao kubwa, sababu ya kutumia Alfa Draconis Radio link ya kutawala Dunia, Mpaka leo! ziko hapo, wanatumia na panalindwa ni si kitoto.

Wazungu waliwapora mababu zetu haki hiyo pale kwa sababu walijua umuhimu wake! na mpaka leo mswahili hutii pua pale! kumbukumbu zote ziliibiwa ziko Vatican! tunajua! km wewe ni wa kanda ya ziwa nenda Vatican! ukajionee!
 
Makabila yote yanazaliwa na akili ila mazingira yanaathiri uwezo wa kufikiri. Kuna mikoa unakuta ni kama jangwa, chakula ugali, jua kali, vumbi no balanced diet haiwezi kuwa sawa na mikoa inayokuwa green, baridi, mchanganyiko wa vyakula n.k. Tusisahau jinsi madhehebu fulani ya dini yanavyokuza watoto pia.

Kwa sasa ishu ya wasomi ni makabila yote ila tunatofautiana kwa kufikiri, kuchambua mambo, ujanjaujanja na mihemuko ya siasa.
 
Labda kama unazungumzia Nilotes ambao kwa kanda ya ziwa nadhani hawafiki hata 5% the rest waliobaki ni wabantu ambao lugha zao haziifanani na huko Ethiopia wala egypt
Wa- Nilotics ni wa Misri ya kale, waliokuwa watawala, tena waliotumikisha Wayahudi, Ambao kizazi chao ni kwa kiwango kidogo sana kimesalia,

Wayahudi wako ''beyond the River of kush my dispersed one'' rejea Zephania 3;10 Biblia, hiki ni kitabu cha kale zaidi, ambacho hakikupoteza kumbukumbu! wala hata chenyewe kupotezwa, japo warumi walitaka kukipoteza!

Wa-Rome waliwaondoa Middle East wayahudi, kwa vita mbaya sana, wakawa hawana pa kwenda zaidi ya Misri, na pale pia wakafukuzwa wakazidi kuelekea kusini, kwa ndugu zao kufuatia mto Nile.

wachache wakawa watumwa Kush! ............kumbuka hii kush ni Ethiopia ya leo!
 
Back
Top Bottom