Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

Kwani kuwa na akili nyingi, maana yake nini??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Labda kama unazungumzia Nilotes ambao kwa kanda ya ziwa nadhani hawafiki hata 5% the rest waliobaki ni wabantu ambao lugha zao haziifanani na huko Ethiopia wala egypt
 
Mikoa hiyo ndio iliyopo nyuma zaidi kimaendeleo ikiongozwa na Kagera, Geita na Simiyu. Akili za ushirikina? Jiwe au bashite?
 
Sema wana akili za kukariri. Wana akili nyingi wamefanya ugunduzi gani hapa Tanzania?
 
Wewe ndio akili kabisa hakuna, hivi unawajua waliojenga pyramids za Egypt?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc ruge mutahaba(r.i.p)
Maxence mello
Ali mufuruki(r.i.p)
Regemarila mjelajela




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwanza kabisa, akili ni nini?
 
Hao wahaya wenye akili wapo wapi? au kina KATUNZI MUZAMR.Wewe sema wengi walisoma shule za mission wakati huo zilikuwa nyingi upande huo na wakatoa tu matongo tongo .AKILI WOTE WANAZO NI MAZINGIRA TU.KWAHIYO UTASEMA WOTE WANAOSOMA SEMINARI WANA AKILI KWANI WANAFAULU SANA AU WAKRISTO WANA AKILI KULIKO WAISLAMU NDIO MAANA SHULE ZAO ZINAFAULISHA SANA NA WAISLAMU HAWANA AKILI NA HASA WA ZANZIBAR KWANI WANAFUNZI WAO WANAFELI SANA ?? Hiyo inaitwa FALLACY OF GENERALIZATION! Kuna wahaya vilaza nimekutana nao duh duh
 
Nimekaanao sana hao wenye akili nyingi duniani kweli wanaakili nyinyi na ipo siri kubwasana kwao hasa lishe baasi,hawa jamaa mahindi wanalisha mifugo wao chakula ni ngano pure na kama nyama basi ni kondoo tu au kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wazanzibari hawana akili nyingi.?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nami nauliza.
1. Kwanini wahaya walio wengi wananuka midomo?
2. Kwanini wanawake wa kihaya wanatoaga maji torfauti na makabila mengine? Ni uhayani tu unakokuta magodoro ya gesti yanatolewa nje kuanikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…