Kaka hv kagera iliyochoka ni hipi? Sijui wanao ongelea Kagera uwa wanaifahamu au wakifika Bukoba wanaconclude? Niwe mkweli nimetembea mikogoa yote Tanzania bara ila hakuna vijiji vimejengwa kama mkoa wa Kagera. Pita tarafa ya nshamba mpaka kamachumu nenda maluku hakuna nyumba ya nyasi ni mwendo wa msouth. Vijijini kuna nyumba ata ukienda Bukoba mjini hazipo.