Nakushauri usome kwanza kabla ya kuandika unachotaka kukiwasilisha. Nakupatia sehemu ya ufafanuzi wa sheria za UAE. Kwa ufafanuzi zaidi tembelea hata google utaelewa zaidi. Kwani si busara kuweka mjadala suala ambalo lipo wazi.Sawa, usichanganye Utalii na kuishi, UAE ni nchi ya Kiislamu na ukitaka kuishi huko wana masharti na kanuni za Kiislamu ambazo ni lazima uzifwate!
Nakushauri usome kwanza kabla ya kuandika unachotaka kukiwasilisha. Nakupatia sehemu ya ufafanuzi wa sheria za UAE. Kwa ufafanuzi zaidi tembelea hata google utaelewa zaidi. Kwani si busara kuweka mjadala suala ambalo lipo wazi.View attachment 2323287
Ni kama nchi yetu si unafahamu vyanzo vikuu vya tulipochopoa na kuunda sheria zetu ni wapi(?).. Halikadhalika ndivyo kwa UAE.
Moto hauwezi kuwaka!Hapa Naona Che Che Punde Moto Utawaka
Kama huna ujuzi na kitu ni bora ukakaa kimya kuliko mtu mzima kujidhalilisha kama hiviShida ni Mafundisho ya Dini ya Uislamu, Waislamu wanafundishwa kwamba Mtume Muhammad (SAW) ndiyo wa mwisho kwa maana hiyo hakuna mwingine hivyo basi binadamu...
Uislamu unaujua? Sheria gani inasema lazima ufuatwe? Mbona mnajiropokea tuKila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
Kama huna ujuzi na kitu ni bora ukakaa kimya kuliko mtu mzima kujidhalilisha kama hivi
Mimi ni Muislam. Nimeusoma Uislam na bado naendelea kuusoma Uislam.Ukisoma hicho ulipost kinasema kwamba UAE inafwata Sharia law, sasa kuna kipi kingine cha kujadili hapo? Sharia = Uislamu!
Ndio nimeuliza wapi walilazimishwa. Una mtoto alilazimishwa kuitwa George au Anna? Kama umekubali taratibu za dini husika unawezaje sema umelazimishwaKulazilishwa siyo lazima kukatwa shingo tu hata Uislamu haukuenezwa kila mahali kwa kukatwa shingo labda nikuulize kwa nini Watanzania wana majina ya Kizungu kama George, Elisabeth au sijui Anna? Ilikuwaje ? Nini kilitokea kwani kabla ya Wazungu kuja hakukuwa na Anna wala Christopher sasa nini kilitokea?
Pitia post #34 siku nyingine kama kitu hukijui bora ukae kimya kuliko kuleta chuki zako za kidiniHaya wewe mtu mzima mwenye ujuzi sema kwa nini Waislamu na Wahindu hawapatani na wanagombana? Kwa nini India na Pakistani ziligawanywa wakati zilikuwa nchi moja?
Ndio nimeuliza wapi walilazimishwa. Una mtoto alilazimishwa kuitwa George au Anna? Kama umekubali taratibu za dini husika unawezaje sema umelazimishwa
Huo ni uzembe na udhaifu wa jamii yako. Dini ni tamaduni za watu wengine, wakija kuleta marupurupu ya tamaduni zao kupitia dini lazima ukubali taratibu zao.Ndiyo, ilikuwa ni lazima kuwa na jina la Kizungu bila ya hilo jina hakuna kubatizwa na bila kubatizwa hakuna kwenda Shule ilikuwa hivyo wakati wa Ukoloni ambapo walikuwa wanaeneza Ukristu, ofcourse leo hii inaonekana kama hiari kwa maana imeshazoeleka lkn mwanzoni haikuwa hivyo ilikuwa ni lazima uchukuwe Jina la Kizungu ili uwe mkristo na kubatizwa na hivyo ndivyo Watanzania walivyopata majina ya Kizungu, haikuwa hiari au unafikiri Wazee wa kijijini walijuaje kama kuna jina kama Elisabeth au Edward hadi kumpa mtoto wao?
Sasa hao wanaofanya hivyo ndiyo wahuni wa kwenye dini!
Uislamu umekataza kumshambulia mtu kisa kakutukana! Hata Mtume alipoulizwa na Arab jamii ya Bedui ya kuwa umetujia na nini? Mtume alianza amekuja na ubinadamu kwanza...
Sasa hao wanaofanya hivyo ndiyo wahuni wa kwenye dini!
Uislamu umekataza kumshambulia mtu kisa kakutukana! Hata Mtume alipoulizwa na Arab jamii ya Bedui ya kuwa umetujia na nini? Mtume alianza amekuja na ubinadamu kwanza
Sawa, usichanganye Utalii na kuishi, UAE ni nchi ya Kiislamu na ukitaka kuishi huko wana masharti na kanuni za Kiislamu ambazo ni lazima uzifwate!
Zamani ukristu wa Ulaya ulikuwa hivyo au unafikiri kwa nini kuna Ukristu Tanzania unafikiri ilikuwa hiari?
Chanzo kikuu na uadui wa Waislamu na Wahindu nchini India ni Ukoloni wa Uingereza waliyokuwa wakiwatawala. Hao ndiyo walisababisha sumu ile waliyoipandikiza...
Kuna uelewa mbaya juu ya kila wanao jilipua kuwa Ni waislamu kwasababu Tu Wana majina ya kiislamu au mavazi ya kiislamu....au inchi wanazo toka...