Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

Dini ya chuki ipo, na inajulikana
 

Wapi uisilamu umetutaka kuwalazimisha mtoke katika imani yenu? Hebu tunaomba hiyo aya inayolazimisha
Imani nikitu hatari sana nihisia za ndani kabisa kwa mwanadamu kwa hiyo kila mtu anacho amini hapo ndio utata unakuja mwingine kulazimisha kuamini asicho kiamini mwisho mauaji, chuki na kutengana

MUNGU ATUNUSULU KWA TAIFA LETU.

Kama hujui uliza kwanza.

Ukitaka aya Nitakuletea
 
Ukristo unabadilika kutokana na miaka inavyoenda ndio maana papa anahalalisha ndoa zajinsia moja !!!??
Dini zipo nyingi ila Uislam ndio dini ya halali hili halina ubishi ingawaje ukimuona mtu anakulazmisha kua muislam huyo anamatatizo yake binafsi kama muislam ila sio tatizo la uislam
Kama wewe unaona dini yako sio dini pekee na ya maana kwamtazamo wako kwanini usiwe budha ukawa mkristo c kwasababu unaamini kua ukristo ndio dini yakweli
Mliaminishwa mashuleni kwenu kuoa wake wanne ni illegal leo munaaminishwa ushoga na usagaji ni halali(uislam kwakujua hili ukaeka wake wanne)
Waislam ndugu zao waislam hao wahindu waaabudu ng'ombe cjui jua wakatafte ndugu zao
Shida yenu mnauchukia ukweli lakini tutawapa tuuu
Mwisho uislam haujabadilika nahautabadilika mpaka kiama mkitupenda mkituchukia huo ndio ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila yashaka unamuongelea s.a.w ila nani alokwanbia uislam umeanza enzi ama wakati wa s.a.w
Uislam ulikuepo kabla ya s.a.w na ukawepo wakat wake na upo hata baada yake s.a.w
Hakuna dini inayoiona dini nyengine kua sahihi nandio maana kuna dini zaidi ya moja sababu kila mtu anaamini anavyoona yeye inafaa kuamini
Mwisho:-hakuna haki ya muislam kumuua asie muislam kwa namna yeyote ile iwayo wanaojiripua na kuua watu wakiwa wametia nia yakufanya hvyo kabla hawajatekeleza wanakua sio waislam nawatafufuliwa wakiwa makafir
UISLAM DINI SAHIHI ZAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni uislamu.

Uislamu ni ngumu kua compatible na jamii nyingine kwa amani.

Waislamu hujiona wao ndio wenye haki kuliko jamii nyingine. Waislamu hujiona wananyanyasika kuliko jamii nyingine.

Waislamu hawana jambo dogo la kutumia tu akili. Kumbuka mtoto aliwahi kukojolea quran mbagala walitaka kumuua bila kuwaza kua huyu ni mtoto na reasoning yake bado ndogo, wao walitaka kumuua.

Waislamu hudharau tamaduni za jamii nyingine hivyo kusababisha migogoro isiyoisha, mfano, wao tu ndio wanataka wawe wanachinja, wengine wakichinja ni kosa. Kwamba tamaduni za jamii nyingine ni za hovyo ila utamaduni wa kiarabu ndio sahihi.

Kosa lingine la uislamu ni kwamba utamaduni wa kiarabu ama wa mashariki ya kati uko embeded kwenye uislamu, hivyo ni ngumu kutofautisha kati ya uislamu na uarabu. Sasa wao wakienda mahala wanataka walazimishe utamaduni wa kiarabu kwa tamaduni za watu wengine.

Ukishaona dini ambayo wenyewe hawaelewani kwa sababu ya dini basi ujue hiyo dini ni Magumashi. Iran haielewani na Saudi Arabia kwa sabau ya kidini. Hawa washia hawa wasuni. Yaani tofauti zimeingia hadi kwenye siasa.

Alkaida haelewani na talibani, Janjaweed haelewani na mujahideen, Isis haelewani na Alkaida, alshababu haelewani na alikaida, talibani haelewani na alshababu wakati wote wanamtetea mungu mmoja. Na hawaelewani kwa hatua ya kuuana, wakikutana damu inamwagika, wanachinjana.

Hii dini ni tatizo.
 
Kwann kiongozi wa dini ya kiislam aliagiza kuuwawa kwa salman km hiyo dini haispot mauaji?
Kwani kufa kwa Imam ndiyo mwisho wa ibada?

Magufuli alipofariki Afande Sele alirusha clip yake ya huzuni mpaka akaghafilika na kumtusi Mungu.

Mmoja mwa miongoni mwa masheikh nchini Tanzania alicharuka na kumuombea dua mbaya.

Yeye ni kiongozi na ana sehemu yake kwenye jamii lakini jawabu lake lilikuwa sahihi kwa Afande Sele? Hapana! Tulijua Sheikh ana mahaba na Mungu makubwa tu ila nae ameghafilika kutokana na kuona kipenzi wake Mungu kutamkwa vibaya. Ikawa imekwisha hiyo!

Hivyo, kuna mengine yanayosemwa na viongozi kutokana na wao jinsi wanavyolipokea binafsi. Kuna mengine kiongozi anayawasilisha baada ya kukaa shura na wenzake na kutoa tamko la ujumla kwa jamii yake.

Na hali hii hata kwenye siasa inafahamika. Mfano Biden alivyokuwa Poland alisema Putin anapaswa aondolewe madarakani. White House ilikanusha hii taarifa kwa kujibu kuwa huo si msimamo wa WH bali ni wa Biden binafsi.

Tafsiri yake viongozi nao wanateleza! Nao ni binadamu. Muda mwengine wanaghafilika kulingana na uzito wa taarifa wanazozipokea. Ila muhimu kwa Waislamu elimu yao ipo wazi. Na haistaajabishi maamuma kuwa na elimu kubwa zaidi kuliko viongozi wao. Na ndivyo jamii ya Kiislamu ilivyo! Hivyo usishangae wakimkosoa kiongozi wao. Muhimu heshima na kutambua nafasi yake viwemo.

Mungu ndiye mjuzi zaidi.
 
Nimejifunza jambo
 
Wewe buana unachekesha

Wewe unamamlaka gani ya kuutambua ukafkri?
Au mnalishana matango
Vipi wewe icho kitabu cha quran kilichoitwa satanic verses kwann mlitangaza kumuua uyo sakman? Hamuon kuwa mnajpiga makof kwa ujinga?
Bw. Mkubwa! Mimi sizungumzi kwa fikra iliyojengwa baada ya kile kilichowasilishwa na vyombo vya habari na majarida mbalimbali ndipo akili ibebe majumuisho na kutoa jicho la mustakabali hiki kitu kipo hivi!

Haya masuala ya kielimu! Mustakabali wake na minong'ono yake inapaswa kubebwa na jahazi lilojengwa kwa elimu. Na captain wake awe ni mjuzi haswa wa kukiendesha kwani inahitajika ujuzi wa kielimu ili safari iwe salama.

Mimi nazungumza kwa nilichokisoma, wewe unazungumza kwa kusikia kutoka vyombo vya habari, majarida na kwa baadhi ya viongozi wa dini nyenginezo wanaobebwa na msukumo wa chuki.

Mungu aniongoze mimi na wewe tuwe na moyo wa upendo. Kwani njia rahisi na fupi ya kufika kwa Mungu ni upendo.
 

Ulichoandika ndicho nilichomaanisha more or less, lkn labda unasahau kwamba Uhindu una muda zaidi India klk Uislam, Uislamu haufikishi hata tu miaka elfu mbili 2000 hapa Duniani wakati Hinduism ina > 4 000 years India sasa huwezi tu kuja kusema kwamba Dini yako ambayo ni mpya < 2000 years ni bora kuliko uliyoikuta na wote uliowakuta ni lazima waifwate Dini yako mpya, hilo haliwezekani, …
 
"Dini pekee iliyoletwa na Mungu..."
Dini nyingi sana hudai hivi.

Imagine Wahindu wangekuwa wanataka tuwaue watu wote wanaochinja ng'ombe
 
Naaaam
 
Kwa Tanzania ni ngumu Sana hii kutoa, hebu fikiria viongozi wa dini ya kiislamu na kikristo wanashirikiana mpaka wanacheza mpira kwa pamoja, ni nani wa kuhamasisha hizo chuki Kama viongozi wetu wanashirikiana?
Hata hivyo Imani ya dini kwa mtazamo wangu inapungua Sana kwa pande zote hivyo Basi issue ya dini haiwezi ikamsababishia mtu amdhuru mwenzake
Ila kama baadhi ya Imani ikitengwa kwenye mema ya nchi kwa ajili ya imani yao, basi hata Kama watu ni waislamu jina au waikristo jina chuki itatokea
 
Kwanza Usalafi ni mmoja tu. Na kuugawanya kama wanavyofanya baadhi ya watu hasa wasomi wa Kimagharibi kwenye mapote mfano "Quietist Salafism" au "Salafi Jihadist" ni makosa.

Na hutakuta Salafi eti anasema nje ya Masheikh uliowataja wewe hakuna Dini. Hapo utakuwa unamaanisha kuwa hao "Masalafi" unaowazungumza hawachukui kutoka kwa Imaam Ibn Kathir, Ibn Qudama, al-Khatib al-Baghdadi, Ibn Asakir, Ibn al-Jawzi, Ibn Rajab al-Hambali, Adh-Dhahabi, Imaam Ibn Hajar al-Asqalaani, Imaam Suyuuti, Imaam Mahmud Shukri al-Alusi, Imaam Shawkaani, Imaam Ibn Jarir at-Tabari, Imaam Ibn Khuzaimah, Imaam at-Tahawi, Ibn Abil-Izz al-Hanafi, Imaam Ibn Hazm, Qadhi 'Iyad na wengine weeeengi mno (Allah awarehemu wote) na awahifadhi walio hai.

Pia, Isis na wengine mfano wao sio Masalafi, bali ni Makhawaarij (sijakisoma hicho kitabu cha "Refuting Isis" bado).

Na hao Isis na mfano wao, hawawakubali kabisa baadhi ya Wanachuoni uliowataja. Hawamkubali Shaykh Ibn Uthaymeen, Ibn Baaz, Albani (Allah awarehemu)wala Al-Fawzaan(Allah amhifadhi). Itakuwa huwajui vizuri hao.

Kuna tofauti kati ya Makhawaarij na Masalafi. Bahati nzuri Masalafi wenyewe hujipambanua kwa watu wao ni nani na Da'awah yao wanaifafanua.

Na mwisho kabisa, Masalafi kusema watu fulani ni Watu wa Bida'a wanafanya hivyo kwa dhulma? Na je watu wanaofanya shirki wakiambiwa kuwa wanafanya shirki wanaonewa? Ni makosa kusema hivyo? Mtu akifanya shirki hasa kiukweli na shirki yake ikakemewa ni makosa? Na kuhusu kuwatoa watu katika Uislam, katika watu wanaochunga mipaka, misingi na masharti mno katika kukufurisha, Masalafi wanaongoza. Ni waadilifu mno katika hili. Hutoona wakimkufurisha mtu maalum bila ya kufuata masharti ya Kishari'ah. Ajabu ni kwamba baadhi ya wanaowasingizia Masalafi kuwa wanawatoa watu katika Uislam (bila ya haki) nao hufanya hivyo hivyo, tena kwa ujinga au matamanio tu.

Nakukumbusha ndugu yangu post #10 ya uzi huu ulipomjibu mtu aliyesema kuhusu wanaojilipua, japo aliandika kuwakejeli Waislam, wewe ukasema "Huyo si Muislam!" Huko nako si kumtoa mtu katika Uislam? Ama mimi sijaelewa?

Ni hayo tu. Allah atuongoze sisi na wewe ndugu yangu Hammaz Katika njia iliyonyooka.

Na Allah anajua zaidi.
 
Wahindi ni wapumbavu kama tulivyo waafrika,kuwa na uhasama na dini ambazo zimeletwa na wengine ni ujinga wa kiwango cha lami.

Mwingereza ndio chimbuko LA ugomvi huo-na alifanya hivyo ili iwe rahisi kuitawala India.
na Tz nan aliwafundisha watu kwenda amboni na kibiti ? mna ttzo hkn namna ya kujidefend , popote mlipo hamkubalik kwa tabia yenu ya kutoheshimu iman za watu
 
Umemaliza kila kitu MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…