Kwanini wahitimu wengi nchini Tanzania lugha ya Kiingereza ni tatizo! Hii ni hadi kwa waalimu na viongozi wakubwa tu!

Kwanini wahitimu wengi nchini Tanzania lugha ya Kiingereza ni tatizo! Hii ni hadi kwa waalimu na viongozi wakubwa tu!

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari wakuu

Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.

Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.

-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.

Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.

hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa
 
Habari wakuu

Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.

Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.

-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.

Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.

hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa
Solution ni kuwafundisha watoto tangu umri mdogo. Mimi mtoto wangu nilimpeleka shule ya kiingereza (English Medium school) akaanza chekechea akiwa na umri wa miaka 3 alipokwenda darasa la kwanza akiwa na umri wa miaka 5 alianza tayari kuongea kiingereza kizuri. Huwa akinipigia simu au kuandika ujumbe ni kiingereza tu. Nina miaka 2 sasa tunaongea kiingereza tu kwenye simu kwani nipo mbali. Unaonaje akimaliza la 7. Hii ndio njia waanze kusoma darasa la kwanza.

Mtasema English Medium sio kila mtu anaweza kumpeleka mtoto.....Hapana. Kiingereza kianze kufundishwa darasa la kwanza shule zote za msingi. Watoto wadogo unaweza kuwafundisha lugha yoyote mradi uanze mapema.
 
Chuoni mihadhara yote huendeshwa kwa Kiswahili, mkufunzi anasoma English ilivyoandikwa tu kisha anadadavua kwa Kiswahili... wengi wao fluently wabovu tu.

Kazini ndo kabisa, ofisi zote ni Kiswahili isipokuwa ripoti tu ndo huchapwa kwa Kingereza.... sisi tunaamini msoto huishia darasani tu ukifika kazini bata na mara chache utahitaji kutumia elimu ngumu uliyosotea.

Kama haileti hela, ‘hi Maxence’.
 
Mfumo wetu wa elimu ndio mbovu dunia nzima. Huwezi kumfundisha mtu kuanzia ngazi ya kwanza ya elimu (kindergarten) mpaka anahitimu darasa la saba medium of instruction ikiwa Kiswahili alafu ghafla tena unambadilishia gear angani aanze tena kusoma kwa medium ya Kiingereza. Hapo lazima utavuna mashudu tu.

Tuamue moja. Kama ni Kiswahili basi iwe kuanzia mwanzo hadi mwisho. Kama ni English nayo hivyo hivyo. La sivyo hakuna kitu zaidi ya kuwa na wasomi uchwara.
 
Hao maisha unayoyaongelea ni ya Mtanzania aliyezaliwa 1980's kurudi nyuma...Hujaenda na uhalisia wa maisha ya mtz aliyezaliwa karne ya 21.
 
Namna,solution ipo hata ukiangalia nchi za jirani kama Uganda na Kenya n.k wanazungumza lugha mbilimbili yaani lugha zao mama na kiingereza.

Tatizo sisi tunaanza na msingi wa kiswahili halafu tunakuja kulazimisha kiingereza huko juu,sasa hii inakuwa ni ngumu kidogo.

Badala yake tulitakiwa mashuleni watu wasome kwa kiingereza na kiswahili kingebaki kama somo(ukizingatia ndio lugha tunayizungumza kwenye jamii zetu).hii ingetufanya tuweze kumaster lugha zote mbili.
Mtazamo
 
Kwani profesa Ndalichako, waziri wa elimu ana maoni gani.?
 
Habari wakuu

Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.

Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.

-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.

Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.

hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa
Tanzania Haina tofauti na nchi nyingine za Afrika zilizotawaliwa, hivyo ina lugha mbili rasmi ambazo ni kiswahili na kiingereza. Kabla na baada ya Uhuru wananchi wengi pamoja na wanafunzi waliofika darasa la nane walikimudu vizuri kiingereza na kiswahili, lakini bahati mbaya elimu yetu ilivurugika hivyo tukapoteza kiingereza na kiswahili kikawa mbofumbofu! Ushahidi soma Post nyingi humu utaziona zilivyo mbofumbofu. Walimu wengi hawajui kiingereza na hata kiswahili ni sukuma twende.
Hasara tulioipata kutokana na ujanja wetu, tumeshindwa kupata kazi ya kufundisha kiswahili nchi za nje.
 
Namna,solution ipo hata ukiangalia nchi za jirani kama Uganda na Kenya n.k wanazungumza lugha mbilimbili yaani lugha zao mama na kiingereza.

Tatizo sisi tunaanza na msingi wa kiswahili halafu tunakuja kulazimisha kiingereza huko juu,sasa hii inakuwa ni ngumu kidogo.

Badala yake tulitakiwa mashuleni watu wasome kwa kiingereza na kiswahili kingebaki kama somo(ukizingatia ndio lugha tunayizungumza kwenye jamii zetu).hii ingetufanya tuweze kumaster lugha zote mbili.
Mtazamo
sasa hapa wizara ya elimu inatakiwa iangalie uwezekano wa kutatua tatizo, dunia ya sasa bila kiingereza jamani utaibika tu hata uwe na pesa kiasi gani
 
Pesa ni muhimu kuliko kizungu!

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!


pesa kama hujui hii lugha mkuu, utaonekana kilaza tu


ona mheshimiwa anavojichimbia chato, na mindege yote aliyonayo ya kumpleka popote ila hata vikao vya AU anaviogopa
 
Ni amani sana kuongea na mtu wa taifa lingine kingereza kuliko mswahili mwenzangu maana huyu mswahili ukikosea kidgo tuu. Maayo utajuta.
Ila mwingereza mwenyewe ukikosea wala hashangai maana anajua fika si lugha yako.
 
Shule za serikali hata Mwalimu akijua vizur kingereza tatizo linakuja kwenye motivation

Mwalimu physically yupo shule lakini mentally anawaza jinsi ya kupata pesa za ziada
 
Solution ni kuwafundisha watoto tangu umri mdogo. Mimi mtoto wangu nilimpeleka shule ya kiingereza (English Medium school) akaanza chekechea akiwa na umri wa miaka 3 alipokwenda darasa la kwanza akiwa na umri wa miaka 5 alianza tayari kuongea kiingereza kizuri. Huwa akinipigia simu au kuandika ujumbe ni kiingereza tu. Nina miaka 2 sasa tunaongea kiingereza tu kwenye simu kwani nipo mbali. Unaonaje akimaliza la 7. Hii ndio njia waanze kusoma darasa la kwanza.

Mtasema English Medium sio kila mtu anaweza kumpeleka mtoto.....Hapana. Kiingereza kianze kufundishwa darasa la kwanza shule zote za msingi. Watoto wadogo unaweza kuwafundisha lugha yoyote mradi uanze mapema.
Mkuu wew atleast unamtengenezea mazingira ya kuwa compitent kwa iyo lugha

japo sio watanzania wote wanauwezo wa kuwapeleka watoto hizo shule
 
Shule za serikali hata Mwalimu akijua vizur kingereza tatizo linakuja kwenye motivation

Mwalimu physically yupo shule lakini mentally anawaza jinsi ya kupata pesa za ziada


😂😂😂kweli, anawaza kuwakatia watoto topic ziishe tu, swala la lugha hawazi kabisa
 
Mfumo wetu wa elimu ndio mbovu dunia nzima. Huwezi kumfundisha mtu kuanzia ngazi ya kwanza ya elimu (kindergarten) mpaka anahitimu darasa la saba medium of instruction ikiwa Kiswahili alafu ghafla tena unambadilishia gear angani aanze tena kusoma kwa medium ya Kiingereza. Hapo lazima utavuna mashudu tu.

Tuamue moja. Kama ni Kiswahili basi iwe kuanzia mwanzo hadi mwisho. Kama ni English nayo hivyo hivyo. La sivyo hakuna kitu zaidi ya kuwa na wasomi uchwara.


mwisho wa siku unakuta msomi kiswahilo hajui, hata Kiingereza hajui, kwani hawezi ongea kiswahili bila kiingereza na hawez ongea kiingereza bila kuchanganya na kiswahili, full kuvurugana
 
Ni amani sana kuongea na mtu wa taifa lingine kingereza kuliko mswahili mwenzangu maana huyu mswahili ukikosea kidgo tuu. Maayo utajuta.
Ila mwingereza mwenyewe ukikosea wala hashangai maana anajua fika si lugha yako.
[/QUOT





kweli wabongo sio poa
😂😂😂😂
 
Ni amani sana kuongea na mtu wa taifa lingine kingereza kuliko mswahili mwenzangu maana huyu mswahili ukikosea kidgo tuu. Maayo utajuta.
Ila mwingereza mwenyewe ukikosea wala hashangai maana anajua fika si lugha yako.




sure wabongo sio
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom