Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu
Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")
Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.
Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.
-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.
Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.
hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa
Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")
Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.
Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.
-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.
Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.
hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa