Kwanini wahitimu wengi nchini Tanzania lugha ya Kiingereza ni tatizo! Hii ni hadi kwa waalimu na viongozi wakubwa tu!

Kwanini wahitimu wengi nchini Tanzania lugha ya Kiingereza ni tatizo! Hii ni hadi kwa waalimu na viongozi wakubwa tu!

tafuta pesa acha mpoyoyo mademu wazuri utaishia kuwaona kwenye tv.bado una promote lugha za mabeberu kama vile zitakuletea debe la unga mezani.?
 
tafuta pesa acha mpoyoyo mademu wazuri utaishia kuwaona kwenye tv.bado una promote lugha za mabeberu kama vile zitakuletea debe la unga mezani.?


Wew kilaza situka, hii lugha ya taifa usije kuaibika, hata uwe na pesa kiasi gani utaishia huko chitohori

mwenzako hata vikao vya AU anakimbia kisa kinge......
 
Wew kilaza situka, hii lugha ya taifa usije kuaibika, hata uwe na pesa kiasi gani utaishia huko chitohori

mwenzako hata vikao vya AU anakimbia kisa kinge......

[/QUOT

unaweza kujua kingereza lakini kisicho kuwa na point ndani yake,acha maisha ya kuambiwa.
 
Kiingereza ambacho hakina point ndio kipi hicho mkuu
 
Kiingereza ambacho hakina point ndio kipi hicho mkuu

kwaiyo wewe unataka kuniambia kuwa waingereza wote wana point,acha kuaminisha upumbavu wako kuwa wa wengi.Hata zile nchi ambazo kingereza ni lugha ya mama bado vilaza wapo,kwaiyo acha ujinga kuwa kujua kingereza ndo kuyaweza maisha,au ndo kuweza kuwasemea watanzania shida walizo nazo.
 
kwaiyo wewe unataka kuniambia kuwa waingereza wote wana point,acha kuaminisha upumbavu wako kuwa wa wengi.Hata zile nchi ambazo kingereza ni lugha ya mama bado vilaza wapo,kwaiyo acha ujinga kuwa kujua kingereza ndo kuyaweza maisha,au ndo kuweza kuwasemea watanzania shida walizo nazo.

nazungumzia uwezo wa kuwasiliana na mataifa mengine kwa maslahi mapana ya kwako na taifa kwa ujumla

jikite kwenye maada, tanzania kama una phd hujui Kiingereza lazima tushangae
 
Rais Ramaphosa aliitisha mkutano wa viongozi wa SADC kujadili COVID kwa njia ya mtandao lakini Rais Magufuli akasema hawezi kuudhuria kwa njia ya mtandao ila akapendekeza watu watume hoja kwa maandishi.
Habari wakuu

Mimi binafsi nimejaribu kuangalia mwenendo wa watanzania, elimu yetu na kujua lugha ya kimataifa (Kiingereza) ambaya usipoijua kwa dunia hii ya sasa basi unapoteza fursa nyingi sana hapa duniani na kuonekana mtu ambaye hujasoma (kukaza) (,"kitu ambacho sio kweli kwa upande mwingine")

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa Tanzania lugha yake ya taifa ni kiswahili, hivyo basi, kabla ya kiswahili kuna lugha ya kikabili ambayo huanza kutumia (kiha, kisukuma, kipare n. K).
-Hio ndio lugha ya kwanza kabisa Mtoto anayokutana nayo katika hatua za ukuaji, kumbaka mtoto anapokuwa na umri wa miaka (0-10) anakuwa na uwezo mkubwa wa kujifunza lugha yoyote (hata kihind, kikorea, kiarabu n. K) na kuongea kiurahisi sana bila kutumia nguvu yeyote. Anavyozidi kukua anazidi kupoteza uwezo kujifunza lugha mpya, hapa inabidi atumie mbinu mbalimbali (more practices), japo lugha mama hatoweza kuisahau.

Maisha yetu watanzania, Mtoto anazaliwa lugha ya kwanza kisukuma, hiyo lugha anatumia kama mawasiliano kila sehemu, anakuja kujua kunakishwahili anapoanza darasa la kwanza, (hapa ndipo walimu wanafanya kazi ya kuwambia watoto speak kiswahili). watu wa kijijini hapa watanielewa, miaka yote saba anasoma masomo kwakiswahili anamaliza la saba (15year) kiingereza hajui.

-Anaanza form one ndio anakutana na speak english, (kumbuka huu ni wakati ambao binadamu yeyote inamuwia ngumu sana kujua lugha unless otherwise awe ana practice more frequence kuongea na wenzake), mbaya zaidi hana hao wenzake wa kuongea nao, hata wakitoka shule nyumbani ni kuongea kilugha +kiswahili (kwa mbali, kijijin wanajua). Anakalili masomo, physics, chemistry, civics anafaulu huyoo advance.

Advance hawafundishi kuongea kiingereza, anakalili huko shaaa one ya pcb hadi chuo, chuo hakuna kukosoana hujui Kiingereza, unakalili madesa ya lecture shwaaaa gpa kalii 4.6, shaa unaomba kazi secta yeyote unapata shavu, huko ndiko unaenda kukumbuka kuwa lugha ya Kiingereza hujui.

hayo ndio maisha halisi ya wasomi wetu Tanzania. lugha ya Kiingereza bado ni tatizo.Lugha ya Kiingereza itaendelea kuwa tatizo tu. Hakuna namna, hakuna solution, kama unasolution weka hapa
 
Hao ni wachache kati ya kundi kubwa lililopo Tanzania
Sahv over 95% ya vijiji Tz ukiongea kiswahili unaeleweka..Hizo lugha mama zinapotea,na wataozipoteza ni hawa watoto wa sahivi... Mimi kama Mimi wazazi wangu walihamia miaka ile kutoka BK kuja Mwanza.Nimezaliwa na kukulia Mwanza hapohapo.Tena pale mjini,mitaa ya Uhuru. Wazazi wangu walienda na Mimi BK siku za sikukuu na penyewe 1 week tunageuza.Hivyo mimi ni kiswahili tu toka nakua hadi hapa nilipo.Nawasilianaje kwa kihaya sasa hapo? Ukinisema nakuelewa ila kukujibu ndo siwezi.Sasa hawa watoto wa karne hii Mama Mzigua,Baba Mhaya wanajulia wapi lugha zao hizi?
 
Sahv over 95% ya vijiji Tz ukiongea kiswahili unaeleweka..Hizo lugha mama zinapotea,na wataozipoteza ni hawa watoto wa sahivi... Mimi kama Mimi wazazi wangu walihamia miaka ile kutoka BK kuja Mwanza.Nimezaliwa na kukulia Mwanza hapohapo.Tena pale mjini,mitaa ya Uhuru. Wazazi wangu walienda na Mimi BK siku za sikukuu na penyewe 1 week tunageuza.Hivyo mimi ni kiswahili tu toka nakua hadi hapa nilipo.Nawasilianaje kwa kihaya sasa hapo? Ukinisema nakuelewa ila kukujibu ndo siwezi.Sasa hawa watoto wa karne hii Mama Mzigua,Baba Mhaya wanajulia wapi lugha zao hizi?
Inaelekea wewe haujafika vijijini, vijijini kiswahili hakipo na watoto kiswahili kinaishia shule wakifika nyumbani ni kikwao tu, tumeshuhudia kwenye mkutano ya viongozi wanakuwepo watu wa kutafsiri.
 
sasa hapa wizara ya elimu inatakiwa iangalie uwezekano wa kutatua tatizo, dunia ya sasa bila kiingereza jamani utaibika tu hata uwe na pesa kiasi gani
Ni kweli mwishowe mtu anakuwa kiongozi Mkubwa halafu anashindwa hata kuhudhulia mikutano ya kimataifa....... hahahahahahah
 
Ukishaijua ili nn. Kikubwa n lugha inasaidia kuelewana tu. Zipo nchi nyingi tu kiingereza hawakijui na wanauchumi mkubwa tu duniani sisi masikini ndo tunatumia pesa nyingi kwa hizi academy zetu ili watoto wajue kiingereza. Tunazani mtu akijua kiingereza ndio kaelimika sana.
 
hii lugha ni shida hapa tz
chuoni lecturer anafundisha kwa kiswahili yaani notes/kitabu ni cha kiingereza lakini yeye mazungumzo ni kiswahili☺☺☺☺
sasa hapo mwanafunzi atatoka na kitu kweli
 
Back
Top Bottom