Kwanini wahitimu wengi nchini Tanzania lugha ya Kiingereza ni tatizo! Hii ni hadi kwa waalimu na viongozi wakubwa tu!

Mkisha kua mahiri kwenye kiingereza, msituletee vita ya kilugha, kama ilivyo pale Cameroon kati ya wanaozungumza kiingereza na wale wanaotaka kifaransa!!!
 
Pamoja na sababu nyingine nyingi, pia kuna tatizo la mapuuza. Tuna tabia ya kupuuzia mambo madogo madogo mengi kiasi kwamba tumeona ni kawaida kabisa. Naomba nitolee mfano kwenye uandishi wako.

"Watanzania" sio "watanzania"
"Kiswahili, Kiha, Kisukuma, Kipare, English" sio "kiswahili, kiha, kisukuma, kipare, english"
Unaweka mabano kila kona hata sehemu zisizostahili.
Neno "Advance" ulipolitumia wala halijaleta maana yoyote kimantiki, mpaka mtu ajiongeze tu ndio akielewe.
 
Lugha ya Kiswahili toka tupate Uhuru viongozi wa Kitaifa wamekuwa wanaitumia Kisiasa na wala si Kiuchumi.
Tunatakiwa kikitangaza Kiswahili kwa gharama /hasara ya vinaja wanaokuwa au kuzaliwa.
Viongozi wa juu hawajali njisi Kijana wa Kitanzania anavyoabika huko mbeleni kimataifa inapofika wakati wa Kuchangia mada mbali mbali za Kimataifa kwa Lugha ya Kiingereza.
Hayati Mwalimu Nyerere pamoja na kusoma Kiingereza ukubwani lakini pia alikuwa bingwa wa kuongea kwa Kiswahili. Hii ilikuwa ni Karama ya aina yake na hadi leo katika Afrika hajatokea Rais anayeweza kuongea kiingereza cha Kisiasa, Historia, Dini, Sheria n.k kama Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…