Kwanini waimbaji wa Injili wa kike hapa Bongo hawadumu kwenye ndoa?

Kwanini waimbaji wa Injili wa kike hapa Bongo hawadumu kwenye ndoa?

Hapo mwanzo walikuwa ni wanyenyekevu na wenye nidhamu na ndoa zao. Walipopata fedha kiburi kikainuka wakawa hawana heshima na ndoa zao wanazitia majaribuni wapendavyo.

Hawafahamu kuwa nyimbo zao za mwanzo watu walizipenda sana lakini za siku hizi hata wafanye collabo na nani mkubwa hakuna mwenye hamu ya kusikiliza nyimbo za mwimbaji aliyeiasi ndoa yake.

Wanaonekana ni vituko tu kwa waliokuwa wanapenda nyimbo zao. Kuimba nyimbo za injili si mchezo yale ni maadili lazima uishi katika maadili hayo yaani kulinda ushuhuda mwanzo hadi mwisho
 
Wako busy na muziki na kujisahau majukumu yao ya kuhudumia Familia

Mikesha, matamasha

Influence kutoka kwa baba mchungaji
 
Hapo mwanzo walikuwa ni wanyenyekevu na wenye nidhamu na ndoa zao. Walipopata fedha kiburi kikainuka wakawa hawana heshima na ndoa zao wanazitia majaribuni wapendavyo. Hawafahamu kuwa nyimbo zao za mwanzo watu walizipenda sana lakini za siku hizi hata wafanye collabo na nani mkubwa hakuna mwenye hamu ya kusikiliza nyimbo za mwimbaji aliyeiasi ndoa yake. Wanaonekana ni vituko tu kwa waliokuwa wanapenda nyimbo zao. Kuimba nyimbo za injili si mchezo yale ni maadili lazima uishi katika maadili hayo yaani kulinda ushuhuda mwanzo hadi mwisho
exactly
 
Mziki wao wanafanya kibiashara, they don't mean what they sing bro. Jiongeze, kwani wachungaji wangapi wanatembea na waumini wao? Masheikh wangapi wanalawiti waumini wao? Mapadre wangapi wana watoto au kugonga masista?

Dini ni akili yako tu sio mambo ya kuambiwa.
Mada ingekomea hapa
 
Shida kubwa kwa wanawake mpaka kufikia ndoa kuwashinda ni umaarufu. Haijalishi umaarufu huo umepatikana kwenye injili au kwingineko..!!
Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa...
 
Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.
Ni kama wanaingia na kutoka, huyo mwekundu ni kama alijiegesha kwa Platnumz hapa majuzi kati, na Rose wa Dodoma majuzi kavishwa ring
 
Afu unakuta mtu anasikiliza ngoma zao hadi anabubjikwa na machozi au anapandwa na roho mtakavitu, mi nawaangaliaga tu nasema hiiiii, ukiachana na ndoa dini ni utapeli mwingine.
Hata vile vidada vya praise team usilogwe ukaweka ndani, bora uende kwa Tatu wa Mbagala unajua ni 50/50 kuliko ujipe 100 kwa mwimba kwaya afu ukutane na kitu kizito kichwani chenye ncha kali, lazima utaimba haleluyah
 
Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.

Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.

Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
Never trust mtu yeyote aimbaye injili kwani wengi wao wameshindwa maisha au huko nyuma walikotoka walikuwa mafuska kupindukia. Wengi hujiingiza kwenye uimbaj kwaya / injili na mwishowe uishia kuwa chakula cha umma withini the church. Wengi wao ni makahaba tu wajifiachao kwa jina la injili au dini. na pia ni hypocrites mno.
 
Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
Ukitazama kuna ukweli ...orodha ni ndefu na wanatokea uprotestandini
  1. Beatrice Mhone
  2. Bahati Bukuku
  3. Flora Mbasha
  4. Christina Shusho
 
Ukitazama kuna ukweli ...orodha ni ndefu na wanatokea uprotestandini
  1. Beatrice Mhone
  2. Bahati Bukuku
  3. Flora Mbasha
  4. Christina Shusho
Hao ni maarufu, kuna wale wa mitaani wasio maarufu pia nao uachika
 
Inawezekana waume zao baada ya kuwaona ni waimba injili wanawachukulia poa(Take for granted) na kufanya ufuska wakijua huyu muimba dini nimeisha mshika.
 
Back
Top Bottom