Sahihi kabsaKuwa sababu kuwa mtu mwema hakutegemei kusoma tu biblia na kusema umeokoka, kuwa mtu mwema mda mwingne ni asili ya mtu tu na malezi.
exactlyHapo mwanzo walikuwa ni wanyenyekevu na wenye nidhamu na ndoa zao. Walipopata fedha kiburi kikainuka wakawa hawana heshima na ndoa zao wanazitia majaribuni wapendavyo. Hawafahamu kuwa nyimbo zao za mwanzo watu walizipenda sana lakini za siku hizi hata wafanye collabo na nani mkubwa hakuna mwenye hamu ya kusikiliza nyimbo za mwimbaji aliyeiasi ndoa yake. Wanaonekana ni vituko tu kwa waliokuwa wanapenda nyimbo zao. Kuimba nyimbo za injili si mchezo yale ni maadili lazima uishi katika maadili hayo yaani kulinda ushuhuda mwanzo hadi mwisho
duh! We jamaa upo? Umeadimika sana humuexactly
Mada ingekomea hapaMziki wao wanafanya kibiashara, they don't mean what they sing bro. Jiongeze, kwani wachungaji wangapi wanatembea na waumini wao? Masheikh wangapi wanalawiti waumini wao? Mapadre wangapi wana watoto au kugonga masista?
Dini ni akili yako tu sio mambo ya kuambiwa.
Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa...
available nowduh! We jamaa upo? Umeadimika sana humu
Ni kama wanaingia na kutoka, huyo mwekundu ni kama alijiegesha kwa Platnumz hapa majuzi kati, na Rose wa Dodoma majuzi kavishwa ringAngel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.
Never trust mtu yeyote aimbaye injili kwani wengi wao wameshindwa maisha au huko nyuma walikotoka walikuwa mafuska kupindukia. Wengi hujiingiza kwenye uimbaj kwaya / injili na mwishowe uishia kuwa chakula cha umma withini the church. Wengi wao ni makahaba tu wajifiachao kwa jina la injili au dini. na pia ni hypocrites mno.Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.
Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.
Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
Ukitazama kuna ukweli ...orodha ni ndefu na wanatokea uprotestandiniShida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
kaachika leo?? almost 3 yrs anaishi alone aloneChrisina Shusho ameolewa
Wao ni humankind kama wengine,kuimba kwao hakuwafanyi wawe specialHao ni maarufu, kuna wale wa mitaani wasio maarufu pia nao uachika
Gwajima vs Emmanuel Mbasha.Wachungaji ndio wanaoharibu ndoa