Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Mi sijawai ona kiongozi yyte wa dini ya kiislam hapa tz au vijana mitandaoni wakipambana kupinga haya mauaji ambayo yanalenga kumuondoa kama si kumfuta mtu mweusi Sudan.
Na hawa ni waislam wenzao
Na hawa ni waislam wenzao