Kwanini Waislam wa Africa hutawakuta wanapaza sauti kupinga mauaji ya waafrica wenzao wanauliwa na RSF kundi la kiarabu?

Kwanini Waislam wa Africa hutawakuta wanapaza sauti kupinga mauaji ya waafrica wenzao wanauliwa na RSF kundi la kiarabu?

Ni wanafiki, wanajipendekeza kwa waarabu wa mashariki ya kati wakati waislam wenzao wa sudan wanafanyiwa unyama
hapo mpaka wauwaji wangekua infidels wamerekan au ulaya ndio ungesikia milio wanazinguliwa kinoma india burma au china huko hutowasikia wakilalamika
 
Back
Top Bottom