Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Utajibiwa hao ni makafiri ndiyo maana wanauwawaAisee ni nani hawa wanauliwa kama mbuzi?
Dunia imejaa makatili sana
Wasudan weusi wanauliwa na kundi la waarabuAisee ni nani hawa wanauliwa kama mbuzi?
Dunia imejaa makatili sana
Ni wasudan na wote waislamUtajibiwa hao ni makafiri ndiyo maana wanauwawa
Hatari sana hawa wasudani weusi wengi si ndio hilo kabila la wadinka. Mwarabu ni mshenzi sanaWasudan weusi wanauliwa na kundi la waarabu
Basi wajaribu na sisi makafiri wa huku tuwaonyeshe shooUtajibiwa hao ni makafiri ndiyo maana wanauwawa
mna nn cha kuwatishaBasi wajaribu na sisi makafiri wa huku tuwaonyeshe shoo
Economically tupo well of akili tunayo tutawatandika barabaramna nn cha kuwatisha
ni huzuni kwakweliNi uzuzu tu ndugu yangu. Anafikir waarabu watampenda sana kwa kuandika madhila yao.
mna nguvu kuliko jeshi la sudanEconomically tupo well of akili tunayo tutawatandika barabara
Sidhan ingawa wapo ila kuna kabila maarufu za darful ndo zinachinjwa hukoHatari sana hawa wasudani weusi wengi si ndio hilo kabila la wadinka. Mwarabu ni mshenzi sana
Islam mdugu yake ni Islam hivyo si vizuri kuingilia ugomvi wavwana ndugu sababu wakichoka watarudi kwenye wuran ambaye inawaelekeza jinsi ya kupatana.Mi sijawai ona kiongozi yyte wa dini ya kiislam hapa tz au vijana mitandaoni wakipambana kupinga haya mauaji ambayo yanalenga kumuondoa kama si kumfuta mtu mweusi Sudan.
Na hawa ni waislam wenzao
View: https://x.com/YASIR_MOS91/status/1796253556606963933