Kwanini Waislamu wakisoma Quran wanakuwa kama wanaimba?

Kwanini Waislamu wakisoma Quran wanakuwa kama wanaimba?

quran aiimbwi inasomwa.

Sema inasomwa kiufundi na ndivyo inavyotakiwa haswaa.

Nyie pia si mnanenaga kwa lugha tatizo liko wapi?
Kwahiyo mkiimba ndiyo m anena kwa lugha? Wakati kila mtu anaelewa nini mnasema? Speaking in tongues is beyond Human five senses,is a direct language to the Father [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Wasalaam jamani.

Mimi ningependa kuuliza kwanini waislamu wakiwa wanasoma Quran wanaisoma kwa kuiimba? Halafu mkono mmoja wanaweka kwenye shavu.

Asante
Al-Bara ibn ‘Azib reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “Beautify the Quran with your voices.”

Source: Sunan Abī Dāwūd 1468
 
Wasalaam jamani.

Mimi ningependa kuuliza kwanini waislamu wakiwa wanasoma Quran wanaisoma kwa kuiimba? Halafu mkono mmoja wanaweka kwenye shavu.

Asante

Huwa kama mtu amekabwa koo halafu anaambiwa imba,utadhani analiavile,nadhani kuna shida mahali.
 
quran aiimbwi inasomwa.

Sema inasomwa kiufundi na ndivyo inavyotakiwa haswaa.

Nyie pia si mnanenaga kwa lugha tatizo liko wapi?
Hahahaaa usanii nimwingi hasa nikimsikia mtu akisema sharatataaaaa sharababaaa eti kunena kwa lugha
 
Kitu cha kukalili inabidi kiimbwe ili iwe rahisi kukalili misitari
 
Wasalaam jamani.

Mimi ningependa kuuliza kwanini waislamu wakiwa wanasoma Quran wanaisoma kwa kuiimba? Halafu mkono mmoja wanaweka kwenye shavu.

Asante
Sio wewe tu unaeshangaa hata majini walipoisikia inasomwa pia walishangaa

Waarabu wenyewe wenye lugha Yao pia waliishangaa
 
Kama sauti tu za walokole zile JIONI YA LEOO shida sijui huwa ni nini
 
Yunus 10:38

أَمْ يَقُولُونَ ٱفْتَرَىٰهُۖ قُلْ فَأْتُوا۟ بِسُورَةٍ مِّثْلِهِۦ وَٱدْعُوا۟ مَنِ ٱسْتَطَعْتُم مِّن دُونِ ٱللَّهِ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ



Je! Ndiyo wanasema ameizua (Quran) ? Sema: Hebu leteni sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, isipo kuwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
 
Qur'an imeshushwa kipindi ambacho mashairi yalikuwa yamepewa thamani kubwa sana na waarabu kwa waarabu kwa nyakati hizo. Na mashairi yanaimbwa. Kwa nyakati hizo kwa waarabu kuimba mashairi na kughani kwa lugha yao ilikuwa ni hali yenye thamani na yenye kukubalika sana.

Ni kama kwa zama hizi mziki na social media. Qur'an nayo ikashuka kwa hali ya namna hiyo ya usomaji.

Lakini Quran si shairi yaani; lugha ya Quran ni rhythmic lakini Quran haina msingi au haifuati msingi au rules of rhythm of Arabic language. Kwa msingi huo: Qur'an haiimbwi! Bali inasomwa kwa hali ya poetic vibes. Kushika shavu ni hisia tu ama midadi kwa msomaji. Au wengine wana sway back and forth.

-----------------------

Na kitu kingine ukitaka kukigundua kwenye Qur'an ni kuwa kwa zama hizo/ama hizi zimejikita kihoja zaidi. Hoja kwa hoja tamati yake ni ukweli kufahamika.

Ukiitizama Qur'an ipo kwa namna hiyo pia! Inampa challenge binadamu kihoja asijisahau! inampa challenge kwa anayempinga Muhammad na Quran pia! Na inampa challenge kwa anayekataa kuwa hayo si maneno ya Mungu!
 
Wimbo gani umeimbwa kama inavyosomwa Qur'an??
 
Na pia Muhammad huyo huyo kwenye kufafanua aya za Qur'an anasema:

The universe imetokana na yakuti ya kijani iliyotolewa kwenye Arshi na Mungu. Na ilikuwa ni ndogo sana kwa maana: everything in the entire universe was condensed in an infinitesimally small singularity.

Kisha Allah akiitazama kwa jicho la kitisho la kiuungu ikasababisha mlipuko mkubwa sana.

"ARE, THEN, they who are bent on denying the truth not aware that the heavens and the earth were [once] one single entity, which We then parted asunder? – and [that] We made out of water every living thing? Will they not, then, [begin to] believe"..............Qur'an 21:30

Hakuishia hapo, akafafanua zaidi na kusema mbingu na nyota zimetokana na moshi mzito! Wanasayansi wanasema stars are born within the clouds of dust. Na Muhammad akaelezea imetokana na nini hiyo hali!

Kila mmoja wetu hata mapacha wa namna gani kwa kila mmoja ana fingerprint zake. Kwa maana nyengine identities za watu zimekuwa coded kwenye fingerprints zao.

Muhammad akawaambia watu kuwa mtarejeshwa kwa Mungu na kisha mtafufuliwa na kisha hukumu itapitishwa baina yenu kwa yale mliyoyatenda duniani. Wakaona ajabu wakabisha! Muhammad akawathibitishia hilo kwa kusomea Quran ya kuwa:

"Does the Man think that we shall not assemble his bones (and rise him up alive from grave)?? Verily we are powerful to restore his very
fingertips!”
(Surah Qiyaamah 75; verses 3-4)

Kumbuka haya yamesemwa na Muhammad karne ya 7 na sayansi imefahamu hili karne ya 19.

Yapo mengi yamesemwa na Muhammad. Nakushauri msome kwanza kabla ya kumuona kwa taswira uliyonayo kwa sasa kwake. Kisha ujiulize hayo kayafahamu vipi?!
 
Sio wewe tu unaeshangaa hata majini walipoisikia inasomwa pia walishangaa

Waarabu wenyewe wenye lugha Yao pia waliishangaa
Hata waganga wakiwa wanaspell mambo zao majini yanashangaa
 
Back
Top Bottom