Kwanini Waislamu wakisoma Quran wanakuwa kama wanaimba?

Kwanini Waislamu wakisoma Quran wanakuwa kama wanaimba?

Mimi masha allah nna pesa za kutosha karibu sana pwani.

Pesa zangu naweza kukuoa wewe mama ako na ukoo wenu wote na nkaulisha na kuuvisha mpaka kufa kwenu.

Kama bado ujaolewa karibu PM.
Mungu anawapenda sana wenye jeuri kama yako
Soma hapa (
18 Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu.
Luka 12:18

19 Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.
Luka 12:19

20 Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?
Luka 12:20)
 
Na Roman Catholic wakiwa kanisani padri utoa maombi kwa namna ya kuimba..
 
Mungu anawapenda sana wenye jeuri kama yako
Soma hapa (
18 Akasema, Nitafanya hivi; nitazivunja ghala zangu, nijenge nyingine kubwa zaidi, na humo nitaweka nafaka yangu yote na vitu vyangu.
Luka 12:18

19 Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.
Luka 12:19

20 Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?
Luka 12:20)
Akiona hii inabidi akatubu
 
Uislam wanasema ni dini ya haki ila mi naonaga kama dini ya kibabe kama unabisha jamaa hapa kauliza swali vizuri ila watakuja wengine na majazba utafikili kawatusi
 
Umeiandika kama utani, ila kukujuza ni kama hivi. Kuna desturi nyingi ambazo Waislamu hutumia kusoma Quran, lakini inaweza kuonekana kama wanaimba kwa sababu ya aina ya sauti na mtindo wa usomaji ambao unahusishwa mara nyingi na Quran. Kwa mfano, aina ya sauti ya Quran inayosomwa inajulikana kama "tajwid," ambayo ni utaratibu wa kutamka kila neno kwa usahihi wa kiitikadi na kivitendo. Utaratibu huu wa kutamka unahusisha kuongeza vipengele vya sauti, kusisitiza maneno maalum na kupunguza kasi ya sauti kwa wakati mwingine.

Wakati huo huo, kuna mtindo wa usomaji wa Quran unaojulikana kama "tilawah," ambao unahusisha kusoma Quran kwa sauti kubwa na yenye hisia. Hii ni kwa sababu Waislamu wengi wanaamini kuwa Quran ni zaidi ya kitabu tu, lakini ni neno la Mwenyezi Mungu lililotolewa kwa wanadamu kupitia Mtume Muhammad. Kusoma Quran kwa sauti kubwa na yenye hisia inaweza kuonekana kama njia ya kuwasiliana na maneno ya Mwenyezi Mungu na kusaidia kuchochea hisia za kiroho.

Kwa hiyo, wakati Waislamu wanaposoma Quran, wanaweza kuonyesha hisia kwa njia ambayo inaweza kufanana na kuimba, lakini hii ni kutokana na aina ya sauti na mtindo wa usomaji badala ya kuimba halisi.
Yeye sio wa kwanza kuja na hoja walianza wengine kabla yake na wakafeli. Open challenge ipo imewekwa toka karne ya saba. Wajikusanye wote wao pamoja na viumbe weingine watengeneze japo sura moja tu yenye aya 3. Mpaka leo hakuna aliyejitokeza.
 
Tukiweka masihara pembeni, swali lako lina mantiki.
Na ikiwekwa masihara pemeben.yupo dada mmoja anafanya comparison between religious text.yupo youtube nahis anajiita journey to reverts au nimesahau. Huyyu aliweka vipande/clip za kila msomaj.yeye alilia alipoanza kuishusha mtaalam mwenyewe hady toure.ingia youtube uone hady toure anafanyaje. Quranic recitation is more than reading it goes straight to the heart deep state .if you haven't experienced one then you have been denied for eternal. Ikiwa hali anayoipata msomaj na msikilizaj hujaipata bas umenyimwa kila kitu.tuombe mungu atujaalie kuipata ladha hio
 
Umeiandika kama utani, ila kukujuza ni kama hivi. Kuna desturi nyingi ambazo Waislamu hutumia kusoma Quran, lakini inaweza kuonekana kama wanaimba kwa sababu ya aina ya sauti na mtindo wa usomaji ambao unahusishwa mara nyingi na Quran. Kwa mfano, aina ya sauti ya Quran inayosomwa inajulikana kama "tajwid," ambayo ni utaratibu wa kutamka kila neno kwa usahihi wa kiitikadi na kivitendo. Utaratibu huu wa kutamka unahusisha kuongeza vipengele vya sauti, kusisitiza maneno maalum na kupunguza kasi ya sauti kwa wakati mwingine.

Wakati huo huo, kuna mtindo wa usomaji wa Quran unaojulikana kama "tilawah," ambao unahusisha kusoma Quran kwa sauti kubwa na yenye hisia. Hii ni kwa sababu Waislamu wengi wanaamini kuwa Quran ni zaidi ya kitabu tu, lakini ni neno la Mwenyezi Mungu lililotolewa kwa wanadamu kupitia Mtume Muhammad. Kusoma Quran kwa sauti kubwa na yenye hisia inaweza kuonekana kama njia ya kuwasiliana na maneno ya Mwenyezi Mungu na kusaidia kuchochea hisia za kiroho.

Kwa hiyo, wakati Waislamu wanaposoma Quran, wanaweza kuonyesha hisia kwa njia ambayo inaweza kufanana na kuimba, lakini hii ni kutokana na aina ya sauti na mtindo wa usomaji badala ya kuimba halisi.
Halafu utakuta wanasema kuimba Kharamu😄😄
Hakuna ibada yoyote inayowezekana au kunoga bila kuimba.

Tune mbalimbali zitumikazo kigani Quran wakati wa swala kuanzia adhana na sura mbalimbali zisomwazo kuanzia Al fatiha na nyingene , ni tune za nyimbo ambazo ni asili ya far east. Hata wayahudi wanatumia tune hizo, na Wakatoliki wakiwa wanasali kwa kutumia kilatini ( Gregorian chant) tune ndio hizo hizo.

Sasa akitokea zuzu yoyote na kusema kuwa kuomba ibadani ni dhambi wakati kuanzia mwito wa kwenda kuswali ( adhana) hadi swala yenyewe ni KUIMBA achilia mbali kaswida ,na dufu zake nitamwona ama ana mapungufu Fulani kwenye mfumo wake wa kuchakata mambo zaidi ya kukaririshwa
 
Yeye sio wa kwanza kuja na hoja walianza wengine kabla yake na wakafeli. Open challenge ipo imewekwa toka karne ya saba. Wajikusanye wote wao pamoja na viumbe weingine watengeneze japo sura moja tu yenye aya 3. Mpaka leo hakuna aliyejitokeza.
Challenge ya nini na

Allah asilimia kubwa ka copy maneno ya viumbe kutengeneza Koran
  • Anza na talking ants, maneno ya ant ndani ya koran
    • 27:18. ...., alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.
  • Aya za Binadamu, Sulaiman
    • Sulaiman .....akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
  • Aya ya Ndege Hud Hud
    • 27:22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
  • Aya ya shetani
    • Hijr:39. [Iblis (Satan)] said: "O my Lord! Because you misled me,.....
  • Sura ya majini , hii ni almost surah nzima ni yao wanaongea
    • Jinn: 1 - ....kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu
 
Na ikiwekwa masihara pemeben.yupo dada mmoja anafanya comparison between religious text.yupo youtube nahis anajiita journey to reverts au nimesahau. Huyyu aliweka vipande/clip za kila msomaj.yeye alilia alipoanza kuishusha mtaalam mwenyewe hady toure.ingia youtube uone hady toure anafanyaje. Quranic recitation is more than reading it goes straight to the heart deep state .if you haven't experienced one then you have been denied for eternal. Ikiwa hali anayoipata msomaj na msikilizaj hujaipata bas umenyimwa kila kitu.tuombe mungu atujaalie kuipata ladha hio
Deep wapi? Hizo ni songi kama songi zingine, hivyo hisia kwa mtu yaweza kumtokea kutokana na wimbo huo unamwingia vipi . Niletee waimbaji wote tune zao naweza kuziandika kwenye nota za muziki na akaimba mtu yoyote hivyo hivyo hata kama maneno hayajui.nazungumzia tune ambayo ndio kuomba kwenyewe. Hivyo huko ni kuomba/ kughani
 
Halafu utakuta wanasema kuimba Kharamu😄😄
Hakuna ibada yoyote inayowezekana au kunoga bila kuimba.

Tune mbalimbali zitumikazo kigani Quran wakati wa swala kuanzia adhana na sura mbalimbali zisomwazo kuanzia Al fatiha na nyingene , ni tune za nyimbo ambazo ni asili ya far east. Hata wayahudi wanatumia tune hizo, na Wakatoliki wakiwa wanasali kwa kutumia kilatini ( Gregorian chant) tune ndio hizo hizo.

Sasa akitokea zuzu yoyote na kusema kuwa kuomba ibadani ni dhambi wakati kuanzia mwito wa kwenda kuswali ( adhana) hadi swala yenyewe ni KUIMBA achilia mbali kaswida ,na dufu zake nitamwona ama ana mapungufu Fulani kwenye mfumo wake wa kuchakata mambo zaidi ya kukaririshwa
Hahah wanasemaga mziki ni kharam
 
Uslama na ukristo, zimekua kama, vilabu vya mpira. Kazi yao imekua kubishana tu bila kujifunza neno la mungu. Na hizi dini, zote zimejaa uongo, mafanikio zaidi uislamu, kwenye, mavazi ya heshima na ukristo kujenga shule. Mpaka kufika 2090. Zitakua, zimefutika kabisa.
 
Huu uchokozi sasa ,dini ya wengine
Unaingilia nini!

Ova
 
Uslama na ukristo, zimekua kama, vilabu vya mpira. Kazi yao imekua kubishana tu bila kujifunza neno la mungu. Na hizi dini, zote zimejaa uongo, mafanikio zaidi uislamu, kwenye, mavazi ya heshima na ukristo kujenga shule. Mpaka kufika 2090. Zitakua, zimefutika kabisa.
Uongo kama upi mkuu
 
Back
Top Bottom