Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Status
Not open for further replies.

narudi kesho

Senior Member
Joined
Jul 5, 2024
Posts
177
Reaction score
270
binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,

haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1, njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye kofia yake, anaweza akapita mistari yote, watu wataokaochangia sadaka wanaweza wakawa watano na usikute hata elfu 5 haifiki that why.

Kinachonishangaza kingine waislamu wengi wanajazana makanisani tofauti na wakristo kuja misikitini.

Hapa kuna shida gani kwa waislamu?
 
Mh sijawahi kuona muislamu kanisani ila wakristo wengi wakiwa na shida huwa wanamtafuta shekhe awasaidie , kila tajiri wa kikristo ana shekhe wake kubali kataa
Nenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.
 
Sadaka unatoa kiimani na sio kwa sifa,mkono wa kulia ukitoa,wa kushoto usione. Una elfu 20 halafu watoto hawajala unatoa sadaka elfu 15. Na sadaka ni kile chochote ulichonacho na unatoa popote pale ulipo.Ukimpa mgonjwa msaada wa dawa ni sadaka,ukampa mtu nauli ya daladala ni sadaka,pia maji,msosi,viatu,madaftari na begi la shule kwa mwanafunzi. Sadaka zipo za aina nyingi na sio lazima uende nyumba ya Ibada ukatoe sadaka nyingi wakati huku mtaani kuna mayatima,waginjwa,walemavu n.k...sasa mleta uzi wewe umeelezea sadaka moja tu ya kwenye nyumba ya ibada
 
Nenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.
Yule ni mganga hasomi biblia pale kama mganga tu aliyevaa suti ...Au unabisha yesu aliuza mafuta wapi ? Washirikina wote wanajazana pale mpaka viongozi wako .
 
20240722_011330.jpg
 
binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,

haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1,njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye kofia yake,anaweza akapita mistari yote ,watu wataokao changia sadaka wanaweza wakawa watano na usikute hata elfu 5 haifiki that why.

kinacho nishangaza chengine waislamu weng wanajazana makanisani tofauti na wakristo kuja misikitini.

hapa kuna shida gani kwa waislamu?

binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,

haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1,njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye kofia yake,anaweza akapita mistari yote ,watu wataokao changia sadaka wanaweza wakawa watano na usikute hata elfu 5 haifiki that why.

kinacho nishangaza chengine waislamu weng wanajazana makanisani tofauti na wakristo kuja misikitini.

hapa kuna shida gani kwa waislamu?
Masheik wengi,ndo wanatumika ktk maswala ya dua na mambo ya mpasayo ALLAH,lakini pia, wanamahusiano ya karibu sana na majini na majini ni maswahiba wao na majini yanaingia misikitini kuswali {soma suratul JINN},,so waislam wanaogopa sana pesa zao kuchukuliwa CHUMA ULETE!!
 
Nenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.
Waislamu ni watu kama watu wengine,kuna ambao wana imani na wengine hawana,kama ambavyo kuna wakristo ambao wanahama makanisa kila siku hawamwamini Mungu ila wanamwamini mtu,,ndiyo utasikia mungu wa mwamposa au mungu wa efatha

Sasa kuna waislamu ambao hawana mafunzo ya uislamu,ndio hawa ukiwaambia twende kwa mwamposa sawa kwakuwa hawamjui Mungu hasa ni nani

Kwahiyo siyo jambo la kushangaza
 
Masheik wengi,ndo wanatumika ktk maswala ya dua na mambo ya mpasayo ALLAH,lakini pia, wanamahusiano ya karibu sana na majini na majini ni maswahiba wao na majini yanaingia misikitini kuswali {soma suratul JINN},,so waislam wanaogopa sana pesa zao kuchukuliwa CHUMA ULETE!!
Unajua maana ya swahaba?

Kwahiyo zinachukuliwa chuma ulete na nani?

Umeshawahi kwenda msikitini ukayaona?

Majibu tafadhali
 
Waisilamu ndiyo wanaoongoza kwa namba ya watu wenye vipato kubali kataa.

Kwanza kwa Tanzania hii kwenye madaraja ya vipato muislamu yupo juu tu labda uislamu wa mikoani.

1.wachezaji wa mpira wengi ni waisilamu

2.wanamuziki wakubwa wengi waislamu

3.Mabondia wakubwa wote waislamu

4.mcheza kikapu maarufu ni muislam

5.wafanyabiashara wengi wadogo yaani machinga wengi waislamu

6.wafanyabiashara wa madaraja ya kati wengi waislamu.

7.wawekezaji wakubwa na matajiri wengi Tanzania ni waislamu

Wakristo wengi tumejikita kwenye kuajiriwa zaidi.

Kuhusu utoaji wa sadaka upo hivi,

Muislamu yupo kishar'ya zaidi ndiyo maana hata utoaji wao wa sadaka ni hafifu mno,muislamu akiwa na laki kwenye wallet anaweza kutoa miatano au elfu Moja kama sehemu ya sadaka.

Mkristo yeye yupo kiimani zaidi kuliko Sheria ndiyo maana tunasali na wanawake nguo fupi zinabana mapaja lakini hawachukuliwi hatua.kwenye utoaji wa sadaka mkiristo akiwa na laki Moja utoaji wake ni kuanzia elfu tano hadi elfu kumi au zaidi ya hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom