Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Status
Not open for further replies.
Top 10 ya matajiri kwenye nchi yako unajua wamejaa kina nani? Top 10 ya matajiri Africa unajua wamejaa kina nani?
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA.

Nikiwa huko Mwanza nilikuwaga naambiwa Dar kuna Waislam wengi lakin baada ya kuja kufika Dar takiliban miiaka 15 iliyopita nilikuwa na nimegundua Dar es Salaam waislam ni wachache sana.

Na Wakristo ni wengi sana na kila siku idadi yao inazid kuongezeka huku idadi ya Waislam ikiendelea kupungua kwa kasi.

Kwanza utamadun wa kiislam Dar es Salaam umepotea kabisa.

Hata ikifika ijumaa ni ngumu sana kujua kama leo ni ijumaa ila ikifika jumapili siyo jambo hata la kuuliza kuwa leo ni siku ya ibada.

Ukiwa unaingia posta huwez ona hata msikiti mmoja misikiti kuiona mpaka usogee magomen na Buguruni.

Ukiingia kariakoo kila duka mwenye duka watu wanasikiliza gospel.

Mitaa yote ya kishua wanakaa wakristo na wahindi.

Waislam mitaa yao imebaki mwanyamala na Mbagala.

Kilichonishitua zaid ni idadi ya wakoliki katika sensa ya kanisa iliyofanywa mwaka jana na kupata idadi ya wakristo wakatoliki zaid ya million mbili na lakin sita kwa jimbo zima ya dar es salaam hao ni wale wanaohudhilia jumuiya tu ambao hawaend jumuiya hawajahesabiwa.

Dar es Salaam ni kitovu cha ukristo maana hata mwanza waislam wapo ila ndo hivyo mitaa yao ni igogo na shede nao ni waha na Wanyamwezi.

Asanteni.

LONDON BOY
 
Tuishi tu mkuu kama ni dini basi itusaidie kuwa Bora na kuishi na wengine
Jana nimehudhuria mahafali ya watoto wa kiislamu nikapiga na kapilau kao basi siku ikapita
 
Hiyo mitaa ya kishua ambayo haina waislamu ni wapi??? Mbona waislamu wapo wengi tu, kuanzia huko masaki, mbezi beach hadi mbweni na msikiti ipo, wapi Dar hii hakuna waislamu??? Au mjini ni wa kuja???

Na huko unakoita uswahilini pia sio wote wanaokaa huko ni waislamu,
Wakristo wapo hadi tandale na kigogo, hiyo Dar ya mitaa fulani ni fini fulani ni Dar ya kufirika
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Nikiwa huko mwanza nilikuwaga naambiwa dar kuna waislam wengi lakin baada ya kuja kufika dar takiliban miiaka 15 iliyopita nilikuwa na nimegundua dar es salaam waislam ni wachache sana

Na wakristo ni wengi sana na kila siku idadi yao inazid kuongezeka huku idadi ya waislam ikiendelea kupungua kwa kasi

Kwanza utamadun wa kiislam dar es salaam umepotea kabisa

Hata ikifika ijumaa ni ngumu sana kujua kama leo ni ijumaa ila ikifika jumapili siyo jambo hata la kuuliza kuwa leo ni siku ya ibada

Ukiwa unaingia posta huwez ona hata msikiti mmoja misikiti kuiona mpaka usogee magomen na bugurun

Ukiingia kariakoo kila duka mwenye duka watu wanasikiliza gospel

Mitaa yote ya kishua wanakaa wakristo na wahindi,

Waislam mitaa yao imebaki mwanyamala na mbagala


Kilichonishitua zaid ni idadi ya wakoliki katika sensa ya kanisa iliyofanywa mwaka jana na kupata idadi ya wakristo wakatoliki zaid ya million mbili na lakin sita kwa jimbo zima ya dar es salaam hao ni wale wanaohudhilia jumuiya tu ambao hawaend jumuiya hawajahesabiwa


Dar es salaam ni kitovu cha ukristo maana hata mwanza waislam wapo ila ndo hivyo mitaa yao ni igogo na shede nao ni waha na wanyamwezi


Asanten


LONDON BOY
JUhudi zako ungezielekeza kumpinga aliyekùambia hilo jambo.

Dar sio kitovu cha uisilamu..
 
Umeandika ujinga,ila nimekuja kukufahamisha kitu kimoja tu

Pale posta mpya kwa nyuma kuna msikiti wa ghorofa 7 au 8 unaitwa msikiti wa ngazija tembelea pale uone watu wanaofanya ibada

Nenda feri pale kuna msikiti pia mkubwa tu ndio upo hatua za mwisho kukamilika na watu wanaswali

Acha ujinga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom