Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

Status
Not open for further replies.
7335d9_adef190d27e14baea318380617571dd8~mv2.jpeg
 
Mh sijawahi kuona muislamu kanisani ila wakristo wengi wakiwa na shida huwa wanamtafuta shekhe awasaidie , kila tajiri wa kikristo ana shekhe wake kubali kataa
mbona kwa mwamposa wamama wengi ni akina aisha na majina ya kiislam au walibadili dini wakawa wakristo
 
Mh sijawahi kuona muislamu kanisani ila wakristo wengi wakiwa na shida huwa wanamtafuta shekhe awasaidie , kila tajiri wa kikristo ana shekhe wake kubali kataa
Nenda kwa Mwamposa utaona.
 
mbona kwa mwamposa wamama wengi ni akina aisha na majina ya kiislam au walibadili dini wakawa wakristo
Hakuna muislamu wa hivyo anaenda kwa Mwamposa ....Uislamu lazima usome sio jina ....Majina hamna tatizo unaweza kuwa na wazazi waislmu ila usiwe muislamu ...Kiroho Mwamposa ni mganga yaani mshirikina acha waende
 
Mkuu top ya matajiri Tanzania ni waislamu
1.Dewji
2.Mzee Bakhresa
3.Rostam Aziz
4.GSM
Makampuni makubwa ya mafuta oilcom na Camel oil ,
Kina ASAS, wamiliki wengi wa mabasi na malori.

Sijui kwa nini umesema ulivyosema au UNATANIA 😀
 
Hawaangaiki na vya Dunia maana wameandaliwa Pepo Yao pekee ambayo makafiri hawatakuwepoo Wala kuwasumbuaaa😅😅

Ila hz dini hzi 😭
 
Mh sijawahi kuona muislamu kanisani ila wakristo wengi wakiwa na shida huwa wanamtafuta shekhe awasaidie , kila tajiri wa kikristo ana shekhe wake kubali kataa
Baadhi ya vtu nakubaliana na wew
 
Maisha yoyote yasiyoendana na kipato chako ni uchawi..!!!
ushamba ndio maana mnapiga kelele kama yule Vunjabei wakati wakina Gsm wanashinda na kanzu ila wana pesa ndefu ...Vunjabei kelele kibao ndio ushamba wa watu wa bara unaweza kufikiria yeye ndio tajiri namba moja kumbe hata 50 bora hayupo ..

Vunjabei anajiona yeye anajua biashara sana kumbe mchuuzi wa kudandia hana bidhaa maalumu ni mpiga dili tu ila kujifanya anajua sana baishara .

Akiongea kitu nyie mazwzawa mnaitia eti katumia akili , yule kafanikiwa ila sio kujifanya ana elimu maana biashara ni kushinda sio kujifanya mentor...Achukue ukoo wake wafike mbali sio kufundisha watu maisha kwa mafanikio ya bahati.
 
ushamba ndio maana mnapiga kelele kama yule Vunjabei wakati wakina Gsm wanashinda na kanzu ila wana pesa ndefu ...Vunjabei kelele kibao ndio ushamba wa watu wa bara unaweza kufikiria yeye ndio tajiri namba moja kumbe hata 50 bora hayupo ..

Vunjabei anajiona yeye anajua biashara sana kumbe mchuuzi wa kudandia hana baidhaa maalumu ni mpiga dili tu ila kujifanya anajua sana baishara .
Hivi umenielewa kweli? Hata huyo vinjabei, kama anaishi tofauti na uwezo wake wa kipato ni uchawi..!!
 
Unajua maana ya swahaba?

Kwahiyo zinachukuliwa chuma ulete na nani?

Umeshawahi kwenda msikitini ukayaona?

Majibu tafadhali
naenda sana msikitini,majini ndo yanatumika kuchukua pesa kwenye maduka ya wa2 kwani hayaonekani kwa machosijawahi kuyaona kwa macho kwani wameubwa bila kiwiliwili,,,na kwa taarifa yako nimesoma juzuu zote mfano{suratul al-maida,yunus,suratul jinn'suratul raddi, fatih'suratul bakhara,suratul mariam,fills,an-far , suratul ban-israil n.k} lakini kwa kukufunga mdomo wako ni kwamba,...ALLAH alishusha sura iitwayo "suratul munafuqun",,,yaani sura hii inazungumzia wanafki kama wewe wanaopindisha ukweli wasiopenda kuusikia...mfano hii sra iitwayo SURATUL BAN-ISRAIL.........ALLAH alimwagiza MUSA na MUSA akamshirikisha HARUN nduguye kwa idhini ya Allah kuhusiana na nchi ya ahadi waliyopewa wana wa ISRAIL baada ya kuwakomboa wana wa israil kutoka kwa firaun,,,na,,akawapa nchi hiyo wanayikalia mpaka leo,,lakini WALLAH sura hii haijasomwa,haisomwi na haitakaa isomwe ktk msikiti wote duniani kwa sababu tu inazungumzia ahadi ya ARDHI takatifu walopewa wana wa israil toka kwa MOLA WAO!!! [unafiki mtupu}
 
Hivi umenielewa kweli? Hata huyo vinjabei, kama anaishi tofauti na uwezo wake wa kipato ni uchawi..!!
Ulitaka mtu aishi vip ? Unajua Bakhresa yupo simple kuliko vunjabei , mara apost magari yaani anafundisha watu utajiri kama sio uongo na ushamba ....Kuna madon hata mitandaoni hawapo wanashinda na kanzu tu achana na wachuuzi hawa wapiga kelel.
 
Ulitaka mtu aishi vip ? Unajua Bakhresa yupo simple kuliko vunjabei , mara apost magari yaani anafundisha watu utajiri kama sio uongo na ushamba ....Kuna madon hata mitandaoni hawapo wanashinda na kanzu tu achana na wachuuzi hawa wapiga kelel.
Mwamba naona hunielewi kabisa. Labda niongee kwa lugha nyingine. Say kipato chako ni Tshs 100/-. Wewe kuishi maisha ya Tshs 200/- ni uchawi, na vile vile kuishi maisha ya Tshs sent tano ni uchawi pia. Mimi sizungumzii wanaojimwambafai kitaa na kumbe hawana kitu..!!
 
naenda sana msikitini,majini ndo yanatumika kuchukua pesa kwenye maduka ya wa2 kwani hayaonekani kwa machosijawahi kuayona kwa macho kwani wameubwa bila kiwiliwili,,,na kwa taarifa yako nimesoma juzuu zote mfano{suratul al-maida,yunus,suratul jinn'suratul raddi, fatih'suratul bakhara,suratul mariam,fills,an-far , suratul ban-israil n.k} lakini kwa kukufunga mdomo wako ni kwamba,...ALLAH alishusha sura iitwayo "suratul munafuqun",,,yaani sura hii inazungumzia wanafki kama wewe wanaopindisha ukweli wasiopenda kuusikia...mfano hii sra iitwayo SURATUL BAN-ISRAIL.........ALLAH alimwagiza MUSA na MUSA akamhsisha HARUN nduguye kwa idhini ya Allah kuhusiana na nchi ya ahadi waliyopewa wana wa ISRAIL baada ya kuwakomboa wana wa israil kutoka kwa firaun,,,na,,akawapa nchi hiyo wanayikalia mpaka leo,,lakini WALLAH sura hii haijasomwa,haisomwi na haitakaa isomwe ktk msikiti wote duniani kwa sababu tu inazungumzia ahadi ya ARDHI takatifu walopewa wana wa israil toka kwa MOLA WAO!!! [unafiki mtupu}
Huwa sipendi porojo,,,jibu maswali yangu kisha tuendelee na mjadala

Tutapeana elimu ukiwa muelewa

Nakusubiri
 
Hizi mada hazinaga hitimisho. Kila mtu abaki na anachoamini ili mradi havunji sheria za jamhuri.
 
Mwamba naona hunielewi kabisa. Labda niongee kwa lugha nyingine. Say kipato chako ni Tshs 100/-. Wewe kuishi maisha ya Tshs 200/- ni uchawi, na vile vile kuishi maisha ya Tshs sent tano ni uchawi pia. Mimi sizungumzii wanaojimwambafai kitaa na kumbe hawana kitu..!!
Sawa ila ukweli ni mchungu watu wa bara ni washamba sana kweny pesa ndio tofauti na watu wa Asia ,angalia jinsi mkipata pesa mlivyokuwa na tabu kwa sana , mara chache sana kumkuta mtu wa Asia akiwa motivational speakers hata awe na pesa kiasi gani ..Wenzenu wanaenda kweny makongamano ya biashara na kupata connection nyie wabara ni lomolomo hamna kitu kabisa mpaka nacheka .

Kuna jamaa nipo nae hapa kapata ajira miaka 3 nyuma anatokea huko bara , kashaanza kuvaa suti na kupost mambo ya ushauri wa kifedha mpaka nacheka ....Unweza kuwa na pesa ila kumlazimisha mtu ndio vigumu , wenyewe mnajiingiz kweny mtego wa TRA kwa show-off z kishamba .

Kariakoo wapo matajiri uliza wanaishi simple tu ndio maana kuna masikiti mikubwa hapo katikati wanaifadhili wao , huwezi kuwajua hawana ushamba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom