narudi kesho
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 177
- 270
nakuunga mkono Yeah sure unakuta kanisani umuoni nabii bila hela yaanSidhani kama waislamu wanaendesha dini kibiashara,
Unayo sawa, huna sawa.
Uzi ufungweSidhani kama waislamu wanaendesha dini kibiashara,
Unayo sawa, huna sawa.
Nenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.Mh sijawahi kuona muislamu kanisani ila wakristo wengi wakiwa na shida huwa wanamtafuta shekhe awasaidie , kila tajiri wa kikristo ana shekhe wake kubali kataa
Acha kutetemeka sheikh, tulia mada ijadiliwe.Mada zenye watu wenye ufinyu wa akili hizi pia na wachangiaji watakaokuja ku support motion au kuipinga nao wanakua ni hao hao. Kila la heri
Sawa wewe mwenye akili nyingi ume comment hapa hapa kwa wenye akili finyu.Mada zenye watu wenye ufinyu wa akili hizi pia na wachangiaji watakaokuja ku support motion au kuipinga nao wanakua ni hao hao. Kila la heri
Sasa bora ungekaa kimya mkuuMada zenye watu wenye ufinyu wa akili hizi pia na wachangiaji watakaokuja ku support motion au kuipinga nao wanakua ni hao hao. Kila la heri
Yule ni mganga hasomi biblia pale kama mganga tu aliyevaa suti ...Au unabisha yesu aliuza mafuta wapi ? Washirikina wote wanajazana pale mpaka viongozi wako .Nenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.
SAWAHebu rudia na kusoma ulichoandika
binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,
haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1,njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye kofia yake,anaweza akapita mistari yote ,watu wataokao changia sadaka wanaweza wakawa watano na usikute hata elfu 5 haifiki that why.
kinacho nishangaza chengine waislamu weng wanajazana makanisani tofauti na wakristo kuja misikitini.
hapa kuna shida gani kwa waislamu?
Masheik wengi,ndo wanatumika ktk maswala ya dua na mambo ya mpasayo ALLAH,lakini pia, wanamahusiano ya karibu sana na majini na majini ni maswahiba wao na majini yanaingia misikitini kuswali {soma suratul JINN},,so waislam wanaogopa sana pesa zao kuchukuliwa CHUMA ULETE!!binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,
haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1,njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye kofia yake,anaweza akapita mistari yote ,watu wataokao changia sadaka wanaweza wakawa watano na usikute hata elfu 5 haifiki that why.
kinacho nishangaza chengine waislamu weng wanajazana makanisani tofauti na wakristo kuja misikitini.
hapa kuna shida gani kwa waislamu?
Waislamu ni watu kama watu wengine,kuna ambao wana imani na wengine hawana,kama ambavyo kuna wakristo ambao wanahama makanisa kila siku hawamwamini Mungu ila wanamwamini mtu,,ndiyo utasikia mungu wa mwamposa au mungu wa efathaNenda kwa mwamposa au nenda buza kwa kiboko ya wachawi uione hao waislamu.
Unajua maana ya swahaba?Masheik wengi,ndo wanatumika ktk maswala ya dua na mambo ya mpasayo ALLAH,lakini pia, wanamahusiano ya karibu sana na majini na majini ni maswahiba wao na majini yanaingia misikitini kuswali {soma suratul JINN},,so waislam wanaogopa sana pesa zao kuchukuliwa CHUMA ULETE!!