Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kwa maisha hayo lazima awe na hasira akiona mgeniWasukuma wana roho nzuri sana, nlikaa shinyanga miaka flan ya 2009, huo ukarimu wao siyo wa nchi hii.
Ila mjini lazima uje kwa booking maisha mjini siyo kama ya mkoani hata pilipili tunanunua.
Unakuta mtu kapanga chumba sebule, ana mke na watoto, halafu eti wewe unakuja mjini unataka ukafikie kwake tena muda mwingine hujamwambiia tu unampa taarifa uko kwenye basi.
Huu ndiyo mwanzo wa kukimbiwa. Mjini hali tete, kuna jamaa ni mlinzi aliniambia analipwa 90000 kwa mwezi na ana mke, nikajiuliza ana survive vipi dar, sasa mtu kama huyo ukitoka mkoani eti ufkie kwake ni kumwongezea umaskini.