Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Japokuwa sio wote lakini asilimia kubwa ya wakazi wa Dar wana roho mbaya sana. Hawapendi wageni, wao kwa wao hawapendani. Wamejaa matusi, visirani maneno mengi na ukorofi wa hali ya juu.

Watu wengi wakitoka mikoani na kwenda Dar hukutana na hii kitu. Hawakaribishwi vizuri, wananuniwa na ndugu zao wa huko Dar.

Nini hasa sababu ya haya mambo? Maisha magumu? Au mazingira sio rafiki?
Halafu mengi ni MAOMBAOMBA
 
Mimi nina miaka zaidi ya 15 sifikii kwa ndgu,rafiki....nafikia hotel nkimaliza mishe zangu nawaitia bia,ndio navyo ishi nao,wakija ar nawaambia sihitaji mgeni kwangu waende hotel
Hata mie Dar nilishaacha kufikia kwa ndugu. Ni hotelini tu basi.
 
Hujasoma(uwe navyeti nikutaftie kazi),mvivu(TV yangu unawasha asb-6 usiku),bajeti(bajeti yako haipo)..mjini bana namji wakibiashara unatakiwa kuchangamka rudi kijini namsimu huu maboga mengisana
 
Mara
Joto,,foleni.. na maisha magumu.....ilishawahi kufanyika research kuwa kwanini madreva na makonda wa darslam wanamatusi...ikapatikana kuwa ni kutokana na joto Kali + msongamano wa watu+foleni.....ndo Mana watu wa daslam mda wote wamechafukwa roho...
Mara ya kwanza naingia dar,konda kanikatalia kuingia kwenye daladala na begi,akaniambia akilikuta begi langu ndani ya daladala atalitoa nje.
Wakati huo mwenyej wangu kagoma kuja kunipokea ubungo,wakati yeye ndo alkuwa ana niforce sana mara nyingi kuwa niende niwatembelee.
Niltaman kurudi hapo hapo,maana niliona kama dar nzima haihitaji ujio wangu
 
Mara

Mara ya kwanza naingia dar,konda kanikatalia kuingia kwenye daladala na begi,akaniambia akilikuta begi langu ndani ya daladala atalitoa nje.
Wakati huo mwenyej wangu kagoma kuja kunipokea ubungo,wakati yeye ndo alkuwa ana niforce sana mara nyingi kuwa niende niwatembelee.
Niltaman kurudi hapo hapo,maana niliona kama dar nzima haihitaji ujio wangu
Pole mpembawise ndio walivyo
 
Mara

Mara ya kwanza naingia dar,konda kanikatalia kuingia kwenye daladala na begi,akaniambia akilikuta begi langu ndani ya daladala atalitoa nje.
Wakati huo mwenyej wangu kagoma kuja kunipokea ubungo,wakati yeye ndo alkuwa ana niforce sana mara nyingi kuwa niende niwatembelee.
Niltaman kurudi hapo hapo,maana niliona kama dar nzima haihitaji ujio wangu
Pole Sana kaka....dar wengi maisha magumu ndo Mana wanna roho mbaya....mi nlienda usukumani kibiashara tu....lakini wale jamaa watu na nusu...Yani uko nzega ndani ndani kununua matikiti lakini jamaa lazima wakulazimishe Kula kabla au baada ya biashara....wasukuma ni watu na nusu ingawa tunawataniaga
 
Pole Sana kaka....dar wengi maisha magumu ndo Mana wanna roho mbaya....mi nlienda usukumani kibiashara tu....lakini wale jamaa watu na nusu...Yani uko nzega ndani ndani kununua matikiti lakini jamaa lazima wakulazimishe Kula kabla au baada ya biashara....wasukuma ni watu na nusu ingawa tunawataniaga
Wasukuma wana roho nzuri sana, nlikaa shinyanga miaka flan ya 2009, huo ukarimu wao siyo wa nchi hii.

Ila mjini lazima uje kwa booking maisha mjini siyo kama ya mkoani hata pilipili tunanunua.

Unakuta mtu kapanga chumba sebule, ana mke na watoto, halafu eti wewe unakuja mjini unataka ukafikie kwake tena muda mwingine hujamwambiia tu unampa taarifa uko kwenye basi.

Huu ndiyo mwanzo wa kukimbiwa. Mjini hali tete, kuna jamaa ni mlinzi aliniambia analipwa 90000 kwa mwezi na ana mke, nikajiuliza ana survive vipi dar, sasa mtu kama huyo ukitoka mkoani eti ufkie kwake ni kumwongezea umaskini.
 
Me napokea watu wengi sana ambao wanakosa msaada hapa Dsm, sio marafiki ndugu na hata nisio wajua. Wewe kama unakuja dsm usisite kuja kwangu mkuu na hutojutaa.
Pokea unaowafahamu zaidi usiowafahamu hakikisha unawaelewa maana siku hizi mambo siyo mambo,wema unaweza kukuponza.
 
Mara

Mara ya kwanza naingia dar,konda kanikatalia kuingia kwenye daladala na begi,akaniambia akilikuta begi langu ndani ya daladala atalitoa nje.
Wakati huo mwenyej wangu kagoma kuja kunipokea ubungo,wakati yeye ndo alkuwa ana niforce sana mara nyingi kuwa niende niwatembelee.
Niltaman kurudi hapo hapo,maana niliona kama dar nzima haihitaji ujio wangu
😂😂😂😂
 
Tatizo kubwa ni stress za maisha magumu mkuu.

Pia, unakuta wanakuona mshamba yaani hufai kuchangamana nao kutokana na kuvaa shabby clothes, kuonekana mzee wakati una miaka 15 n.k
 
Maisha yanawachanganya mkuu,unakuta mzee wa miaka 70 anakimbilia mwendo kasi na vijana
 
Back
Top Bottom