Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Hilo naona nitatizo la mtu mmoja mmoja kwanza kwanza inategemea namahusiano yenu kifamilia yakoje halafu mawasiliano kabla yakuja lakini pia mazingira yamwenyeji
Yaani ndugu yako kukutembelea mpaka taarifa? Walewale
 
Wakazi wengi wa Dar wana Maisha Magumu sana kwa hiyo muwasamehe tu.
 
Kiukweli nilinuna na nilisusa kusimama sehemu yoyote kuna sehemu nilikuta watu wengi wamesimama hapo nikapita nikaskia naitwa dada njoo usimame hapa mvua kubwa hii nikawajibu tu ahsante nimekaribia kufika home 😀 sasa ndiyo nikute na mgeni aisee sijui😀

Hahaaaa... eti nimekaribia kufika wakati hapo bado kilometa nane 😂😂😂😂😂 Ila kuna kiasi cha mvua kikishakunyeshea ni kama akili hua inavurugika kwahiyo hata mvua huisikii tena na unaona ata hamna haja ya kujificha maana maji yameshafika hadi ikulu. Halafu kawaida hua ukinyeshewa kiasi icho ile unaingia ndani tu na mvua inakata.
 
Hahaaaa... eti nimekaribia kufika wakati hapo bado kilometa nane 😂😂😂😂😂 Ila kuna kiasi cha mvua kikishakunyeshea ni kama akili hua inavurugika kwahiyo hata mvua huisikii tena na unaona ata hamna haja ya kujificha maana maji yameshafika hadi ikulu. Halafu kawaida hua ukinyeshewa kiasi icho ile unaingia ndani tu na mvua inakata.
Nilinyeshewa hadi ikulu maji matupu mkuu😀🙌 ,yule dada mlinzi nammind kinoma sijui alihofia mwizi sasa mimi ntaiba hayo matrekta kweli?
 
Nimekaa kwa mda wa mwaka mmoja na miezi2 nimegombana nao sana vijana juu ya kuongea sana na kutokuwa enough responsible Ila ni ujanja ujanja na ujinga[emoji1][emoji1]... Nikaona hapa nitapatwa na presha buree na Mimi nikaona nijichanganye tu! Nikawa na Mimi naongea ongea kama boya tu[emoji3][emoji2]
 
Wakazi wengi wa Dar wana Maisha Magumu sana kwa hiyo muwasamehe tu.
Hapana sio maisha magumu sema ni dharau tu na ubinfsi uliopitiliza, utakuta amefanya mambo makubwa tuu japo analialia na nauri ya daldala, mambo ambayo amefanya pengine wa mkoani hawezi kufanya kulingana na kipato kuwa kidogo lkn wa mkoani upendo wa kiundugu uko palepale.
 
Nilinyeshewa hadi ikulu maji matupu mkuu😀🙌 ,yule dada mlinzi nammind kinoma sijui alihofia mwizi sasa mimi ntaiba hayo matrekta kweli?
Dada alihisi unaweza piga trekta begani ukatokomea nalo kusikojulikana😂😂😂😂😂😂Ila wala usimlaumu sana huyo dada mkuu. Inawezekana nayeye ndio kaambiwa ivyo na mhindi sasa afanyeje? Anatetea kibarua chake. Japo nna uhakika asilimia 110 kama mlinzi angekua mwanaume angekuacha upumzike.
 
Nishawahi kukutana na hii pia nashuka kwenye daladala bongee la mvua ile kuangalia sehemu ya kukimbilia nikaona sehemu ya biashara ya matrekta kufika hapo kibarazani nikakutana na dada mlinzi akanikaribisha kwa jicho fulani hivi nikamwambia ahsante najificha mvua kidogo eti hapa haturuhusu nikahisi pale niliposimama basi nikasogea pembeni kidogo eti dada eneo lote hili haliruhusiwi dah ikabidi niondoke kinyonge àfu kwa hasira nikatembea hadi home na mvua nimefika nimeloa mno.
Yaani Kwa jinsi wasivyo na ubinadamu alitaka umpe hata buku. Bahati mbaya Ile unatoka tu ukadhurika Kwa namna yoyote atakuwa WA Kwanza kujifanya anasikitika na pole nyingi utafikiri MTU.
 
Nimekaa kwa mda wa mwaka mmoja na miezi2 nimegombana nao sana vijana juu ya kuongea sana na kutokuwa enough responsible Ila ni ujanja ujanja na ujinga[emoji1][emoji1]... Nikaona hapa nitapatwa na presha buree na Mimi nikaona nijichanganye tu! Nikawa na Mimi naongea ongea kama boya tu[emoji3][emoji2]
Ahaaaaahaaaaaaaaa [emoji16][emoji16] [emoji1787] daaah

Nawe ukaamua kuwa mwehu[emoji16][emoji16]
 
Yaani Kwa jinsi wasivyo na ubinadamu alitaka umpe hata buku. Bahati mbaya Ile unatoka tu ukadhurika Kwa namna yoyote atakuwa WA Kwanza kujifanya anasikitika na pole nyingi utafikiri MTU.
Ni kweli ila ni tabia mbaya tu angeniacha mvua ikate nimshukuru hata hilo buku ningempa, ila alivonikaribisha kwa dharau mmh nikaona leo sijui alidhani ni mteja wa trekta mi ninunue trekta kwa pesa ipi😀
 
Shida kubwa ni watu kufake maisha ya mjini! Utakuta mtu akitoka Dar kwenda kusalimia ndugu zake mkoani kawanza hujifanya kama vile hapa Dar ana maisha ya juu sana, Utamsikia kila kitu akisifia dar a kusema we njoo Dar kule maisha i poa sana! Sasa siku uakusamya toka mkoai unaenda anaishi yumba ya tembe, tena single room na anadaiwa kodi hajalipia miezi 3! Msosi wenyewe usipobakia kwenye mgahawa anakofanyia kazi siku hiyo mnakoroga uji! Sasa kule kujua hiyo siri ya maisha yake uitafika mkoani hapendi kabisa wageni!
 
Back
Top Bottom