Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kwa maisha hayo lazima awe na hasira akiona mgeniWasukuma wana roho nzuri sana, nlikaa shinyanga miaka flan ya 2009, huo ukarimu wao siyo wa nchi hii.
Ila mjini lazima uje kwa booking maisha mjini siyo kama ya mkoani hata pilipili tunanunua.
Unakuta mtu kapanga chumba sebule, ana mke na watoto, halafu eti wewe unakuja mjini unataka ukafikie kwake tena muda mwingine hujamwambiia tu unampa taarifa uko kwenye basi.
Huu ndiyo mwanzo wa kukimbiwa. Mjini hali tete, kuna jamaa ni mlinzi aliniambia analipwa 90000 kwa mwezi na ana mke, nikajiuliza ana survive vipi dar, sasa mtu kama huyo ukitoka mkoani eti ufkie kwake ni kumwongezea umaskini.
Pokea unaowafahamu zaidi usiowafahamu hakikisha unawaelewa maana siku hizi mambo siyo mambo,wema unaweza kukuponza.
Kiufupi familia yako ni STORE KEEPERSNiko hapa mbagala nimepanga chumba kimoja ,godoro ,fen ,jiko ,ndoo za maji ,vyombo ,kitanda ,viatu,nguo , mke na watoto wawili kila kitu ni humu humu ...
Chumba kimoja baba ,mama ,na watoto ...
Sihitaji mgen hapa kwangu ,
HakikaNikija bara nimeenda kwetu nitafikia kwetu. Nikienda mkoa mwngne nitafikia lodge au hotelini.
Mimi uwa sipendi kufikia kwa watu ili niwe huru na nisiingilie mfumo wao wa maisha.
SisafiriIkitokea huna pesa?
ndimu , pilipili , nazi ni za kwenye vimfuko ...hakuna mazao ya liveDar hakuna mashamba ya kulima mahindi tunanunua unga dukani we unataka uchekewe ili ukae muda mrefu
Umeona kakandimu , pilipili , nazi ni za kwenye vimfuko ...hakuna mazao ya live