simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Lugha siyo rugha.Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha siyo rugha.Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Kiswahili chako kwanza kibovu na kinatisha kama haya macho yako. Ni vipi nyinyi huweka "r" penye l na "l" penye r?Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Kiswahili chako kwanza kibovu na kinatisha kama haya macho yako. Ni vipi nyinyi huweka "r" penye l na "l" penye r?Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Reference uliyotumia sio sawa, alitamka kwa mazuri na walitoa support, umeharibu siku za wengi hasa tulioguswa moja kwa moja na mauti za wanetu, mwenyezi mungu akusaidie busara huko uendako.Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Wewe ndiye hujui kabisa kiswahili unazidiwa hata na MK254 ambaye ni Mkenya!Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
wakenya>>>>> WakenyaNikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Ondoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.bado nipo...kenya bwana wewe ni kischana kimeoga kweli.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] loh! Eti duka ya dawa ,isitoshe wanasema kiswahili chimbuko lake Kenya
Unataka kusema wakenya wote wanaongea kingereza kizuri??Ni sababu zile zile zinazowafanya Watanzania waongee Kiingereza kibovu.
Da iko njema pamoja mm ni mtz hongereni kiroho safi.hapa ndipo lugha ya kiswahili imetufikisha. Tuna kiezi kweli. lugha tamu tunayoipenda pamoja na lugha zetu asili. usije ukawa mtumwa wa lugha za watu na yako asili huifahamu!!!! mchina akoje na mkorea!!
More SGR Pics taken on May 29,2017
http://news.xinhuanet.com/photo/2017...1121058581.htm
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sema msiharibu miundombinu ya serikali yenu hovyo maana wafrika utashangaa watu wanang'oa vyuma chorachora hovyo kodi ZENU hizohapa ndipo lugha ya kiswahili imetufikisha. Tuna kiezi kweli. lugha tamu tunayoipenda pamoja na lugha zetu asili. usije ukawa mtumwa wa lugha za watu na yako asili huifahamu!!!! mchina akoje na mkorea!!
More SGR Pics taken on May 29,2017
http://news.xinhuanet.com/photo/2017...1121058581.htm
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Tulia jamaa. Wakenya wako very euphoric juu ya hii launch ya treni mpya. Kwa sasa ni kama watoto wadogo waliopata toys mpya, wanataka kuonyeshana.Ondoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.
Mmeibiwa na serikali yenu, kuchamba kwingi.....
Speed yake ni 120km/hr average maximum ni 158 km/hr ...ata kama ni mzee aje bora itufikishe Mombasa in 4.5 hrsOndoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.
Mmeibiwa na serikali yenu, kuchamba kwingi.....
Sasa subirini chuma cha umeme na diesel engine kinakuja, min speed 160km/hr - max 190km/ hr.Speed yake ni 120km/hr average maximum ni 158 km/hr ...ata kama ni mzee aje bora itufikishe Mombasa in 4.5 hrs
Na ni Mtanzania!wakenya>>>>> Wakenya
Naskia kichefuchefu>>>>>Nahisi kichefuchefu
waarusha>>>>>>Wa Arusha
Jitaidini>>>>>>Jitahidini
Rugha>>>>>>Lugha
Tusubiri muda utatuambia.Tulia jamaa. Wakenya wako very euphoric juu ya hii launch ya treni mpya. Kwa sasa ni kama watoto wadogo waliopata toys mpya, wanataka kuonyeshana.
Sgr baadae kua electrified...nyinyi mnajenga electric na stigma mnayo ni 1200 mWSasa subirini chuma cha umeme na diesel engine kinakuja, min speed 160km/hr - max 190km/ hr.
This time mpaka mseme poo