Kwanini Wakenya hawajui kiswahili!!!

Kwanini Wakenya hawajui kiswahili!!!

Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Kiswahili chako kwanza kibovu na kinatisha kama haya macho yako. Ni vipi nyinyi huweka "r" penye l na "l" penye r?

Usishangae ya wakenya na Kiswahili chao. Serikali zetu za kwanza hazikutilia maanani sana kuendelezwa kwa lugha kiswahili Kenya, wala kuwafanya wananchi kujikita katika lugha moja kama ilivyofanya serikali ya kwanza hapo Tanzania.

Kizungu kikapendelewa zaidi juu inachukuliwa kama lugha ya hadhi, kisomi na kujipatia fursa ya kikazi. Kiswahili kikapuuzwa.
 
Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Kiswahili chako kwanza kibovu na kinatisha kama haya macho yako. Ni vipi nyinyi huweka "r" penye l na "l" penye r?

Usishangae ya wakenya na Kiswahili chao. Serikali zetu za kwanza hazikutilia maanani sana kuendelezwa kwa lugha kiswahili Kenya, wala kuwafanya wananchi kujikita katika lugha moja kama ilivyofanya serikali ya kwanza hapo Tanzania.

Kizungu kikapendelewa zaidi juu inachukuliwa kama lugha ya hadhi, kisomi na kujipatia fursa ya kikazi. Kiswahili kikapuuzwa.
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Reference uliyotumia sio sawa, alitamka kwa mazuri na walitoa support, umeharibu siku za wengi hasa tulioguswa moja kwa moja na mauti za wanetu, mwenyezi mungu akusaidie busara huko uendako.
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Wewe ndiye hujui kabisa kiswahili unazidiwa hata na MK254 ambaye ni Mkenya!


Hapo Umeandika kiswahili kibovu kabisa!
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
wakenya>>>>> Wakenya
Naskia kichefuchefu>>>>>Nahisi kichefuchefu
waarusha>>>>>>Wa Arusha
Jitaidini>>>>>>Jitahidini
Rugha>>>>>>Lugha
 
bado nipo...kenya bwana wewe ni kischana kimeoga kweli.....

TNbSHeG.jpg


5OfuLZU.jpg


BWU92p2.jpg


XxUq2JK.jpg


VlrrXpH.jpg


JC3XFhZ.jpg


4X565X9.jpg


A1bxdXt.jpg


2eduJ0r.jpg


f9HNhT4.jpg
Ondoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.

Mmeibiwa na serikali yenu, kuchamba kwingi.....
 
mtuache tupumue jamani, wengine ndo tunaabir vitu vya sgr baby[emoji3] [emoji3] [emoji109]
FB_IMG_1496211266499.jpg
FB_IMG_1496211259443.jpg
FB_IMG_1496209391864.jpg
 
hapa ndipo lugha ya kiswahili imetufikisha. Tuna kiezi kweli. lugha tamu tunayoipenda pamoja na lugha zetu asili. usije ukawa mtumwa wa lugha za watu na yako asili huifahamu!!!! mchina akoje na mkorea!!

More SGR Pics taken on May 29,2017
http://news.xinhuanet.com/photo/2017...1121058581.htm

1121058581_14961451094301n.jpg


1121058581_14961451094701n.jpg


1121058581_14961451095101n.jpg


1121058581_14961451095601n.jpg


1121058581_14961451096101n.jpg


1121058581_14961451096901n.jpg


1121058581_14961451098001n.jpg


1121058581_14961451098401n.jpg
Sema msiharibu miundombinu ya serikali yenu hovyo maana wafrika utashangaa watu wanang'oa vyuma chorachora hovyo kodi ZENU hizo
 
Ondoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.

Mmeibiwa na serikali yenu, kuchamba kwingi.....
Tulia jamaa. Wakenya wako very euphoric juu ya hii launch ya treni mpya. Kwa sasa ni kama watoto wadogo waliopata toys mpya, wanataka kuonyeshana.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Ondoa mapicha picha yako hapa, hili gari moshi wenzako tunalo tangu 70s. Wachina wamewaingiza choo cha kike. Kilichondolewa hapo ni reli ya vyuma na kuwekwa reli ya simenti, ila garimoshi na mabehewa yake ni sawa sawa na garimoshi letu la Tazara.

Mmeibiwa na serikali yenu, kuchamba kwingi.....
Speed yake ni 120km/hr average maximum ni 158 km/hr ...ata kama ni mzee aje bora itufikishe Mombasa in 4.5 hrs
 
Speed yake ni 120km/hr average maximum ni 158 km/hr ...ata kama ni mzee aje bora itufikishe Mombasa in 4.5 hrs
Sasa subirini chuma cha umeme na diesel engine kinakuja, min speed 160km/hr - max 190km/ hr.

This time mpaka mseme poo
 
wakenya>>>>> Wakenya
Naskia kichefuchefu>>>>>Nahisi kichefuchefu
waarusha>>>>>>Wa Arusha
Jitaidini>>>>>>Jitahidini
Rugha>>>>>>Lugha
Na ni Mtanzania!
Kwa hivyo hata nynyi hii lugha hamuijui sana kwa ufasaha mnavyodai. Yeye si wa kwanza kumuona akiandika hicho Kiswahili.
Sisi kwetu kuchanganya hili lugha na ndimi zingine hakumaanishi hatulijui. Tazama utafiti zinazoonyesha ya kwamba wanafunzi wa Kenya hufanya vyema katika somo la Kiswahili kuliko.wa Tanzania.

Ni vipi basi wakenya wengi zaidi ya watanzania wameajiriwa na makampuni ya teknolojia kama Facebook, Microsoft ama Google kutafsiri maagizo za programu zao kwa Kiswahili? Hata maprofesa wengi wanaofunza lugha hii katika vyuo kadhaa ni wakenya- wengi wao!

Ni dhahiri ya kwamba wakenya ndio wanaobobea katika lugha hili, na ndio walio kwenye mstari wa mbele kabisa kuendeleza lugha hili.
 
Back
Top Bottom